Je, unafahamu ni kwanini aliitwa Ice Cube?

Je, unafahamu ni kwanini aliitwa Ice Cube?

Gang Chomba

Platinum Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,734
Reaction score
4,869
Akiwa Mdogo na Kaka yake, walikuwa Ndani huku wakicheza mchezo wa tiali bado.

Ilipofika zamu yake kujificha, O’shea Jackson alifungua Friza na kudumbukia ndani kwa malengo ya kujificha.

Kaka yake alimtafuta na kumkosa na kisha akaamua kutoka zake Nje na kwenda kujiunga na watoto wengine ba kuendelea na michezo.

Akiwa ndani ya Friza huku hali ya baridi ikiwa ni kali na inazidi kumuelemea alifanya jitihada zote za kujiokoa lakini ilishindikana.

Bahati ilikuwa upande wake, kwa maana Mama yake mzazi alikuwa anaandaa maakuli hivyo ilimlazimu kwenda kwenye Friza kuchukua Giligilani, Ajina Moto, Kotmili na zaga nyingine.

Basi ile paaap Bimkubwa alipo fungua Friza akamkuta Dogo abatetemeka huku hali yake ikiwa dhoofu na anaelekea kukata Moto.

Kwa mshtuko Bimdanga alilifunga Friza na kupiga ukunga wa maana.
Hatimae ujasili ukamuingia na hatimae akaenda kufungua tena na kumuopoa Dogo.

Jumapili ilipofika O’shea alikwenda Kanisani kutoa shukran huku akiwa ameongozana na rafiki yake wa kike unaweza iita pisi yake.

Mchungaji alimuombea na kisha baada ya sala akaleta masihara kidogo kwa kumuita ICE CUBE, na tangu hapo ndipo likawa jina lake.
IMG_2528.jpeg
 
Kina ice cube, Dr Dre, Snoop, xhibit yote majinga tu. Hayana msaada wowote kwa ummah wa Black Americans. Yani yote hopeless bure kabisa.

babukijana
Man wake up ,umsaidie nani kule?
Mtoto wa miaka 16 juzi kahukumiwa kifungo cha maisha kwa murder case,kazimia
Kasahau km ye kaua mtu.
Mwingine alicheka judge akimuhukumu,
Kalimwa nyundo 250 palepale kaanza kulia alikua anamcheka judge.
Sasa hao wanahitaji kusaidiwa nini
 
Nakumbuka ili tukio Maza alimweka dogo kwenye micro wave barafu ikaisha na chanzo cha jina lake lingine la utani hadi kesho hapa mtaani
 
Man wake up ,umsaidie nani kule?
Mtoto wa miaka 16 juzi kahukumiwa kifungo cha maisha kwa murder case,kazimia
Kasahau km ye kaua mtu.
Mwingine alicheka judge akimuhukumu,
Kalimwa nyundo 250 palepale kaanza kulia alikua anamcheka judge.
Sasa hao wanahitaji kusaidiwa nini
Nyundo 250 ndiyo kipimo gani?
 
Hapo Mwanjelwa juu kule siku nikaona mi kulala nahesabu mabati noma,
wenyeji walokole nikaona ngoja nifate nyagi jirani hapo aloo.
Mtaa uko kimya huoni mtu kibabe nikaenda.
Ilikua ndo Nondo zimekolea kipindi hicho.
Mshua kanambia kabisa mtaani ni sa 2 usiku mwisho.
Mi nimeelekea sa tatu
E bana nikatandika pale grocery kisichana fasta na take away Zinga moja nikafe nalo home.
Alalala ile napinda kona kwenda home wajuba hawa hapa.
Kwenye kigiza,
duh nikaona nakufa kizembe leo.
Ndo kukumbuka drunken master kung fu style.
Dakika 30 tu mi narudi maskani nimeangusha vijeba na nondo zao na mapanga.
Damu kibao,mdingi anauliza vp tena, mi nimevamiwa dukani tu hapo
Nyundo 250 ndiyo kipimo gani?
Miaka 250 babu kule hawatanii,
no parole na ukitoka una kifungo cha ziada miaka 25.
Kuna gereza linaitwa Angola huko,
Ukipelekwa we kaanze kusoma,na kazi ndogondogo na kusali sana
Maana wako nawewe mpaka kifo
 
Huyu kiumbe anahatari sana, kwahiyo ndo akaamua kujika kiaina hiyo, ni hatari kwa kweli.
 
Kina ice cube, Dr Dre, Snoop, xhibit yote majinga tu. Hayana msaada wowote kwa ummah wa Black Americans. Yani yote hopeless bure kabisa.

babukijana
Waache wafanye watakavyo,huku kiongozi tuliowapa dhamana tunawalipa kodi zetu, watoto wao wanatuonyesha dole la kati
 
Man wake up ,umsaidie nani kule?
Mtoto wa miaka 16 juzi kahukumiwa kifungo cha maisha kwa murder case,kazimia
Kasahau km ye kaua mtu.
Mwingine alicheka judge akimuhukumu,
Kalimwa nyundo 250 palepale kaanza kulia alikua anamcheka judge.
Sasa hao wanahitaji kusaidiwa nini
Ila ikija swala la uhalifu marekani Black Americans wanaongoza. DC yani machalii tu teenegers no wezi wamagari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom