Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

mkuu tuvumilie ila kwa tetesi za chini nasikia wanaitajika graduate wasiozidi 200
 
Kweli Tanzania hali ya maiaha ni ngumu, yani inafikia hatua hata kazi ya jeshi unaililia! Eu não acredito, mimi hata nifuatwe nilazimishwe siitaki, vala á pena nishike mbopo nikalime.

ulaya kaz za majesh ndo zinagombaniwa!
 
Sasa cjui madokta wanaowahitaji ni wapi Hao wenye 25 yr, labda sio tz.. Otherwise they have to put up to at least 28,

Wakugushi vyeti watakuwa wengi kigezo cha umri Kwa anye degree wamekosea wangefanya 35yrs
 
Wakugushi vyeti watakuwa wengi kigezo cha umri Kwa anye degree wamekosea wangefanya 35yrs


Mhh hapo mwalimu haupo sawa....

35 na mazoezi ya jeshi? halafu atumike miaka mingapi?
 
But wangeweka 28 walau, ni nadra sana kumpata mhitimu wa MD wa umri huo (japo wapo).
 
Kweli mkuu watakao pata nafasi itakuwa bahati yao coz nafasi hizo ni chache sana
 
Oyaa wadau kwani wale wenye shahada umri wao ni sawa na wale wa stashahada? mbona hapo nimechanganya kidogo, inakuaje? embu nijuzeni
 
Jaman wadau nawaombeni mnijuze juu ya zile nafasi a volunteers zilizokuwa zmetangazwa na GIO June 2014 na mwesho wa kutuma maombi ilikuwa ni 31july...........na training yao ilikuw ianze leo tareh 6 /09/2014, maana naona kimya kingi kutoka waliponitumia e mail yao ya kunitaarfu kuw nimefanikiwa kuchaguliwa na kuwa miongoni mwa short listed candidates. Na wakasema nitume kiasi cha Tsh 50000 kwa mpesa , nikatuma na baada ya hapo wakaniahid kunitumia email ya ratiba ya training ambayo ilitakiwa ianzae leo. cha kushangaza sijapata hyo email yao na hata namba yao yacmu haipatikan naombeni mnipe jibu waungwana maana kitaan pagumu jaman..................

mkuu ushaingizwa mjini hapo kwani ktk instruction zao walixema kuna kulipia hiyo 50000 na mekutana na malalamiko km hayo mara ya nne xx wasomi wamejaa mjini kazi hakuna we unnadhani kuna nn hapo km cm kutafuta mbinu km hizo mkono uende kinywani hebu tuwe tunajaribu kupima mambo jmn vnginevyo ht elimu tulizonazo itakuwa kazi bureeeeee!
 
Kama umesoma BALE ukiitwa kwa usaili weka asilimia mia kwenda ccp na kama umesoma LLB weka 90% Hao wengine ndio zali.

Mkuu mbona unawakatisha tamaa majomba walioapply angalia tangazo lilihitaji watu wenye sifa zipi? Kila kozi inahitajika kutokana na hitajio la police kwa mwaka huu ndio maana wakatoa kipaumbele. Wadau mlioomba msipagawe na comments za wachache wait n see kikubwa ukidhi vigezo tajwa.
 
Umeliwa ndugu,hao ni matapeli wakubwa me nilistuka hicho kipengere cha kuchangia training kwa m-pesa,uliona wapi mtu kuchangia mafunzo wakati ww ni mtumishi wao tarijari???/.amka ndugu utaibiwa sana!!!!!!
 
Mkuu mbona unawakatisha tamaa majomba walioapply angalia tangazo lilihitaji watu wenye sifa zipi? Kila kozi inahitajika kutokana na hitajio la police kwa mwaka huu ndio maana wakatoa kipaumbele. Wadau mlioomba msipagawe na comments za wachache wait n see kikubwa ukidhi vigezo tajwa.



mkuu ni kweli asitake kuwa katisha watu tamaa ....eti kuwa LLB au BALE ndo watapewa periority si kweli mkuu kila fani iliyo tajwa wanahitajika watu na kwa jumla yake haita zidi 200 nyie subirin ndo mtakuja jua ukweli .kifupi muombe mungu wako upate hiyo bahati na utoke huku kitaa ,mana huku ni hatari kweli yani
 
Back
Top Bottom