Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi
Kwani ni waislam pekee ndio wanaosema nguruwe haramu? Hujui nchi hii km kuna baadhi ya Wakristo pia.

Kwann uzi wako umeegemea kwa Waislamu tu.

Ikumbukwe kuwa kula nguruwe mtu wa dini yeyote kubwa katika hizi dini kuu, ni ulafi wake tu, kwakuwa vitabu vimeweka wazi kabisa kuwa nguruwe hafai kuliwa.

Isaya 65:4
[4]waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;

Kumbukumbu la Torati 14:8
[8]na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.

Kutumia kwa kuokoa uhai katika hali ngumu hii haina tatizo.

Maamuzi ni yako.
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi
Sisi Waislam hatuna shida ya kupandikiza Figo la nguruwe wakati dawa zetu za asili zipo na zinatibu hayo maradhi ya kufeli kwa figo kwa muda wa siku 90 mgonjwa atakuwa amepona dawa ninaijuwa kwamgonjwa wa kufeli kwa figo anitafute mimi nipate kumtibia amradhi yake na atapona in-sha-Allah.
 
Kama mnamchukia nguruwe asiye na hatia, kwanini msijiulize busara na mantiki ya 'kuumbwa' kwake?
Enyi wagalatia msiokuwa na akili.
Ni nani aliyewaloga? Galatia 3:1

Unafahamu tofauti ya kilicho haramishwa na kilicho chukizwa?
Tumchukie nguruwe kwa sababu zipi? Kaiba au kadhulumu mtu au anaabudu sanamu km wengi humu?
Nguruwe ni HARAMU kumla.
Ndio maana YESU hakuwahi kula Nguruwe na Yale mapepo machafu aliyasukumia kwa Nguruwe.

Lkn hakuna binaadamu mwenye akili timamu AKAMCHUKIA NGURUWE.
Get some knowledge Son.
This world is very ugly place for morons.
 
Kama mnamchukia nguruwe asiye na hatia, kwanini msijiulize busara na mantiki ya 'kuumbwa' kwake?
BIBLIA YA ASILI YA AGANO LA KALE INASEMA.

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11.7-8

Tatizo lote la nyie kula nguruwe kalileta Paulo. Mtu ambae alijipa utume , hakuwahi kumuona Yesu wala mwanafunzi yyt wa Yesu.

Huyu ndie aliyewaposha wengi wenu kwa kusema.

Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.

1 Wakorintho 10.25-26

Kwahio ukikuta mavi makavu.
Au zile ngozi za govi wanakusanyaga wale watindiga zinauzwa sokoni we KULA TU
Usiulize .

Sasa hapo ntamwambia nini uelewe?
 
BIBLIA YA ASILI YA AGANO LA KALE INASEMA.

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11.7-8

Tatizo lote la nyie kula nguruwe kalileta Paulo. Mtu ambae alijipa utume , hakuwahi kumuona Yesu wala mwanafunzi yyt wa Yesu.

Huyu ndie aliyewaposha wengi wenu kwa kusema.

Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.

1 Wakorintho 10.25-26

Kwahio ukikuta mavi makavu.
Au zile ngozi za govi wanakusanyaga wale watindiga zinauzwa sokoni we KULA TU
Usiulize .

Sasa hapo ntamwambia nini uelewe?
Kula chakula kinachouzwa sokoni ni kula chakula kilichoruhusiwa na serikari kama ukipenda.

Mfano, miaka ya Nyuma serikari ilikataza kula nyama ya Mamba. Hapo wafuasi wa Kristo pia wanaambia waitii Serikali.

Miaka ya Karibuni Serikali imeruhusu kuvua Mamba kwa vibali na kula, basi hapo imeruhususiwa kula kwani Wataalamu wa afya wamejiridhisha kuwa ni nyama isiyo na madhara kwa Binadamu.

Hilo andiko ndio lilikuwa na maana hiyo.

Ndio maana huoni hivyo ulivyo andika vikiuzwa sokoni, hiyo ndiyo maana ya haramu.
Na sio lazima kula hivyo vyote vinavyo uzwa sokoni.

Hata Waislamu mnakula vyakula vyote vinavyo uzwa sokoni.

Kama unabisha nitajie hapa chakula gani kilichoruhusiwa kuliwa na Serikali na kinachouzwa sokoni ambacho Waislamu hamli ?
 
Enyi wagalatia msiokuwa na akili.
Ni nani aliyewaloga? Galatia 3:1

Unafahamu tofauti ya kilicho haramishwa na kilicho chukizwa?
Tumchukie nguruwe kwa sababu zipi? Kaiba au kadhulumu mtu au anaabudu sanamu km wengi humu?
Nguruwe ni HARAMU kumla.
Ndio maana YESU hakuwahi kula Nguruwe na Yale mapepo machafu aliyasukumia kwa Nguruwe.

Lkn hakuna binaadamu mwenye akili timamu AKAMCHUKIA NGURUWE.
Get some knowledge Son.
This world is very ugly place for morons.
Hili jibu konki sana. Kula vs kutumiwa kama dawa/sehemu ya matibabu. Kuna watu imani zinawaharibu hata reasoning ndogo wanashindwa kuwa nazo. Asant sana kahtaan
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi
Tofautisha kupandikiza kiungo na kula.Dunia nzima,awe muislamu,mkristo,Buda,asiye na dini,baniani,ni haramu kula nyama ya binadamu,lakini wanapandikizwq viungo vya binadamu mwenzake.
 
Tofautisha kupandikiza kiungo na kula.Dunia nzima,awe muislamu,mkristo,Buda,asiye na dini,baniani,ni haramu kula nyama ya binadamu,lakini wanapandikizwq viungo vya binadamu mwenzake.
ukila chakula huwa kinaenda wapi? Tuanzie hapo kwanza nisije kuwa najadili na wewe pasipokujua uelewa wako upoje
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi

Inawezekana wakatoliki hao (Dr Leonardo Riella na Dr Nael Elias) wakishirikiana na asiyekuwa na dini (Dr Tatusa Kawai) wanafanya uchokozi kwa makusudi. Kuamua kutafiti matumizi ya figo za nguruwe badala ya figo za wanyama wengine kama mbuzi ni kuwatikisa waislamu na wasabato. Halafu mgonjwa akianza kupata nafuu anapewa bia moja ya kustimulate circulation!
 
Back
Top Bottom