Ufunguzi wa barabara ya juu ya Ubungo Interchange kutoka Mwenge hadi Buguruni ni ushindi mwingine kwa vita ya kiuchumi

ray jay

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
1,084
485
UFUNGUZI WA BARABARA YA JUU YA UBUNGO INTERCHANGE KUTOKA MWENGE HADI BUGURUNI NI USHINDI MWINGINE KWENYE VITA HII YA KIUCHUMI.

Na Bwanku M Bwanku

Jumatano ya Septemba 30 mwaka huu, Serikali ilifungua barabara ya Juu ya Ubungo Interchange kipande kinachotoka Mwenge hadi Buguruni kwenye makutano ya barabara za Morogoro, Nelson Mandela na Sam Nujoma jijini Dar es Salaam. Barabara hiyo inafunguliwa eneo ambalo limekuwa na tatizo kubwa sana la foleni na msongamano mkubwa wa magari takribani elfu 68, 872 yanayotumia barabara hiyo kwa siku na kusababisha foleni kubwa ya magari inayolilazimisha jiji kukwama na kusimama sana kwenye uharaka wa shughuli za watu kwenda maeneo mbalimbali ya jiji na kutoka.

Mradi huo wa barabara za juu wenye thamani ya bilioni 200.7 unafunguliwa ili kulifanya jiji la Dar es Salaam litembee na kuwa bize na shughuli za watu badala ya hali ya watu kutumia muda mwingi wakiwa kwenye misululu ya foleni ambayo imekuwa ikila muda halisi wa watu kufanya kazi na kuifanya nchi kupoteza mabilioni ya shilingi kwenye foleni hizo hasa kupoteza mafuta mengi sana.

Kwa mujibu wa ripoti ya Centre for Economic Prosperity ya mwaka 2010 ililitaja jiji la Dar es Salaam kuwa moja ya majiji yanayoongoza Afrika kwa kupoteza zaidi ya bilioni 4 kwa siku 1 kwa sababu ya foleni na msongamano wa magari mabarabarani kwa watu wengi kutumia muda wao mwingi barabarani kwenye mafoleni na kusababisha kupoteza mafuta, jambo linalopunguza pia masaa ya watu kufanya kazi na gharama ya watu kufika maeneo yao ya kazi kuwa kubwa sana.

Ufunguzi wa barabara hii ya juu ya Ubungo Interchange ni hatua muhimu na ya ushindi mkubwa sana kiuchumi kwa kulifanya sasa Jiji la Dar es Salaam kutembea na kurahisisha shughuli za kiuchumi za watu na kuondoa hali ya watu kutumia muda mwingi wa karibu asilimia 30 kwa siku kwenye mafoleni.

Huwezi kujenga uchumi imara na unaogusa watu wote bila ya kuwa na miundombinu mama na imara ya kiuchumi na maendeleo. Jiji kama Dar es Salaam ambalo karibu asilimia 60 ya kodi ya nchi inatoka ni lazima kuboresha miundombinu yake ya kiuchumi, biashara na uwekezaji ili kurahisisha watu kufanya shughuli zao bila ya bughudha na kero zozote zile zinazoweza kusimamisha shughuli za uzalishaji na maendeleo ili sasa kulifanya jiji liwe bize na kazi badala ya kuwa bize barabarani kwenye mafoleni.

Hii ina maana badala ya watu kutumia masaa kwa masaa kwenye foleni, sasa mtu anaweza kutoka Mwenge kwenda Buguruni na kwenda au kutoka sehemu mbalimbali za jiji kwa dakika chache tu ili akaendelee na shughuli zake za uzalishaji na uchumi wa nchi yetu.

Kama nilivyosema Dar es Salaam ni jiji la kimkakati, kitovu cha uchumi na maendeleo ya nchi yetu. Hatua hii ni kubwa na ya kupongeza sana ambayo inaenda sasa kuchochea shughuli za kiuchumi jijini Dar es Salaam kwenda kwa haraka na kwa muda mrefu sana.

Mfano, mtu ambaye angetumia masaa mawili mpaka matatu kwenye foleni jambo ambalo linapunguza moja kwa moja saa za kufanya kazi leo kwa barabara hii itamrahisishia kufika eneo lake la kazi na kuongeza muda wake wa kufanya kazi na hivyo kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye uchumi na kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo mafuta.

