Esperance
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 364
- 84
Subiri wanaofuatilia mambo yasiyo na maana wanaweza wakakujibu. Mmimi ni mpita njia tu kwenye mitaa hii.
usirudi tena huku.lane:lane:
Subiri wanaofuatilia mambo yasiyo na maana wanaweza wakakujibu. Mmimi ni mpita njia tu kwenye mitaa hii.
Vip tena FL mabo haya yamekujaje?
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
mmh! ni bora tu ningezijua ndio nijue kabisa kundi lake kuliko kuweka hapa kumbe akawa na sura chungu.ila mwanaume asifiwi kwa sura
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
Ndio ikoje?
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni wenye:-
1.. sura nzito,
2.. sura kavu,
3.. sura chachu,
4.. sura ngumu,
5.. sura chungu na wachache
6.. sura telezi....................
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
me wangu ana sura mlegezo.
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.