Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Hata hujaniudhi tunaongea boy wangu daaah ila kama kusoma wanabaniana hapo hawawez nipata hata mimi aisee for sure napenda sana kujiendeleza

ndo maana mi siogop huo msoto ila mi nlifkir kua unaenda ccp uktoka unafika unafanya shughuli za field yako na sio kuwa askar wa kawaida halafu ndo uombe tena kuusomea uafisa, halafu wajui kama unavision hizo utajuta kuzaliwa,yaan kila lindo gumu na hatar kwa maisha yako utakua unapangwa.
 
ndo maana mi siogop huo msoto ila mi nlifkir kua unaenda ccp uktoka unafika unafanya shughuli za field yako na sio kuwa askar wa kawaida halafu ndo uombe tena kuusomea uafisa, halafu wajui kama unavision hizo utajuta kuzaliwa,yaan kila lindo gumu na hatar kwa maisha yako utakua unapangwa.

Nimependa majadiriano yenu!!

Lakini kumbukeni huku mtaani ni kugumu sana.
Itafika muda mtaona bora mngeenda huko ila kama mnapakuanzia huku mtaani mpambane tu.
 
mkemee shetani kukata tamaa na woga

Mimi nimewaona wengi kama wewe ila mwisho wa siku wakawa wapole, wito wangu kwako: Usizarau kazi na wala kuchagua, ata mto haujavuka ushaanza kumkejeli mamba???
N.b: Sikuwai kukata tamaa wala kuogopa maisha maana nina mikondo zaidi ya mmoja ya mapato.
Nb+: Mchagua jembe si mkulima fanya kazi kijana acha zereu!
 
MSOMI NA BUNDUKI WAP NA WAP....KAM C KUINGIZA MATATIZ TU KTK POLIC....MTU ASHASUGUA 3yearz ANATAFUTA DIGREE ALAF UNAMWAMBIA AKALINDE BANK... DIGRI ZA BONGO BAN....SOMEN COZ ZENYE DIRECT PRACTICAL SKILLZ HUWEZ HAKANGAIK AJIRA ATA SIKU.MOJA...TATIZ MNAKIMBILIA DIGRII WAKAT COZ ZA DIGRII ZOTE BONG NI ZA KISIASA TU....SOMEN CLEARANCE AND.FORWADING....ELECTRICAL TECHINICIAN....WELDING MAINTANANCE n.k IZO COZ DUNIAN COTE UNAAJIRIWA ..SAS SOM BBA YAKO NENDA TU BARCLAYZ UONE.....
 
Nmekuelewa sana mkuu..
Asa aya masuala ya salary yanaendaje vle kule. Nasikia kitu cha mia nane kinaweza kufika ukchanganya na marupurupu yote..?
Ikoje ii mkuu

zaidi ya 900
 
Polisi nao wameweka ushahidi kuwa na wao wameajiri.
 
MSOMI NA BUNDUKI WAP NA WAP....KAM C KUINGIZA MATATIZ TU KTK POLIC....MTU ASHASUGUA 3yearz ANATAFUTA DIGREE ALAF UNAMWAMBIA AKALINDE BANK... DIGRI ZA BONGO BAN....SOMEN COZ ZENYE DIRECT PRACTICAL SKILLZ HUWEZ HAKANGAIK AJIRA ATA SIKU.MOJA...TATIZ MNAKIMBILIA DIGRII WAKAT COZ ZA DIGRII ZOTE BONG NI ZA KISIASA TU....SOMEN CLEARANCE AND.FORWADING....ELECTRICAL TECHINICIAN....WELDING MAINTANANCE n.k IZO COZ DUNIAN COTE UNAAJIRIWA ..SAS SOM BBA YAKO NENDA TU BARCLAYZ UONE.....





wanataka kupeleka digrii za kulima mchicha polisi ?
 
Mimi nimewaona wengi kama wewe ila mwisho wa siku wakawa wapole, wito wangu kwako: Usizarau kazi na wala kuchagua, ata mto haujavuka ushaanza kumkejeli mamba???
N.b: Sikuwai kukata tamaa wala kuogopa maisha maana nina mikondo zaidi ya mmoja ya mapato.
Nb+: Mchagua jembe si mkulima fanya kazi kijana acha zereu!







mwambie kama vip auze gazeti
 
Mtot wa kijij ni balaa ndo maan jesh la polis linakos maadili....mtu kasom kadigri kake na tz mtu akipat digri ye ndo anajifanya anajua yote unadhan kuna nin hapo
 
Last edited by a moderator:
Kuna tetesi nimesikia kuhusu usaili wa police tr 19 mwezi huu, je ni taarifa za kweli? msaada kwa anayefaham.
 
Back
Top Bottom