Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

sasa wewe hujui tu hakuna lindo nzuri kama ya benki b'se wanakulipa tofauti na mshahara wako hivyo you can make more money natamani kila siku niwe lindo la bank halafu wale madem wanaofanya kazi banks wanakubali sana solders hivyo ukitaka unakamatia hapohapo na ukitembea naye njiani wanakuwa wanajiamini

EJAy sure man madem wengi kitaa wanazimia masoldier kinoma mimi si ninaona hahahha fresha mna we wana join your force broo tutafundishana Mengine tukifanikiwa kuingia man but swala la kua ofsa huwa wanachukua probation ya miaka mingapi mzee maana haitakua na logic uingie kqenye force na bacholor then ustaafu ukiwa constable si bora mtu asingepoteza mda akaingia akiwa four leaver ikajulikana tu hahahaa
 
EJAy sure man madem wengi kitaa wanazimia masoldier kinoma mimi si ninaona hahahha fresha mna we wana join your force broo tutafundishana Mengine tukifanikiwa kuingia man but swala la kua ofsa huwa wanachukua probation ya miaka mingapi mzee maana haitakua na logic uingie kqenye force na bacholor then ustaafu ukiwa constable si bora mtu asingepoteza mda akaingia akiwa four leaver ikajulikana tu hahahaa

kwenda uafisa inategemeana unaweza kwenda hata baada ya mwaka mmoja ila mitatu mwisho graduate wanapewa sana kipaumbele
 
Wakuu
Nmekua nkifuatilia sana hii thread,yan nko interested nayo sana.
Nafurah majibu ya wakuu wengi tu kama Ejay, Tumbu na Mtanzania mwenye nia.
Asanteni sana
 
kwenda uafisa inategemeana unaweza kwenda hata baada ya mwaka mmoja ila mitatu mwisho graduate wanapewa sana kipaumbele

Kuna mstaafu wa mwaka 2011 anasema hawa wanaoingia saivi (professionals) wanafanya depo yao pale kurasini kisha wakimaliza wanapata nyota 1! Nafikili utaratibu huu kama sivyo basi wameutoa miaka ya karibuni
 
Kuna mstaafu wa mwaka 2011 anasema hawa wanaoingia saivi (professionals) wanafanya depo yao pale kurasini kisha wakimaliza wanapata nyota 1! Nafikili utaratibu huu kama sivyo basi wameutoa miaka ya karibuni

Adimu hayo ni mawazo yake na hatuwezi kuyakaa lakin mwa muono wangu sidhan kama ni kweli kwasababu kuna graduate wameingia mwaka2012/ 2013 sasa na bado hawajaenda kusoma uofsa kaka kwaiyo sidhan kama Jeshi linaweza kuwapa fursa hawa newcomer nyota wakati kuna ambao wako kwenye force na bado hawajapewa fursa hiyo lazima mtu usote kwanza nadhan
 
kwenda uafisa inategemeana unaweza kwenda hata baada ya mwaka mmoja ila mitatu mwisho graduate wanapewa sana kipaumbele

Oya broo Mr Lugoje kapotea sana.ila siyo mbaya man ila nasikia hata kama hujawa ofsa unalipwa mshahara kulingana na elimu yako so sijajua kama kuna baadhi ya allowances za ziada mana masoldier wengi mnaficha sana hahaha
 
Kuna mstaafu wa mwaka 2011 anasema hawa wanaoingia saivi (professionals) wanafanya depo yao pale kurasini kisha wakimaliza wanapata nyota 1! Nafikili utaratibu huu kama sivyo basi wameutoa miaka ya karibuni
Yan utoke mtaani uende kurasini jumla jumla..?
Ii kitu akunaga,ccp moshi muhimu kula msoto kidogo. Ila kwa army ndo poa zaid,kwan wanaenda monduli jumla kuhenyea nyota.
 
Yan utoke mtaani uende kurasini jumla jumla..?
Ii kitu akunaga,ccp moshi muhimu kula msoto kidogo. Ila kwa army ndo poa zaid,kwan wanaenda monduli jumla kuhenyea nyota.

