Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,441
Habari wakuu....,
Mawazo haya naamini ni ya mchana sio ya jioni.
Hapa lengo langu ni kuangalia umuhimu WA treni ya umeme kama ni sahihi kwa mazingira yetu ya sasa.
Tangu ajali ya mwaka 2001 serikali ilipunguza Nguvu ya shirika LA TRC ni kwa zaidi ya miaka 15. Migogoro na ukata ndani ya shirika vililitesa sana, wananchi na wabunge walipiga kelele lkn sauti ilianza kusikika wakati mwakyembe akiwa wazari ya usafirishaji. Mabadiliko yalitokea bajeti ya shirika ikaanza kuongezwa.
Kiukweli shirika likaanza angalu maisha mapya ya kendelea.
Mh. Magufuli na Masanja wamekuja na dhamira ya kulifufua shirika zaidi lkn standard gage tumekosea kwa sasa.
Hatuwezi kutumia t.7 kujenga kitu ambacho mbadala wake upo na wananchi bado wako kwenye mkwamo WA kiuchumi .
Reli yetu hii ya mjerumani IPO kwa nn tusiifufue completely na tukawekeza treni na mabehewa mazuri na ya kisasa ili kuendelea kuhudumia watu.
Wengi tulipanda treni nyuma ya 2001 na ulikuwa usafiri WA shida hata 2005 ulikuwepo kwa shida bado tulisafirisha msiba WA mjomba wangu.
Leo kuna treni za kisasa za reli ya zamani kwa nini tusingebaki pale kwanza?
Tumeona mabehehewa ya mwakyembe yakipata sifa kubwa lkn bado si ya kisasa na luxury.
Tungewekeza hapo kwa kuongeza treni nyingi ambapo watu wengi wangesafiri kupitia huko kwa gharama nafuu na usafiri ukawa reliable.
Mpaka leo TRC hawajajiandaa hata kuendesha shirika kisasa bado wanataka tujazane station gerezani na kwingineko, bado hawataki kuamini hata wasafi festival na fiesta tunalipa kwa simu.
Hawataki kuamin kwa haraka tunaweza toka huko kwa haraka.
Sijui kama magu atakuwa ofisini kama ndivyo anaweza kuunda shirika jipya kuhudumia standard gage kwa kuwa TRC hawajiandaa.
Naeleza haya nikijua ni mchana.
T.3 za juzi tulizokopa tungeamua kuimarisha kilimo cha kisasa kama Israel isingenufaisha watu WA nchi hii?
T.3 zilizotumika zingekopeshwa wakulima walioko kwenye vyama vya ushirika kuimarisha ukulima wao kwa mbegu, viuatilifu, mbolea na wataalamu kwa kuwaajiri tusingelikomboa hill taifa?
Tungewakopesha wafanyabiasha WA kati kufungua viwanda vya vidogo vya m.15 - 50 je tusingekuwa China WA Africa?
Basis tungezikopesha timu za ligi kuu kujenga viwanja ili tupate mapato
Basi tungegharamia elimu na afya yetu kwa miaka 3 tuone Ustawi WA watu baada ya hapo je, tusingekuwa na elimu bora pia health facilities nzuri katika nchi za maziwa makuu, pia better public health care
Je, tungezitumia kuongeza ajira za umma kwa usawa WA client na service provider, mishahara mizuri tusingeimarisha uwezo wetu WA uchumi WA nchi, kipato cha MTU mmoja kisingeongezeka? Benki zisingekuwa imara.
Basi tungetumia kutengeneza tasnia ya madini na utalii, tungetengeza vinu vya kuchenjua makinikia, tungetangaza vivutio vyetu nje na matangazo kwa mwaka mzima watalii wasingeongezeka? Matangazo discovery channel, kwenye ndege, EPL, na NBA hata mashirika ya habari na magazeti tusingeongeza utalii Mara tano kama sasa kwa miaka zaidi ya 10 mfululizo?
Sijui treni ya umeme tunawahi wap?
Kazini, likizo, mikutano, biashara, au mizigo?
Ulaya ilitumia standard gage kwakuwa imeungana na wanamiliki mapato.
Uwezo wao wa uchumi n mkubwa kuliko sisi.
Ahaa Kenya, purchasing power in kubwa kuliko tz lkn pia haikutakiwa kwa sasa.
Shida ya nchi zinazoendelea nikuhitaji yaliyo dunia ya kwanza bila kujali tunatumia pesa nyingi kwenye miundombinu isiyonatija kwa watu wengi kwenye uchumi wa taifa husika.
Tunatatizo na wanaofikir kwa niaba ya taifa
Tuna shida na system ya nchi
Tuna shida na bunge ambao wanapaswa kufikir juu ya ustawi wa watu
MTU aniambie kati ya standard gage na hayo yapi yanatija kwa watu robo tatu ya watanzania?