Hii ndio tafsiri ya maendeleo ya watu kupitia vitu na miundombinu yao ya kuboreshewa mazingira ya kufanya kazi na kushiriki shughuli zao za kila siku. Ni barabara inayoenda kupunguza kama sio kuondoa kabisa msongamano mkubwa wa magari na foleni ambayo ilikuwa ikiigharimu mabilioni kwa mabilioni nchi yetu. Ni ushindi mwingine wa nchi yetu kwenye vita hii kali ya kiuchumi ambayo Rais Dkt John Pombe Magufuli ameamua kuipigana kwa maslahi ya Watanzania wote.

0657475347
 
Hivi hizo namba za simu huwa mnaweka ili Polepole azione na kuwainclude kwenye miamala yake?

It doesn’t make sense kusindikiza post na namba ya simu!
 
imgres.jpg


Ethiopia-signs-US-489.2-m-road-projects-agreement.jpg




imgres.jpg


Ethiopia wanazo kama mia na pia shirika lao la ndege linaongoza Africa

na wiki hii wanarusha chombo cha pili angani

ila wananchi kila siku wanakamatwa hapa nchini wakikimbilia S.A

kuwa na akili sio kuhudhuria shule, yawezekana umepata elimu ila hujaelimika
 
UFUNGUZI WA BARABARA YA JUU YA UBUNGO INTERCHANGE KUTOKA MWENGE HADI BUGURUNI NI USHINDI MWINGINE KWENYE VITA HII YA KIUCHUMI.

Na Bwanku M Bwanku

Jumatano ya Septemba 30 mwaka huu, Serikali ilifungua barabara ya Juu ya Ubungo Interchange kipande kinachotoka Mwenge hadi Buguruni kwenye makutano ya barabara za Morogoro, Nelson Mandela na Sam Nujoma jijini Dar es Salaam. Barabara hiyo inafunguliwa eneo ambalo limekuwa na tatizo kubwa sana la foleni na msongamano mkubwa wa magari takribani elfu 68, 872 yanayotumia barabara hiyo kwa siku na kusababisha foleni kubwa ya magari inayolilazimisha jiji kukwama na kusimama sana kwenye uharaka wa shughuli za watu kwenda maeneo mbalimbali ya jiji na kutoka.

Mradi huo wa barabara za juu wenye thamani ya bilioni 200.7 unafunguliwa ili kulifanya jiji la Dar es Salaam litembee na kuwa bize na shughuli za watu badala ya hali ya watu kutumia muda mwingi wakiwa kwenye misululu ya foleni ambayo imekuwa ikila muda halisi wa watu kufanya kazi na kuifanya nchi kupoteza mabilioni ya shilingi kwenye foleni hizo hasa kupoteza mafuta mengi sana.

Kwa mujibu wa ripoti ya Centre for Economic Prosperity ya mwaka 2010 ililitaja jiji la Dar es Salaam kuwa moja ya majiji yanayoongoza Afrika kwa kupoteza zaidi ya bilioni 4 kwa siku 1 kwa sababu ya foleni na msongamano wa magari mabarabarani kwa watu wengi kutumia muda wao mwingi barabarani kwenye mafoleni na kusababisha kupoteza mafuta, jambo linalopunguza pia masaa ya watu kufanya kazi na gharama ya watu kufika maeneo yao ya kazi kuwa kubwa sana.

Ufunguzi wa barabara hii ya juu ya Ubungo Interchange ni hatua muhimu na ya ushindi mkubwa sana kiuchumi kwa kulifanya sasa Jiji la Dar es Salaam kutembea na kurahisisha shughuli za kiuchumi za watu na kuondoa hali ya watu kutumia muda mwingi wa karibu asilimia 30 kwa siku kwenye mafoleni.

Huwezi kujenga uchumi imara na unaogusa watu wote bila ya kuwa na miundombinu mama na imara ya kiuchumi na maendeleo. Jiji kama Dar es Salaam ambalo karibu asilimia 60 ya kodi ya nchi inatoka ni lazima kuboresha miundombinu yake ya kiuchumi, biashara na uwekezaji ili kurahisisha watu kufanya shughuli zao bila ya bughudha na kero zozote zile zinazoweza kusimamisha shughuli za uzalishaji na maendeleo ili sasa kulifanya jiji liwe bize na kazi badala ya kuwa bize barabarani kwenye mafoleni.

