Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Haha, hakubali kushindwa lakini hilo si issue.
Issue ni mtazamo wake, sio wa sayari hii. 🙂
Enheeee jibu sasa tuone [emoji23][emoji23][emoji23]Joseverest unaona sasa umeliamsha dude...lol!
Enheeee jibu sasa tuone [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha unadhani atakubali, lazima atutetee sisi ME...Kazi kwako kutetea KE.. mi nawaangalia tu [emoji23][emoji23][emoji23]Haha, jamaa kanistua nikafikiri kakubaliana na msimamo wangu. [emoji28] [emoji23]
Umenena vyema sexless hahahahaAaah ! Joseverest, mzee wa kuniponda. Haya bhana ngoja nijikite kwenye mada.
wanawake wasioweza kuishi bila kutegemea waume zao ndiyo wanaodumu kwenye ndoa. Na ndoa nyingi sana zinazosifiwa kuwa zimedumu mke ni chawa wa mume.
Angalia wadada wenye ajira za kulipwa vilaki 5 mkp milioni kwa mwezi. Aaah ! Jeuri hao ni balaaa. Na mara nyingi huvunja ndoa zao.
Nipo jana na leo aya fungukaOpps!, kumbe upo, umenishtua nilifikiri umelala. 😀
ahahahaha..kuna wengine wametuliaWadada wenyewe ndo hawa wa kibongo bata 24 hour's au kuna wengine
Uko vyema mkuuu....Aaah ! Joseverest, mzee wa kuniponda. Haya bhana ngoja nijikite kwenye mada.
wanawake wasioweza kuishi bila kutegemea waume zao ndiyo wanaodumu kwenye ndoa. Na ndoa nyingi sana zinazosifiwa kuwa zimedumu mke ni chawa wa mume.
Angalia wadada wenye ajira za kulipwa vilaki 5 mkp milioni kwa mwezi. Aaah ! Jeuri hao ni balaaa. Na mara nyingi huvunja ndoa zao.