Kahorogoma
JF-Expert Member
- May 13, 2013
- 318
- 252
Nasikitika kuona mawazo ya kupinga sgr tena yakitolewa na watz lakini nalazika kukubari kwamba ni mitazamo yenu tu.nami nina mtizamo wangu.kwanza ni seme tu kwamba sgr hatujapoteza fedha bali kiuchumi ni game changer. Ikumbukwe kwamba reli hii ni ya umeme hivyo tutaweza kusafirisha bidhaa zetu kwa haraka bila kutegemea price fractuation ya mafuta.kwa lugha nyingine tutalocalize uchumi na mahitaji ya dorali ya kimarekan yatapungua.pili biashara ni ushindani wenzetu wakifanikiwa kupeleka sgr toka mombasa hadi kigali kama walivotaka kufanya sisi tukabaki na reli ya mita gauge tutakuwa tumeua bandari yetu hivyo central colido ilibidi iboreshwe ili kuua upinzani wa nothern colidor waliokuwa wamejipanga strategically kuiua bandari ya dar kwa mizigo ya rwanda ,burundi na congo. Unavoamua kusubiri angalia na wenzako wanafanya nini na kitakuathiri vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app