Je unazijua sura za wanaume?

yap najua sura za mwananme mmoja tu,ni mpole,mcha Mungu, anaupendo wa dhati,mvumilivu ananipenda na nina mpenda sana nyengine wanaume wengine sijui sura zao coz siwaangalii
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.


1ST lady unaoneje ukitupa quliities za shem kama yupo, labda ndo tuweze sema yeye yuko kundi gani ......
 
Unajua maana ya kila sura? Tufafanulieni jinsi kila sura hiyo ilivyo ili tujue tuna sura gani.
labda sura chachu ndio najua kidogo kwamba hujengeka kutokana na jazba za mara kwa mara,ukali,gubu na mengineyo ambayo hupelekea sura kuchachuka kutokana na muda mwingi kutokuwa na furaha na badala yake maugomvi ugomvi tu.
zaidi napenda kufahamu kwa wanaojua kwani nimeyasikia haya zaidi ya mara mbili
 
Firstlady huu muda Today 02:23 AM wakati unaposti hii thread sijui ulikuwa unafanya nini lol
jamani we TF unadhani nilikuwa wapi mida hiyo?au waddhani nilikuwa nafanya nini zaid ya kushika laptop tu?kwani we unasura gani?
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
ni kweli mi nakuunga mkono japo sijafanya official research lakini hii kitu ipo kabisa...kuna baadhi ya wanaume kulingana na tabia zao kama ulevi, umalaya, ukatili n.k ukiwaangalia sura zao kama unaweza kugundua kuwa wamefall katika tabia fulani kutokana na kudumu kwa muda mrefu katika tabia husika, na kama unajua phsycology hata wakati wa kuzungumza nae unaweza kutambua huyo mtu anatabia fulani...mimi personally naweza kutambua tabia ya mtu ninapokutana nae kwa mara ya kwanza wakati nikimtazama sura yake...anaebisha aje nimwambie lol:A S-baby: n.k ...
 
Unafanya nini hadi saa 2:23AM? Kwani President yuko kundi lipi?
hahaha....mwanaume asifiwi kwa sura na yawezekana president akawa na sura ngumu lakini mkarimu na mwenye mvuto wa ndani.nachotaka ni kujua tofauti tu ili nimpime na presidaa kabisa nijue.bytheway mida hiyo niliishiwa usingizi kabisa
 
Orite....ulikua unatafiti sura?

!.........NEVER TRUST A MAN EVEN A DEAD ONE........!

hahaha......hiyo haaingiliani kabisa na swali langu.kwanza kwani we sura yako ni ipi?kama unayafahamu haya nijuze tafwadhali
 
hahaha......hiyo haaingiliani kabisa na swali langu.kwanza kwani we sura yako ni ipi?kama unayafahamu haya nijuze tafwadhali

Hebu njoo pm basi.....kwani hii :thinking: ni sura gani kati ya ulizotaja?
wewe chaguo lako ni ipi?
 
Mbona kuna wanawake wanasura chachu,sura ngumu sura mbaya km ww unaesoma hap sshv ee ww ndio!
kama unajua wapo si ungeandika sredi tungeichangia.acha kutukana watu kama huna cha kujibu si lazima.kwani nimesema wanaume ni wabaya mpaka uwatukane wanawake wote.soma uelewe kuliko kukurupuka na kama umeguswa pole.
kwa taarifa yako mwanaume asifiwi sura
 
1ST lady unaoneje ukitupa quliities za shem kama yupo, labda ndo tuweze sema yeye yuko kundi gani ......

mmh! ni bora tu ningezijua ndio nijue kabisa kundi lake kuliko kuweka hapa kumbe akawa na sura chungu.ila mwanaume asifiwi kwa sura
 
Back
Top Bottom