Kabla ya kwenda monduli lazima uwe private yani unaanza RTS kisha unakua askari alafu ndo unasubilia nafasi za kwenda kusomea uafsa monduli na vijana washaenda monduli mwezi huu wa tisa
 
Yan utoke mtaani uende kurasini jumla jumla..?
Ii kitu akunaga,ccp moshi muhimu kula msoto kidogo. Ila kwa army ndo poa zaid,kwan wanaenda monduli jumla kuhenyea nyota.

zamani ilikuwa ndo hivyo lakini toka miaka kadhaa iliyopita lazima uanzie moshi ccp utumikie constable kidogo then uchukue nyota Hata Jw siku hizi lazima usote kwanza ndo uende monduli, upande wa salary inategemeana na elimu yako jeshi limefanya marekebisho makubwa sana
graduate aliyeko police anapata salary ndefu+ posho na marupurupu mengine, nadhani hayo yanatosha kupata mwongozo pia mishahara inatoka kwa wakati tar 25 on the spot,posho tar.15 tofauti na kadha zingine
 
nmeshoma coments zote,nmegundua nmepoteza pesa zangu za ems,mim nmesoma psychology na nmehtim mwaka husika. Na nnamagod father kibao huko uhakika wa kuchaguliwa nnao asilimia mia moja, ila sitakwenda kwan mzunguko huo sitausubir yaan 6 then 3 months ili uwe afsa, mim sikujua kabisa kama ukiwa na degree unaenda lindo wakat hapa nyuma kulikua na mass failure kwann wasngewachukua hao. Mimi wameniomba nkawasaidie to handle psychological issues not otherwise na hyo ndo maana professionalism. Sitaki tena na sitaenda michongo yangu mungu akipenda itanisoma mwakani tu. Ngoja niendelee kula hizi.
 
nmeshoma coments zote,nmegundua nmepoteza pesa zangu za ems,mim nmesoma psychology na nmehtim mwaka husika. Na nnamagod father kibao huko uhakika wa kuchaguliwa nnao asilimia mia moja, ila sitakwenda kwan mzunguko huo sitausubir yaan 6 then 3 months ili uwe afsa, mim sikujua kabisa kama ukiwa na degree unaenda lindo wakat hapa nyuma kulikua na mass failure kwann wasngewachukua hao. Mimi wameniomba nkawasaidie to handle psychological issues not otherwise na hyo ndo maana professionalism. Sitaki tena na sitaenda michongo yangu mungu akipenda itanisoma mwakani tu. Ngoja niendelee kula hizi.

Hakuna kitu cha raisi raisi ndugu yangu, utakapo onja joto ya jiwe mtaani utayakumbuka haya uliyosema na hakika utajiona mkosaji!
 
nmeshoma coments zote,nmegundua nmepoteza pesa zangu za ems,mim nmesoma psychology na nmehtim mwaka husika. Na nnamagod father kibao huko uhakika wa kuchaguliwa nnao asilimia mia moja, ila sitakwenda kwan mzunguko huo sitausubir yaan 6 then 3 months ili uwe afsa, mim sikujua kabisa kama ukiwa na degree unaenda lindo wakat hapa nyuma kulikua na mass failure kwann wasngewachukua hao. Mimi wameniomba nkawasaidie to handle psychological issues not otherwise na hyo ndo maana professionalism. Sitaki tena na sitaenda michongo yangu mungu akipenda itanisoma mwakani tu. Ngoja niendelee kula hizi.

