Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,371
- 33,019
Unataka kusema nn?Wenyeviti wa Bodi Zote Mbili Waliotumbuliwa ni Wakatoriki.
Unataka kusema nn?Wenyeviti wa Bodi Zote Mbili Waliotumbuliwa ni Wakatoriki.
Huyu ni mgonjwa msameheUkatoliki wao ulinisaidia Nini Mimi mkatoliki mwenzao?
Mbona profes assadi siku hizi ametulia kimya sana maamna maa ni wa upende wetuUkatoliki wao ulinisaidia Nini Mimi mkatoliki mwenzao?
We BOYA inaonekana kitimoto inakuuma sana??? Hivi nani NANI KAKUKATAZA kula???kwaiyo kwakuwa wakatoliki Wala nguruwe wasitumbuliwe??
ndiomaana wenye akili tushajua kuwa mnamchukia Samia sababu ya dini yake, ingekuwa amri yenu mlitaka Nchi iongozwe na mkristo ili itamalaki utawala wa Roho mbaya na ufisadi,
Nchi akiongoza muislamu inatulia na watu wanakuwa na amani ya moyoni hata wasipokuwa na fedha,,
#Acheni udini, Tanzania ni ya Watanzania wote,isifike wakati dini au kabila Fulani ikajiona yenyewe ndio Bora zaidi ktk kuongoza
Mwe mwe mwe! Hakuna hata picha!! In Sengo's voice😂Wakuu Leo Kuna Ufunguzi Wa Barabara ya Mwenge To Morocco.
Mgeni Rasmi ni Chief Hangaya, Kuanzia Mida Ya Sa1 Asubuhi.
Je Tutegemee Kile Kilio Cha Jana Kule TPA Kiendelee?
Je Hata Wajumbe Wa Bodi Ya Tanroad Pia Wataliwa Kichwa.
Kumbuka Wenyeviti wa Bodi Zote Mbili Waliotumbuliwa ni Wakatoriki.
Kula Mtori Nyama Ziko Chin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna umurua gani hizo 2 lanes baada ya miaka 2 tatizo litakuwa pale pale ebu google uone barabara za Nairobi zinavyojengwa utaona tuko nyuma sanaBarabara murua kabisa ile sema zile traffic lights za kona ya Chato ndio michosho!