INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,266
kunamshikaji wangu ni mwanajeshi wa JWTZ kunasiku tulikuwa tuna discuss mambo kama haya jamaa alinambia KM ni hodari wa kupiga hakuna mfano hata wao wana waappreciate kwa hilo,ndomana kunausemi unasema asiyefunzwa na mama hufunzwa jela,hakuna mwenye kiburi jela hata uwenyani