Mkuu sitaki kua nabii ila nakuonya kama mtanzania mwenzako angalia hali ni tete sana. Haya maneno ya vijana hua yanapoteza wengi maana graduate hua ana mipango mingi sana ambayo kwa nadharia ni rahisi kuisema ila kuiweka katika vitendo ni jambo gumu sana, nakushauri tumia kilichopo ili mradi ni kazi halali.
 
zamani ilikuwa ndo hivyo lakini toka miaka kadhaa iliyopita lazima uanzie moshi ccp utumikie constable kidogo then uchukue nyota Hata Jw siku hizi lazima usote kwanza ndo uende monduli, upande wa salary inategemeana na elimu yako jeshi limefanya marekebisho makubwa sana
graduate aliyeko police anapata salary ndefu+ posho na marupurupu mengine, nadhani hayo yanatosha kupata mwongozo pia mishahara inatoka kwa wakati tar 25 on the spot,posho tar.15 tofauti na kadha zingine
Nmekuelewa sana mkuu..
Asa aya masuala ya salary yanaendaje vle kule. Nasikia kitu cha mia nane kinaweza kufika ukchanganya na marupurupu yote..?
Ikoje ii mkuu
 
sasa kwa wale ambao hawakutuma provisional result inakuaje, Manake mpaka kufikia deadline ya kutuma kuna vyuo vingine matokeo yalikuwa bado.
 
nmeshoma coments zote,nmegundua nmepoteza pesa zangu za ems,mim nmesoma psychology na nmehtim mwaka husika. Na nnamagod father kibao huko uhakika wa kuchaguliwa nnao asilimia mia moja, ila sitakwenda kwan mzunguko huo sitausubir yaan 6 then 3 months ili uwe afsa, mim sikujua kabisa kama ukiwa na degree unaenda lindo wakat hapa nyuma kulikua na mass failure kwann wasngewachukua hao. Mimi wameniomba nkawasaidie to handle psychological issues not otherwise na hyo ndo maana professionalism. Sitaki tena na sitaenda michongo yangu mungu akipenda itanisoma mwakani tu. Ngoja niendelee kula hizi.

Hahahahahaa umesoma psychology siyoo hongera kwa kusoma psychology ila una high expectation sana maishan man usipokua makin utafeil hahahaha sikutishi but no pain no gain man hawa wengine tumesoma psychology kama wewe man we ingia police force
 
Hahahahahaa umesoma psychology siyoo hongera kwa kusoma psychology ila una high expectation sana maishan man usipokua makin utafeil hahahaha sikutishi but no pain no gain man hawa wengine tumesoma psychology kama wewe man we ingia police force

nayasema haya kwa experience nna ndugu yangu yuko huko polisi,kitu ni kigumu ni ruksa ya kwenda masomi wengi watumia kutoroka tu. Ni ukwel usiopngka huko kunafitina mno nan akuruhusu urudi uwe bos,mi nlfkr wanamchukua mtu kwa kwa sababu ya profession yake,na sio kuongeza watu tu ambao kwa mifumo ya jeshi wanaenda kuua reasoning capacity ambaayo ni hazina ya intellectual yeyote.
 
Hahahahahaa umesoma psychology siyoo hongera kwa kusoma psychology ila una high expectation sana maishan man usipokua makin utafeil hahahaha sikutishi but no pain no gain man hawa wengine tumesoma psychology kama wewe man we ingia police force

low expectation makes you prone to failure,mkuu ulitaka niwaze kama sisimiz na jeshi lenyewe sijui kama linahtaj mtu wa namna hii, mimi ndugu nipo moderate ndo maana niliomba ila ujue ni tofauti kumchukua mtu mwenye profession na kumchukua mtu mwenye basic skills from school,huyu jeshi ndo lnamtengeza awe lipendavyo, waulize walio ndani ujui how tough it is to be promoted,samahani kama ntakua nmekuudhi. Karibu
 
low expectation makes you prone to failure,mkuu ulitaka niwaze kama sisimiz na jeshi lenyewe sijui kama linahtaj mtu wa namna hii, mimi ndugu nipo moderate ndo maana niliomba ila ujue ni tofauti kumchukua mtu mwenye profession na kumchukua mtu mwenye basic skills from school,huyu jeshi ndo lnamtengeza awe lipendavyo, waulize walio ndani ujui how tough it is to be promoted,samahani kama ntakua nmekuudhi. Karibu

Hata hujaniudhi tunaongea boy wangu daaah ila kama kusoma wanabaniana hapo hawawez nipata hata mimi aisee for sure napenda sana kujiendeleza
 
Back
Top Bottom