Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Aisee wanafika 14+..Hapo nimewatoa hookers..Naendelea endelea kabla sijaamua kutundika daluga kama Paul Scholes kwa kuoaTupe Idadi Mzee wa Man United
Aisee wanafika 14+..Hapo nimewatoa hookers..Naendelea endelea kabla sijaamua kutundika daluga kama Paul Scholes kwa kuoaTupe Idadi Mzee wa Man United
Mimi nna miaka 27
Mbunye nilizochakata mpaka Sasa ni 25
.....Sina noma maana idadi ya assists haijapishana sana na overall goals nilizoscore mpk sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Tofauti tofauti?Nilisha acha. Nina degree ya gono, syphilis na watoto kibao, Namshukuru Mungu sikupata ukimwi
Ongeza juhudi mkuu speed ya kobeNina enda 27
Ila nimepita na wanne (4) Tu
Can you imagine ?
Aisee wanafika 14+..Hapo nimewatoa hookers..Naendelea endelea kabla sijaamua kutundika daluga kama Paul Scholes kwa kuoa
Nimekumiss
Ndiyo timu inafanya vibaya
Huyu mheshimiwa Yuko idodomyaWakiwemo na wale machangudoa wa pale corner bar, ambiance, kimboka, uwanja wa fisi n.k eti eeh?
Kweli mkuu, lazima ule kibuti so dawa ni kusoma comments tu.comment ule kibuti labda useme wawili
Oyaaa zero, uko dar?Je, una miaka mingapi na ulishafanya mapenzi na wanawake/wanaume wangapi mpaka sasa?
Binafsi mpaka sasa ndio nimetimiza miaka 25, lakini wanawake niliochakata mpaka sasa nilioweza kuwakumbuka na kuorozesha majina yao mpaka sasa wamefikia 83 ,
Kuna wengine niliopita nao mara moja moja nimewasahau, kuna niliokula tu bila kujua ata majina yao nimesahau
inshort sina idadi kamili ila ni kuanzia 83+
Je, wewe umefikia wangapi?
Mimi nikiwa na umri wako mwaka 1992 nilishachakata mbunye tofauti tofauti, tena za maana isipokuwa moja, yapata 65. Karibu nusu yao, nafungua karatasi mwenyewe.Je, una miaka mingapi na ulishafanya mapenzi na wanawake/wanaume wangapi mpaka sasa?
Binafsi mpaka sasa ndio nimetimiza miaka 25, lakini wanawake niliochakata mpaka sasa nilioweza kuwakumbuka na kuorozesha majina yao mpaka sasa wamefikia 83 ,
Kuna wengine niliopita nao mara moja moja nimewasahau, kuna niliokula tu bila kujua ata majina yao nimesahau
inshort sina idadi kamili ila ni kuanzia 83+
Je, wewe umefikia wangapi?