OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,624
- 9,167
- Thread starter
- #341
Waite ulamaa waje wajìbuMleta uzi mambo ya waislamu hayaamuliwi wala kujadiliwa kiholela. Lipo baraza la Ulamaa ambalo huja na majibu ya maswala kama haya.
Hivyo tuliza kalio ikifika wakati utajua.