Mawazo haya naamini ni ya mchana sio ya jioni.
Hapa lengo langu ni kuangalia umuhimu WA treni ya umeme kama ni sahihi kwa mazingira yetu ya sasa.
Tangu ajali ya mwaka 2001 serikali ilipunguza Nguvu ya shirika LA TRC ni kwa zaidi ya miaka 15. Migogoro na ukata ndani ya shirika vililitesa sana, wananchi na wabunge walipiga kelele lkn sauti ilianza kusikika wakati mwakyembe akiwa wazari ya usafirishaji. Mabadiliko yalitokea bajeti ya shirika ikaanza kuongezwa.
Kiukweli shirika likaanza angalu maisha mapya ya kendelea.
Mh. Magufuli na Masanja wamekuja na dhamira ya kulifufua shirika zaidi lkn standard gage tumekosea kwa sasa.
Hatuwezi kutumia t.7 kujenga kitu ambacho mbadala wake upo na wananchi bado wako kwenye mkwamo WA kiuchumi .
Reli yetu hii ya mjerumani IPO kwa nn tusiifufue completely na tukawekeza treni na mabehewa mazuri na ya kisasa ili kuendelea kuhudumia watu.
Wengi tulipanda treni nyuma ya 2001 na ulikuwa usafiri WA shida hata 2005 ulikuwepo kwa shida bado tulisafirisha msiba WA mjomba wangu.
Leo kuna treni za kisasa za reli ya zamani kwa nini tusingebaki pale kwanza?
Tumeona mabehehewa ya mwakyembe yakipata sifa kubwa lkn bado si ya kisasa na luxury.
Tungewekeza hapo kwa kuongeza treni nyingi ambapo watu wengi wangesafiri kupitia huko kwa gharama nafuu na usafiri ukawa reliable.
Mpaka leo TRC hawajajiandaa hata kuendesha shirika kisasa bado wanataka tujazane station gerezani na kwingineko, bado hawataki kuamini hata wasafi festival na fiesta tunalipa kwa simu.
Hawataki kuamin kwa haraka tunaweza toka huko kwa haraka.
Sijui kama magu atakuwa ofisini kama ndivyo anaweza kuunda shirika jipya kuhudumia standard gage kwa kuwa TRC hawajiandaa.
Naeleza haya nikijua ni mchana.
T.3 za juzi tulizokopa tungeamua kuimarisha kilimo cha kisasa kama Israel isingenufaisha watu WA nchi hii?
T.3 zilizotumika zingekopeshwa wakulima walioko kwenye vyama vya ushirika kuimarisha ukulima wao kwa mbegu, viuatilifu, mbolea na wataalamu kwa kuwaajiri tusingelikomboa hill taifa?
Tungewakopesha wafanyabiasha WA kati kufungua viwanda vya vidogo vya m.15 - 50 je tusingekuwa China WA Africa?
Basis tungezikopesha timu za ligi kuu kujenga viwanja ili tupate mapato
Basi tungegharamia elimu na afya yetu kwa miaka 3 tuone Ustawi WA watu baada ya hapo je, tusingekuwa na elimu bora pia health facilities nzuri katika nchi za maziwa makuu, pia better public health care
Je, tungezitumia kuongeza ajira za umma kwa usawa WA client na service provider, mishahara mizuri tusingeimarisha uwezo wetu WA uchumi WA nchi, kipato cha MTU mmoja kisingeongezeka? Benki zisingekuwa imara.
Basi tungetumia kutengeneza tasnia ya madini na utalii, tungetengeza vinu vya kuchenjua makinikia, tungetangaza vivutio vyetu nje na matangazo kwa mwaka mzima watalii wasingeongezeka? Matangazo discovery channel, kwenye ndege, EPL, na NBA hata mashirika ya habari na magazeti tusingeongeza utalii Mara tano kama sasa kwa miaka zaidi ya 10 mfululizo?
Sijui treni ya umeme tunawahi wap?
Kazini, likizo, mikutano, biashara, au mizigo?
Ulaya ilitumia standard gage kwakuwa imeungana na wanamiliki mapato.
Uwezo wao wa uchumi n mkubwa kuliko sisi.
Ahaa Kenya, purchasing power in kubwa kuliko tz lkn pia haikutakiwa kwa sasa.
Shida ya nchi zinazoendelea nikuhitaji yaliyo dunia ya kwanza bila kujali tunatumia pesa nyingi kwenye miundombinu isiyonatija kwa watu wengi kwenye uchumi wa taifa husika.
Tunatatizo na wanaofikir kwa niaba ya taifa
Tuna shida na system ya nchi
Tuna shida na bunge ambao wanapaswa kufikir juu ya ustawi wa watu
MTU aniambie kati ya standard gage na hayo yapi yanatija kwa watu robo tatu ya watanzania?