Fursa kibao sijui kama unatumia akili kufikir au hisia za mapenzi dhidi ya SSM
Mazao gani yanahitaji reli kusafirishswa?
Dodoma mpaka dar usafirisha mazao gani ya biashara?
Mizigo gani inasafirishwa?
Ni t.7 inaishia dodoma je kufika kigoma na mwanza tutahititaji tena t.12-14 huu ni upuuuzi kabisa.
Mazao yanayosafirishwa kwa wingi ilikuwa ni korosho kuja dar lkn alternative IPO ambayo ni bandari ya Mtwara
Mahindi kutoka rukwa, ruvuma, sumbawanga Soko liko kibaigwa he hapo tunahitaji sgr ipeleke mahindi dar? Anakula nani? Mahindi mengi yanaelekea sirari kwenda Kenya, somalia pia kigoma ili yaende DRC je tunahitaji sgr hapo?
Ukifikir kwa makini, huu mradi ni maonyesho
Sent using
Jamii Forums mobile app