Je unaenda kuwa mzigo au?

Je unaenda kuwa mzigo au?

Achana na kusubir mada iletwe then useme na sisi anzisha mada yako uone kama wanaume watasema na sisi


Hahaha, unasema hivi kwa ujasiri wote cos unajua fika hakuna wa jinsia yako atakayefanya hivi.
Anyways, back to the topic, msipojiangalia mnaweza kuwa mizigo pia. 🙂
Coz unataka kuniaminisha kuwa nyie huwa hamuhitaji kabisa msaada wetu.
Kitu ambacho sikubaliani nacho.
 
Hahaha, unasema hivi kwa ujasiri wote cos unajua fika hakuna wa jinsia yako atakayefanya hivi.
Anyways, back to the topic, msipojiangalia mnaweza kuwa mizigo pia.
Coz unataka kuniaminisha kuwa nyie huwa hamuhitaji kabisa msaada wetu.
Kitu ambacho sikubaliani nacho.
A man still a man, get a man get a life, kama unae mshikilie huyo ndio kila kitu, Mungu akitaka kuongea na mwanadamu huwa anaongea na mwanaume na shetani akitaka kuongea na binadam huongea na mwanamke, rejea adam na hawa
 
A man still a man, get a man get a life, kama unae mshikilie huyo ndio kila kitu, Mungu akitaka kuongea na mwanadamu huwa anaongea na mwanaume na shetani akitaka kuongea na binadam huongea na mwanamke, rejea adam na hawa


Asee hapa umeniacha kabisa!
Get a man get a life, meaning you guys are everything and we can't survive without you but you can live and survive without us?!!
 
Hahaha!, eti na sisi, mpaka umenichekesha!
Kwa hiyo hata kama kuna kitu muhimu kinaongelewa ambapo tunaweza kuchangia na kuwa part of it tukaage kimya tu, kuogopa kujilinganisha?!
NYIE WATU NAFURAHISHWA NA MNAVYOBISHANA [emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na kusubir mada iletwe then useme na sisi anzisha mada yako uone kama wanaume watasema na sisi
 
Joseveret UMEAMSHA DUDE..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
"Tuna MAKUNGWI..Ila tulikosa Makungwi JASIRI kama wewe" (in J.BUTIKU voice)

Massage delivered..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Poa mkuu
 
Mkuu josevert naona unawawakilisha vema wanaume wa mikoani kwa mawazo yako mazuri naona umechoka kucomment thread za wenzako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122] sio mbaya siku 1 moja tukianzisha uzi
 
Back
Top Bottom