Katika hali ya kutunza Usafi wa Mwili na Mazingira ya nyumba, kila kitu ikiwemo Mavazi na Mapambo vinapaswa kufuliwa au kuoshwa kwa muda maalum kabla ya kutumiwa tena
Vipi Mdau, unafua Mashuka yako baada ya kulalia kwa muda gani?
shuka mpaka mchumba aseme sasa hii inatosha na awe amekuja, ila boksa ni kila nikitoka kuoga siivui nailowesha naivua Halafu nikimaliza naifua na kubadilisha nyingine
Asante kwa kaka yangu alinifundisha hii tabia tangu nikiwa dogo mpaka Leo nilishazoea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.