Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Ukiangalia hao wote Che Guevara,,lumumba hata Chavez waliuliwa kwa sababu walikuwa wakimzindua mtu aamke ajitegemee.
Kitu ambacho ni kosa kwa establishment ya capitalism.
Kitu ambacho ni kosa kwa establishment ya capitalism.
Kiongozi mm nakuelewa sn sn sn kwel kabisa walioukataa umoja ndo hao hao wakaja na maneno mengi ya kutudhihaki, hua napenda sn maisha ya wanaharakati kama guevara, chavezi na lumumba hawa watu kweli walikua wanaharakati wa kijamaa damu damu, dunia ipo hapa leo kutokana na sera chafuu za kunuka za ubepari, ubepari mwenywe nacho anazidi kua nacho mbaya zaidi asiyenacho anapokonywa ata hicho kdg