Hii ina maana badala ya watu kutumia masaa kwa masaa kwenye foleni, sasa mtu anaweza kutoka Mwenge kwenda Buguruni na kwenda au kutoka sehemu mbalimbali za jiji kwa dakika chache tu ili akaendelee na shughuli zake za uzalishaji na uchumi wa nchi yetu.

Kama nilivyosema Dar es Salaam ni jiji la kimkakati, kitovu cha uchumi na maendeleo ya nchi yetu. Hatua hii ni kubwa na ya kupongeza sana ambayo inaenda sasa kuchochea shughuli za kiuchumi jijini Dar es Salaam kwenda kwa haraka na kwa muda mrefu sana.

Mfano, mtu ambaye angetumia masaa mawili mpaka matatu kwenye foleni jambo ambalo linapunguza moja kwa moja saa za kufanya kazi leo kwa barabara hii itamrahisishia kufika eneo lake la kazi na kuongeza muda wake wa kufanya kazi na hivyo kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye uchumi na kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo mafuta.

Hii ndio tafsiri ya maendeleo ya watu kupitia vitu na miundombinu yao ya kuboreshewa mazingira ya kufanya kazi na kushiriki shughuli zao za kila siku. Ni barabara inayoenda kupunguza kama sio kuondoa kabisa msongamano mkubwa wa magari na foleni ambayo ilikuwa ikiigharimu mabilioni kwa mabilioni nchi yetu. Ni ushindi mwingine wa nchi yetu kwenye vita hii kali ya kiuchumi ambayo Rais Dkt John Pombe Magufuli ameamua kuipigana kwa maslahi ya Watanzania wote.

0657475347
Mkuu foleni za magari hazitakwisha Morogoro Road kwa kujenga interchange hii tu. Kwa watu wanaoelekea City Centre bado wataendelea kukutana na foleni kubwa tu. Labda kama interchange zaidi zikijengwa pale Sinza Shekilango, Magomeni na pale Jangwani.
 
UFUNGUZI WA BARABARA YA JUU YA UBUNGO INTERCHANGE KUTOKA MWENGE HADI BUGURUNI NI USHINDI MWINGINE KWENYE VITA HII YA KIUCHUMI.

Na Bwanku M Bwanku

Jumatano ya Septemba 30 mwaka huu, Serikali ilifungua barabara ya Juu ya Ubungo Interchange kipande kinachotoka Mwenge hadi Buguruni kwenye makutano ya barabara za Morogoro, Nelson Mandela na Sam Nujoma jijini Dar es Salaam. Barabara hiyo inafunguliwa eneo ambalo limekuwa na tatizo kubwa sana la foleni na msongamano mkubwa wa magari takribani elfu 68, 872 yanayotumia barabara hiyo kwa siku na kusababisha foleni kubwa ya magari inayolilazimisha jiji kukwama na kusimama sana kwenye uharaka wa shughuli za watu kwenda maeneo mbalimbali ya jiji na kutoka.

Mradi huo wa barabara za juu wenye thamani ya bilioni 200.7 unafunguliwa ili kulifanya jiji la Dar es Salaam litembee na kuwa bize na shughuli za watu badala ya hali ya watu kutumia muda mwingi wakiwa kwenye misululu ya foleni ambayo imekuwa ikila muda halisi wa watu kufanya kazi na kuifanya nchi kupoteza mabilioni ya shilingi kwenye foleni hizo hasa kupoteza mafuta mengi sana.

Kwa mujibu wa ripoti ya Centre for Economic Prosperity ya mwaka 2010 ililitaja jiji la Dar es Salaam kuwa moja ya majiji yanayoongoza Afrika kwa kupoteza zaidi ya bilioni 4 kwa siku 1 kwa sababu ya foleni na msongamano wa magari mabarabarani kwa watu wengi kutumia muda wao mwingi barabarani kwenye mafoleni na kusababisha kupoteza mafuta, jambo linalopunguza pia masaa ya watu kufanya kazi na gharama ya watu kufika maeneo yao ya kazi kuwa kubwa sana.

Ufunguzi wa barabara hii ya juu ya Ubungo Interchange ni hatua muhimu na ya ushindi mkubwa sana kiuchumi kwa kulifanya sasa Jiji la Dar es Salaam kutembea na kurahisisha shughuli za kiuchumi za watu na kuondoa hali ya watu kutumia muda mwingi wa karibu asilimia 30 kwa siku kwenye mafoleni.

