Kwa akili zako unadhani majeshini hakuna wasomi? Hiyo elimu yako ya QT ndiyo unajiona Isaac Newton



.
Unataka wajazwe hawa University graduates ili uwe na jeshi la commissioned officers wote?
Kuteswa kwa mahabusu na wafungwa hakujaanza Tanzania, Marekani ndiyo inamiliki magereza zenye mateso kuliko nchi yoyote duniani.
Kiufupi duniani ukishaingizwa kwenye hatia ya uhalifu japo yawezakuwa umesingiziwa utateseka. Mahabusu/wafungwa wanateswa si kuwa Askari hawana elimu Bali Ni utaratibu wa kidunia Toka enzi na enzi vinginevyo wahalifu wangetenda vyovyote bila kujutia lolote.