Ukipata a "Lady" you can make it .... Mpaka ukasema ewaaaaaaa.
Ukipata a 'girl' utaishia kusema ,mademu wa mitandaon hawafai.
Swali kubwa ni ,,, nitawezaje kumjua huyu ni Lady uyu ni Girl?? ..... Rahisi sana tu.
Tokea niwe naye ,amekua sehemu ya maisha yangu ya kila siku , amekua akinipa faida ya upendo kila uchwao , Nimwanamke asokua Kifani ,tupilia mbali uzuri wa mwonekano wake ,bali amepewa uzuri wa moyo ,moyo ulojazwa unyenyekevu ,ukweli ,upole ,uvumilivu ,ustahimilivu ,moyo wakufanya kazi ukizingatia kauli mbiu ya CCM ni hapa kazi tu, Huyu mwanamke mpaka unaweza kukaa ukajiuliza ,umekutana na malaika au?? Anajua moyo wamtu nikm ngumi ya mkono wake wakulia ,nasababu mimi sio mnene nina kangumi kadogo kwaiyo ninakamoyo kadogo [emoji8] basi bana ,,kua na kamoyo kadogo nakwambia mwanamke wawatu muda wote ni "baby mith you......umekula baba....poleee kwa kazi'' yaan niivi sipendi kunenepa ila ningeshakua bongeeee.
Mkuu inategemea umeangukia demu au mwanamke !!...ila true love lipo