Huwezi kujenga uchumi imara na unaogusa watu wote bila ya kuwa na miundombinu mama na imara ya kiuchumi na maendeleo. Jiji kama Dar es Salaam ambalo karibu asilimia 60 ya kodi ya nchi inatoka ni lazima kuboresha miundombinu yake ya kiuchumi, biashara na uwekezaji ili kurahisisha watu kufanya shughuli zao bila ya bughudha na kero zozote zile zinazoweza kusimamisha shughuli za uzalishaji na maendeleo ili sasa kulifanya jiji liwe bize na kazi badala ya kuwa bize barabarani kwenye mafoleni.

Hii ina maana badala ya watu kutumia masaa kwa masaa kwenye foleni, sasa mtu anaweza kutoka Mwenge kwenda Buguruni na kwenda au kutoka sehemu mbalimbali za jiji kwa dakika chache tu ili akaendelee na shughuli zake za uzalishaji na uchumi wa nchi yetu.

Kama nilivyosema Dar es Salaam ni jiji la kimkakati, kitovu cha uchumi na maendeleo ya nchi yetu. Hatua hii ni kubwa na ya kupongeza sana ambayo inaenda sasa kuchochea shughuli za kiuchumi jijini Dar es Salaam kwenda kwa haraka na kwa muda mrefu sana.

Mfano, mtu ambaye angetumia masaa mawili mpaka matatu kwenye foleni jambo ambalo linapunguza moja kwa moja saa za kufanya kazi leo kwa barabara hii itamrahisishia kufika eneo lake la kazi na kuongeza muda wake wa kufanya kazi na hivyo kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye uchumi na kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo mafuta.

Hii ndio tafsiri ya maendeleo ya watu kupitia vitu na miundombinu yao ya kuboreshewa mazingira ya kufanya kazi na kushiriki shughuli zao za kila siku. Ni barabara inayoenda kupunguza kama sio kuondoa kabisa msongamano mkubwa wa magari na foleni ambayo ilikuwa ikiigharimu mabilioni kwa mabilioni nchi yetu. Ni ushindi mwingine wa nchi yetu kwenye vita hii kali ya kiuchumi ambayo Rais Dkt John Pombe Magufuli ameamua kuipigana kwa maslahi ya Watanzania wote.

0657475347
Sasa kujenga hilo daraja mooja kwa pesa zetu ndio sababu ya kupigia campeni?
Kilaza wee Mshamba wa wapi sijui
Tazama vitu hivi n watuwala hawajisifu kuwa wachaguliwe eti kwa kuwa wamejenga Daraja.
Ujinga huu ni Tanzania tuu ya CCM.
IMG_20201001_001144.jpg
 
CCM wanachosahau kusema au wasichopenda kukisema ni kuwa Pesa imetoka kwa Mabeberu .................!!
 
Hii cape Town Fly overs ,
wala husikii mtu anagombea uraisi akajigamba eti kajenga Fly overs.
Tanzania ina Maiti wengi mno .Akiwe huyu jamaa aliyeanzisha uzi huu na Raisi wake na Chama chake
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    10 KB · Views: 5
nIKISEMA ccm NCHI IMEWASHINDA ,HATA KUFIKIRI WANASHINDWA?
Eti nchi ina Maengeeer bobezi, Mbona kila kitu munajengewa na wageni ,basi hata Kudesign Madaraja ya kisasa munashindwa?
 
Mkuu foleni za magari hazitakwisha Morogoro Road kwa kujenga interchange hii tu. Kwa watu wanaoelekea City Centre bado wataendelea kukutana na foleni kubwa tu. Labda kama interchange zaidi zikijengwa pale Sinza Shekilango, Magomeni na pale Jangwani.
Ni kweli tukitaka tusahau foreni, barabara za juu ziwe tena Shekilango, Magomeni Mapipa, na pale Fire jangwani ili tukomeshe shida kabisa.
 
UFUNGUZI WA BARABARA YA JUU YA UBUNGO INTERCHANGE KUTOKA MWENGE HADI BUGURUNI NI USHINDI MWINGINE KWENYE VITA HII YA KIUCHUMI.

