Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
Nadhani mnafahamu kama nina mpenzi mzuri ambaye anaweza kushika nne bora katika kila mademu 10 atakao
simama nao. Mimi na Demu wangu huyu kila tunapokua fargha baada ya kumpa manjonjo yangu ya kila aina
kuna muda unafika huwa ananikunja na kunifinya na makucha yake hadi mwili unavimba, ananila denda kama
anataka animeze na muda mwingine huwa ana nikaba na kubana ukutani na viungo vyake vina kua vimejikaza.
Je hii ndio orgasm?.
Vidume mnajuaje kama mwenzi wako ameridhika?.
Wadada kwa nini mnapenda ku-fake hii kitu?
Mada iko mezani shambulia mada, usimshambulie mwenzio.
Mods plz.
Shambulia mada usimshambulie mwenzio
Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
Nadhani mnafahamu kama nina mpenzi mzuri ambaye anaweza kushika nne bora katika kila mademu 10 atakao
simama nao. Mimi na Demu wangu huyu kila tunapokua fargha baada ya kumpa manjonjo yangu ya kila aina
kuna muda unafika huwa ananikunja na kunifinya na makucha yake hadi mwili unavimba, ananila denda kama
anataka animeze na muda mwingine huwa ana nikaba na kubana ukutani na viungo vyake vina kua vimejikaza.
Je hii ndio orgasm?.
Vidume mnajuaje kama mwenzi wako ameridhika?.
Wadada kwa nini mnapenda ku-fake hii kitu?
Mada iko mezani shambulia mada, usimshambulie mwenzio.
Mods plz.
ni rahisi kujua.Fake hutoa mwanga wakati origino hutoa moto
Yaani ujaachaga tu kuangalia hizi muv tokea kipind kile aisee kweli mwasili aach asilihii kitu inaitwa fake orgasm kutoka kwa hiz totoz zetu kwa kweli inaboa sana.siku moja nilikuwa natizama behind the scene ya X movie,wakati jamaa anakula mzigo toka kwa demu nikasikia director anasema cut,halafu akamwambia yule mdada "on the next shot i want u to fake an orgasm by moaning or screaming with pleasure.....".mdada nae akanya hivyo hivyo tena kwa ustadi mkubwa.tangu siku hiyo nilipata somo kamili.kumbe sometimes wanaume tunapigwa maboya na wadada kitandani kwa fake orgasm.
Yaani ujaachaga tu kuangalia hizi muv tokea kipind kile aisee kweli mwasili aach asili
Kitu kikubwa nq ambacho ni kigumu ku-fake vagina contractions. Ukiwa makini utahisi tu kama unafinywa hivi katikati ya game. Hiyo ndio njia ya uhakika kiasi kikubwa, haya mengine ni rahisi ku-act
Hazina ugumu hizo mkuu wanapiga hizo contractions mpaka utashangaa ukikutana na mtaalamu!!!!!!
Wengine hiyo wanatumia kama fore play mbona
ndugu yangu wanawake siku hizi awafiki kwenye orgasm wengi ni matapeli wanachowaza ni pesa tu me mwenyewe nna demu wangu ila yeye akiniombaga gemu tu lazima afike kwenye orgasm ila nikimuaomba mimi game huwa afiki japo mimi huwa natimiza haja zangu na kusepa.
Kitu kikubwa nq ambacho ni kigumu ku-fake vagina contractions. Ukiwa makini utahisi tu kama unafinywa hivi katikati ya game. Hiyo ndio njia ya uhakika kiasi kikubwa, haya mengine ni rahisi ku-act
anachokufanyia ni shambulio la kimwili unapaswa kumshataki police atakuua...
MarhabaaaHabari wana JF, Shikamooni wana MMU.
Nadhani mnafahamu kama nina mpenzi mzuri ambaye anaweza kushika nne bora katika kila mademu 10 atakao
simama nao. Mimi na Demu wangu huyu kila tunapokua fargha baada ya kumpa manjonjo yangu ya kila aina
kuna muda unafika huwa ananikunja na kunifinya na makucha yake hadi mwili unavimba, ananila denda kama
anataka animeze na muda mwingine huwa ana nikaba na kubana ukutani na viungo vyake vina kua vimejikaza.
Je hii ndio orgasm?.
Vidume mnajuaje kama mwenzi wako ameridhika?.
Wadada kwa nini mnapenda ku-fake hii kitu?
Mada iko mezani shambulia mada, usimshambulie mwenzio.
Mods plz.
Kweli ila angalia usije kutamani 3some kama wenzaka hapa jamvini mkuumkuu sina sababu ya kuacha...afterall the main reason for these kind of movies is to be watched so long as am above 18.
Kama akili imetulia wakati wa ku do lazima utafikia top, We are talking kurushwa maji sasa. Ndo iko sokoni. ................. sitajibu hoja.