Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
- Thread starter
- #161
Third eye haina madhara japo ina uwezo wa kukinga mashambulizi.. Hiyo nyingine asili yake ni kudhuru na kuharibuNi Nguvu ipi kati ya hizo inamzidi mwenzie uwezo?, Yaani aliye open third eye (ila sio mchawi) na brigedia/ boss wa wachawi ila haja open third eye wakishindana ni yupi atatoka kidedea?