Na Bwanku M Bwanku

Jumatano ya Septemba 30 mwaka huu, Serikali ilifungua barabara ya Juu ya Ubungo Interchange kipande kinachotoka Mwenge hadi Buguruni kwenye makutano ya barabara za Morogoro, Nelson Mandela na Sam Nujoma jijini Dar es Salaam. Barabara hiyo inafunguliwa eneo ambalo limekuwa na tatizo kubwa sana la foleni na msongamano mkubwa wa magari takribani elfu 68, 872 yanayotumia barabara hiyo kwa siku na kusababisha foleni kubwa ya magari inayolilazimisha jiji kukwama na kusimama sana kwenye uharaka wa shughuli za watu kwenda maeneo mbalimbali ya jiji na kutoka.

Mradi huo wa barabara za juu wenye thamani ya bilioni 200.7 unafunguliwa ili kulifanya jiji la Dar es Salaam litembee na kuwa bize na shughuli za watu badala ya hali ya watu kutumia muda mwingi wakiwa kwenye misululu ya foleni ambayo imekuwa ikila muda halisi wa watu kufanya kazi na kuifanya nchi kupoteza mabilioni ya shilingi kwenye foleni hizo hasa kupoteza mafuta mengi sana.

Kwa mujibu wa ripoti ya Centre for Economic Prosperity ya mwaka 2010 ililitaja jiji la Dar es Salaam kuwa moja ya majiji yanayoongoza Afrika kwa kupoteza zaidi ya bilioni 4 kwa siku 1 kwa sababu ya foleni na msongamano wa magari mabarabarani kwa watu wengi kutumia muda wao mwingi barabarani kwenye mafoleni na kusababisha kupoteza mafuta, jambo linalopunguza pia masaa ya watu kufanya kazi na gharama ya watu kufika maeneo yao ya kazi kuwa kubwa sana.

Ufunguzi wa barabara hii ya juu ya Ubungo Interchange ni hatua muhimu na ya ushindi mkubwa sana kiuchumi kwa kulifanya sasa Jiji la Dar es Salaam kutembea na kurahisisha shughuli za kiuchumi za watu na kuondoa hali ya watu kutumia muda mwingi wa karibu asilimia 30 kwa siku kwenye mafoleni.

Huwezi kujenga uchumi imara na unaogusa watu wote bila ya kuwa na miundombinu mama na imara ya kiuchumi na maendeleo. Jiji kama Dar es Salaam ambalo karibu asilimia 60 ya kodi ya nchi inatoka ni lazima kuboresha miundombinu yake ya kiuchumi, biashara na uwekezaji ili kurahisisha watu kufanya shughuli zao bila ya bughudha na kero zozote zile zinazoweza kusimamisha shughuli za uzalishaji na maendeleo ili sasa kulifanya jiji liwe bize na kazi badala ya kuwa bize barabarani kwenye mafoleni.

Hii ina maana badala ya watu kutumia masaa kwa masaa kwenye foleni, sasa mtu anaweza kutoka Mwenge kwenda Buguruni na kwenda au kutoka sehemu mbalimbali za jiji kwa dakika chache tu ili akaendelee na shughuli zake za uzalishaji na uchumi wa nchi yetu.

Kama nilivyosema Dar es Salaam ni jiji la kimkakati, kitovu cha uchumi na maendeleo ya nchi yetu. Hatua hii ni kubwa na ya kupongeza sana ambayo inaenda sasa kuchochea shughuli za kiuchumi jijini Dar es Salaam kwenda kwa haraka na kwa muda mrefu sana.

Mfano, mtu ambaye angetumia masaa mawili mpaka matatu kwenye foleni jambo ambalo linapunguza moja kwa moja saa za kufanya kazi leo kwa barabara hii itamrahisishia kufika eneo lake la kazi na kuongeza muda wake wa kufanya kazi na hivyo kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye uchumi na kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo mafuta.

Hii ndio tafsiri ya maendeleo ya watu kupitia vitu na miundombinu yao ya kuboreshewa mazingira ya kufanya kazi na kushiriki shughuli zao za kila siku. Ni barabara inayoenda kupunguza kama sio kuondoa kabisa msongamano mkubwa wa magari na foleni ambayo ilikuwa ikiigharimu mabilioni kwa mabilioni nchi yetu. Ni ushindi mwingine wa nchi yetu kwenye vita hii kali ya kiuchumi ambayo Rais Dkt John Pombe Magufuli ameamua kuipigana kwa maslahi ya Watanzania wote.

0657475347
1601622552487.png
Namba ipo sahihi nitume muhamala?
 
Back
Top Bottom