Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,894
- Thread starter
- #21
naogopaWaliobahatika watakupa jibu sahihi,..[emoji124][emoji124][emoji124]
naogopaWaliobahatika watakupa jibu sahihi,..[emoji124][emoji124][emoji124]
Unaogopa nn?naogopa
hahaha damn boy.Sasa nikupe hints...
Mahusiano ya hivi wala usiyatafute kwa nguv na kulazimisha ,utaishia kupata ":mademu " ambao itakulazim uanze kunyanyua vyuma ,uvae mlegezo,unyoe kila style mpya ,mwende club ,kunywa pombe kali kali , uvute kidogo
Yaaan wao wanasema "" i drink and smoke socially [emoji3][emoji3][emoji57]"
Ebwanaaaa tulia tu utaona ghafla mmekua wapenzi !!
kuanzisha uhusiano na mtu nisie mjuaUnaogopa nn?
Hao wa mitaani unawajua??kuanzisha uhusiano na mtu nisie mjua
why not??? kwani hao watu waliokuwa mtandaoni si ndio hao hao waliopo mitaani kwa kwetu ktk jamii zetu au??Hilo swali ndio linatutatiza wengi.karibuni Tu share ideas,njia zipi za kupata mpenzi bora??Girlfriend,Boyfriend..je unaweza Ku make love na mtu uliekutana nae mtandaoni kama FB or JF na mkafika mbali???
Hahahaha mkuuu naona umefurah .hahaha damn boy.
WA mtaani nkimuona nta mdetermine ninavyomuona..mtandaoni wanaishi maisha sio yao..wana fake Sana.hata dada angu akiwa insta,sio yule akiwa kitaa.Hao wa mitaani unawajua??
anhha naona unanipa uzoefuHahahaha mkuuu naona umefurah .
Keep it up !!!
Ukipata a "Lady" you can make it .... Mpaka ukasema ewaaaaaaa.
Ukipata a 'girl' utaishia kusema ,mademu wa mitandaon hawafai.
Swali kubwa ni ,,, nitawezaje kumjua huyu ni Lady uyu ni Girl?? ..... Rahisi sana tu.
Tokea niwe naye ,amekua sehemu ya maisha yangu ya kila siku , amekua akinipa faida ya upendo kila uchwao , Nimwanamke asokua Kifani ,tupilia mbali uzuri wa mwonekano wake ,bali amepewa uzuri wa moyo ,moyo ulojazwa unyenyekevu ,ukweli ,upole ,uvumilivu ,ustahimilivu ,moyo wakufanya kazi ukizingatia kauli mbiu ya CCM ni hapa kazi tu, Huyu mwanamke mpaka unaweza kukaa ukajiuliza ,umekutana na malaika au?? Anajua moyo wamtu nikm ngumi ya mkono wake wakulia ,nasababu mimi sio mnene nina kangumi kadogo kwaiyo ninakamoyo kadogo [emoji8] basi bana ,,kua na kamoyo kadogo nakwambia mwanamke wawatu muda wote ni "baby mith you......umekula baba....poleee kwa kazi'' yaan niivi sipendi kunenepa ila ningeshakua bongeeee.
Mkuu inategemea umeangukia demu au mwanamke !!...ila true love lipo
yap..but mtandaoni wana act too differentwhy not??? kwani hao watu waliokuwa mtandaoni si ndio hao hao waliopo mitaani kwa kwetu ktk jamii zetu au??
Haahahahaha fan wako nipogo hivi ndo maana alinipenda (ila iwe siri yako usimwambie mtu yoyote)Hahaaaa.
Namba 1 fan wangu unaanza kuniiga eeeh.
Nice words.
via the listMhh "Empty set" ni neno moja maarufu sana humu JF..!!
beat, producer na mwaka anataka afanye remix au?Mbona rahisi tu, embu search Real love - Massari, hadi video yake utaipata na lyrics na audio na beat na taarifa za producer wa ngoma ile na mwaka iliyotoka na mengine mengi tu.
Hilo swali ndio linatutatiza wengi.karibuni Tu share ideas,njia zipi za kupata mpenzi bora??Girlfriend,Boyfriend..je unaweza Ku make love na mtu uliekutana nae mtandaoni kama FB or JF na mkafika mbali???
Yes you can