Je, unakijua kikosi cha KM?

Je, unakijua kikosi cha KM?

Sasa kwanini wanalipwa mshara mdogo kwa kazi ngumu wanayofanya????


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Pengine ni kuzidi kuwatia stress Ili wakikutana au wakitumwa kwenye mtiti wafanye kweli kwa kumalizia hasira zao
 
KM pia hutumika kama escort ya kuwapeleka mahakamani mahabusu wenye kesi kubwa kama za jinai, mfano kesi ya Zombe, huwa kama makomando kwani huwa wachache tuu wakati wa msafara lakini wakiwa tayari kwa lolote.
Kwa hiyo tutarajie kuwaona siku DJ akipelekwa mahakamani kujibu tuhuma za ugaidi?
 
hawa jamaa nimewahi waona wakifanya zoezi aisee ni noma sana wanahatari sana zaidi ya kifo.
halafu wengi ukichunguza vyeti vyao vya elimu ya sekondari, utakuta ni failures.

majeshi yetu yana mfumo wa ajabu sana. vitengo ambavyo vinahitaji maaskari watakaotumika kutesa watanzania wenzao, wanapelekwa "ma-zero brain". moja wapo ni hao KM.
 
halafu wengi ukichunguza vyeti vyao vya elimu ya sekondari, utakuta ni failures.

majeshi yetu yana mfumo wa ajabu sana. vitengo ambavyo vinahitaji maaskari watakaotumika kutesa watanzania wenzao, wanapelekwa "ma-zero brain". moja wapo ni hao KM.
Kwa akili zako unadhani majeshini hakuna wasomi? Hiyo elimu yako ya QT ndiyo unajiona Isaac Newton .


Unataka wajazwe hawa University graduates ili uwe na jeshi la commissioned officers wote?

Kuteswa kwa mahabusu na wafungwa hakujaanza Tanzania, Marekani ndiyo inamiliki magereza zenye mateso kuliko nchi yoyote duniani.

Kiufupi duniani ukishaingizwa kwenye hatia ya uhalifu japo yawezakuwa umesingiziwa utateseka. Mahabusu/wafungwa wanateswa si kuwa Askari hawana elimu Bali Ni utaratibu wa kidunia Toka enzi na enzi vinginevyo wahalifu wangetenda vyovyote bila kujutia lolote.
 
halafu wengi ukichunguza vyeti vyao vya elimu ya sekondari, utakuta ni failures.

majeshi yetu yana mfumo wa ajabu sana. vitengo ambavyo vinahitaji maaskari watakaotumika kutesa watanzania wenzao, wanapelekwa "ma-zero brain". moja wapo ni hao KM.
Kwahyo mtu akiferi, elimu ya darasani ni zero brain, unapimaje intelligent ya mtu kwa mitihani?

Kazi ipo
 
Kwa akili zako unadhani majeshini hakuna wasomi? Hiyo elimu yako ya QT ndiyo unajiona Isaac Newton .


Unataka wajazwe hawa University graduates ili uwe na jeshi la commissioned officers wote?

Kuteswa kwa mahabusu na wafungwa hakujaanza Tanzania, Marekani ndiyo inamiliki magereza zenye mateso kuliko nchi yoyote duniani.

Kiufupi duniani ukishaingizwa kwenye hatia ya uhalifu japo yawezakuwa umesingiziwa utateseka. Mahabusu/wafungwa wanateswa si kuwa Askari hawana elimu Bali Ni utaratibu wa kidunia Toka enzi na enzi vinginevyo wahalifu wangetenda vyovyote bila kujutia lolote.
Achananae huyo, kaandika ujinga sana,
 
Naona mnawasifu sana

Ila hawa mgambo wa huku ingumbalakasi hapana aseee
Khaaa

Kama wanalinda nchi...
 
Naona mnawasifu sana

Ila hawa mgambo wa huku ingumbalakasi hapana aseee
Khaaa

Kama wanalinda nchi...
Hawa jamaa wanalinda wale jamaa waliokutwa na hatia za kuvunja Sheria za nchi, kazi hiyo sio rahisi hata kidogo.
 
Xaph87 Miongoni mwa waasisi wa kikosi maalumu mkuu wa kikosi maalaum Afande ACP Menrad James Tesha amefariki na kuzikwa jana huko Moshi
 
Binafsi sijaona ukali wao. Mtu kavaa mavazi kama roboti, buti chuma na marungu kma yote ndio wamepewa cheo Cha ukali?

Huku kitaa Kuna raia miili Yao pekee ni chuma, na hawana Uhuru wa kupiga zile tizi Kali kama za hao na still wako fit.

Ikitaka kuamini kama hao jamaa ni kawaida tu, mvue hizo protective gears alafu aje kupambana. Mind you... ulishasema ni form four failure, hadi hapo sifa ya uhodari na weledi hawana maana kichwani ni zero brain.

Moja ya sifa ya kupata mafanikio ki mapambano ni weledi, kupambana ni akili, nguvu / ukomavu vinachukua percent chache mno.

Hao mi nawatafsiri na wafanya fujo waliochangamka.
 
Kikosi Maalumu cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM)
 
Back
Top Bottom