maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,502
- 6,415
- Thread starter
- #41
Mkuu naona thread imezuiliwa kimoja
Bado sijaiona mbaka sasa
Mkuu naona mods wamegoma kuiachia labda ilikua hatari sana au wanaiedit
Mkuu naona thread imezuiliwa kimoja
Bado sijaiona mbaka sasa
Mkuu naona mods wamegoma kuiachia labda ilikua hatari sana au wanaiedit
Mkuu kama inawezekana unaweza kunirushia kwa PM hiyo makitu
Haiwezekani mkuu kama mods wameibania basi iache tu iende zake na nadhani huu utakua ndio mwisho wangu wa kupost hizi inteligence posts naona mods wanapenda sana tujazane chitchat na jukwaa la siasa
weka picha
Haiwezekani mkuu kama mods wameibania basi iache tu iende zake na nadhani huu utakua ndio mwisho wangu wa kupost hizi inteligence posts naona mods wanapenda sana tujazane chitchat na jukwaa la siasa
Sasa kwanini wanalipwa mshara mdogo kwa kazi ngumu wanayofanya????
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ahaaaa, nadhani ni ile ambayo waandishi wa habari wakaenda na camera zao; nao wakala kichapo wakabaki kulialia magazetini mwezi mzima! Jamaa jibu lao lilikuwa short and clear; Waandishi walivunja sheria kwenda eneo la gereza!!!nadhani mwaka 2005 kunaeneo dar wananchi walikuwa kwenye mgogoro na magereza wakatumwa hawa wajomba,nenda kawaulize ile shuruba FFU hakamati hapo
Ili wawe na hasira na roho ya ukatili, anapomshughulikia mfungwa anajumlisha na stress za maisha na mambo yanakuwa bam bamSasa kwanini wanalipwa mshara mdogo kwa kazi ngumu wanayofanya????
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hao hawana KM. Yaani eti Juzi kuna kibaka katoroka gerezani na helicopter Ufaransa....! Ndiyo maana Trump anawatishia tishia Europe, wepesi sana.Mambo hayo yapo sana South na Latin America
Hivi Ufaransa ipo Latin America!?Hao hawana KM. Yaani eti Juzi kuna kibaka katoroka gerezani na helicopter Ufaransa....! Ndiyo maana Trump anawatishia tishia Europe, wepesi sana.
Ukiona nyumba yako haishambuliwi, jua mlinzi wako ni timamu sana hata maadaui hukaa mbali ( ingawa si walinzi wote)Uwepo wa kikosi hicho ni wa kupoteza nguvu kazi na fedha za mafunzo maana tokea nipate akili sijawahi kusikia kuna gereza wafungwa wameaasi..Mambo hayo yapo sana South na Latin America
Si kweli.Mara nyingi wanakuwaga vijana wa jkt,wakitoka kozi ya jkt kama service mana(sm) ambao wanakuwa kitengo cha combati karate(wanajiita karateka) ,wanapelekwa moja kwa moja vikosi na kambi za mafunzo maalumu ya magereza,
Mkuu sio kweli kivipi sasa'mbona unaniunga mkono,Si kweli.
KM ni kozi ya ujuzi zilivyo kozi nyingine katika vyombo vya usalama na ulinzi.
Baada ya vijana kupiga kozi basic ya magereza, ndipo kuna ambao huendelea na mafunzo ya ziada.