FAIRATTORNEY
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 219
- 61
Mkuu mbona unawakatisha tamaa majomba walioapply angalia tangazo lilihitaji watu wenye sifa zipi? Kila kozi inahitajika kutokana na hitajio la police kwa mwaka huu ndio maana wakatoa kipaumbele. Wadau mlioomba msipagawe na comments za wachache wait n see kikubwa ukidhi vigezo tajwa.
Haya hongera