Mkuu kama kuna masuala ambayo uyajui vizuri ni bora kuuliza, kuuliza si ujinga - tatizo la walio wengi mnachukulia majibu ya Faiza kimzaa mzaa mnatumbukiza mpaka dini!
Siku moja niliwahi kusoma thread ya FaizaFoxy akieleza wasifu wake (Electronics na Mawasiliano) akasema yuko tayari kutoa darasa - binafsi nilifikiri members wamepata fulsa ya kuuliza masuala ya kitekinolojia/sayansi maswali yanayo husu: Solid State Physics
Hii kali, amesahau kwamba watumwa wengi kutoka Barani Africa walipelekwa Amerika ya Kasikasini na Kusini,visiwa vya Caribean nk, je , na hapo Waarabu walihusika?
Mkuu hapo Dini inakujaje, yaani yote yaliyo fafanuliwa kisomi na Dada Faiza kuhusu origin ya jina "Afrika" wewe unabuni masuala ya Dini tu!!