Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Leo wakristo wote wanaume kwa wanawake,wanafinika uso,kwa corona kama wanawake na wanaume wa kiislamu wanavyojifinika uso.Mbona hapo husemi kama wakristo,Wakati walipokuwa wakiwaona wanaume au wanawake wa kiislamu wamejifinika uso,wakiwacheka.Wazee wa emergency ,imani bila msimamo hapo ni wizi mtupu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app