Je unaenda kuwa mzigo au?

Je unaenda kuwa mzigo au?

On point Jose..
Lakini mbona umesema sisi tu, kwani nyie hamuwezi kuja kuwa mizigo?
Tena nyie ndo mbaya zaidi cos mwanaume akiishiwa, halafu na hizo ego zenu si rahisi kurudi kwa wazazi ni heri afe kisabuni kwa mwanamke wake.
Kila kitu ni lazima mjilinganishe na mwanume? Badilisha hiyo dhana ya kifikira itakutesa sana. Ukiona sehem kuna mjadala wa jinsia fulani usilazimishe kuleta jinsia nyingine jaribu kujenga hoja juu ya mada na sii vinginevyo. Kwani mada ingekua inasifia jinsia yako ungeleta jinsia tofauti uanze kufananisha sifa? Napata tabu kuamini kuwa watu kama nyie huwa mnaishi na wanaume na kama jibu ni ndio basi nna wasiwasi uanaume wa wanaume zenu
 
Mkuu josevert naona unawawakilisha vema wanaume wa mikoani kwa mawazo yako mazuri naona umechoka kucomment thread za wenzako
 
Kila kitu ni lazima mjilinganishe na mwanume? Badilisha hiyo dhana ya kifikira itakutesa sana. Ukiona sehem kuna mjadala wa jinsia fulani usilazimishe kuleta jinsia nyingine jaribu kujenga hoja juu ya mada na sii vinginevyo. Kwani mada ingekua inasifia jinsia yako ungeleta jinsia tofauti uanze kufananisha sifa? Napata tabu kuamini kuwa watu kama nyie huwa mnaishi na wanaume na kama jibu ni ndio basi nna wasiwasi uanaume wa wanaume zenu


Kwani kuleta jinsia tofauti kwenye mjadala sio kujenga hoja?!, na kuna ubaya gani tukilinganisha?
Kama mada ingekuwa ya jinsia yangu nisinge mind mtu kuleta jinsia tofauti, matter of fact, ningefurahia kuona hoja ambayo ni tofauti na yangu badala ya ku base na upande mmoja tu, cos ingenipanua mawazo kama ilivyo dhana ya kifikira.
 
Kwani kuleta jinsia tofauti kwenye mjadala sio kujenga hoja?!, na kuna ubaya gani tukilinganisha?
Kama mada ingekuwa ya jinsia yangu nisinge mind mtu kuleta jinsia tofauti, matter of fact, ningefurahia kuona hoja ambayo ni tofauti na yangu badala ya ku base na upande mmoja tu, cos ingenipanua mawazo kama ilivyo dhana ya kifikira.
Huko kupanua mawazo ndiko kuna leta migongano kwenye familia changa za kizazi hiki. Nadhani kuwa msomi sio kuhoji kila kitu. Kuwa msomi ni kuweza kujua jamii iko vipi na kuweza kuishi nayo
 
Huko kupanua mawazo ndiko kuna leta migongano kwenye familia changa za kizazi hiki. Nadhani kuwa msomi sio kuhoji kila kitu. Kuwa msomi ni kuweza kujua jamii iko vipi na kuweza kuishi nayo


Kwa hiyo tusipanue mawazo kwa kuogopa migongano katika familia?
Kama binadamu, tungekuwa waoga kujifunza mambo tofauti na tuliyoyazoea kisa tunaogopa matokeo kama yatakuwa mazuri au mabaya tungefika tulipofika kimaendeleo?
 
Kwa hiyo tusipanue mawazo kwa kuogopa migongano katika familia?
Kama binadamu, tungekuwa waoga kujifunza mambo tofauti na tuliyoyazoea kisa tunaogopa matokeo kama yatakuwa mazuri au mabaya tungefika tulipofika kimaendeleo?
Ndoa kuvunjika na kuwepo kwa single parent ndio maendeleo?
 
Ndoa kuvunjika na kuwepo kwa single parent ndio maendeleo?


Well, hizi ndoa zinavunjika kwa sababu watu hawana akili za kutunza vizuri familia, na akili zinazotokana na kuwa na ufahamu, na ufahamu unaotokana na kupanua mawazo. Back to square one. Kupanua mawazo ni muhimu.
 
Well, hizi ndoa zinavunjika kwa sababu watu hawana akili za kutunza vizuri familia, na akili zinazotokana na kuwa na ufahamu, na ufahamu unaotokana na kupanua mawazo. Back to square one. Kupanua mawazo ni muhimu.
Hahahaha hapo unakubaliana mimi kwamba sio kila kitu tulinganishe jinsia ya me na ke. Kuna vitu vingine inabidi uache ukiwa kama mwanamke. Kuna mambo ambayo wanaume huona na kuacha hawajilinganishi na wanawake hii inasaidia kuleta utawala kwenye jamii
 
Hahahaha hapo unakubaliana mimi kwamba sio kila kitu tulinganishe jinsia ya me na ke. Kuna vitu vingine inabidi uache ukiwa kama mwanamke. Kuna mambo ambayo wanaume huona na kuacha hawajilinganishi na wanawake hii inasaidia kuleta utawala kwenye jamii


Nimekubaliana na wewe kivipi loveb!, nimerudi tu mwanzo kuwa kupanua mawazo na kujifunza ni muhimu ili hizo ndoa unazosema zidumu.
Kha!, halafu toka lini nyie mkajilinganisha na sisi? Au ndo hao wanaume wanaolialia humu kila siku mara wanawake hivi, wanawake vile kwa sababu tu wanawake hawafanyi vile wanavyotaka wao?
Basi nina wasi na uanaume wao!
 
Nimekubaliana na wewe kivipi loveb!, nimerudi tu mwanzo kuwa kupanua mawazo na kujifunza ni muhimu ili hizo ndoa unazosema zidumu.
Kha!, halafu toka lini nyie mkajilinganisha na sisi? Au ndo hao wanaolialia humu kila siku mara wanawake hivi, wanawake vile kwa sababu tu wanawake hawafanyi vile wanavyotaka wao?
Basi nina wasi na uanaume wao!
Point yangu inarudi nyuma kuwa wanawake acheni kulinganisha kila kitu, tumie akili sio kila wakati ikiongelewa mada mnaanza kusema NA SISI., hadi wanawake wa darasa la saba wanawashinda nyie mliopata elimu hujulizi kwann
 
Joseveret UMEAMSHA DUDE..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
"Tuna MAKUNGWI..Ila tulikosa Makungwi JASIRI kama wewe" (in J.BUTIKU voice)

Massage delivered..!!
 
Point yangu inarudi nyuma kuwa wanawake acheni kulinganisha kila kitu, tumie akili sio kila wakati ikiongelewa mada mnaanza kusema NA SISI., hadi wanawake wa darasa la saba wanawashinda nyie mliopata elimu hujulizi kwann


Hahaha!, eti na sisi, mpaka umenichekesha!
Kwa hiyo hata kama kuna kitu muhimu kinaongelewa ambapo tunaweza kuchangia na kuwa part of it tukaage kimya tu, kuogopa kujilinganisha?!
 
Hahaha!, eti na sisi, mpaka umenichekesha!
Kwa hiyo hata kama kuna kitu muhimu kinaongelewa ambapo tunaweza kuchangia na kuwa part of it tukaage kimya tu, kuogopa kujilinganisha?!
Achana na kusubir mada iletwe then useme na sisi anzisha mada yako uone kama wanaume watasema na sisi
 
Back
Top Bottom