Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
Alaa kumbe jamani, shida ni kusoma na kuelewaKatka kitabu chetu (Qur'an) Mwenyezi Mungu ameruhusu kula vichinjwa vya mayahudi na manaswara (wakristo) na kuoa mabinti zao...Ila kwa condition maalumu.
Mfano apo Kwenye kula vichinjwa... huyo mnyama asiwe amechinjwa kwa ajili ya ushirikina tuu Ila kama kachinjwa kiustaharabu na kwaajili ya mboga tunaruhusiwa kula vzur tu.
Sema ndo hvyo wengi wavivu kusoma dini yao ndo mana wanajipa uzito haliyakuwa uislamu ni mwepesi sana.