Je, tulihitaji treni ya umeme zaidi ya mengine?

Je, tulihitaji treni ya umeme zaidi ya mengine?

Awamu ya 5 hatuna
Vipaumbele vinawekwa na rais KISHA kujadiliwa na bunge hivyo ni ngumu bunge kuweka vipaumbele vya taifa.

Hatukupaswa kuwa mawaziri bungeni isipokuwa waziri Mkuu ili hoja ziwe chache za serikali zinazoingia bungeni kuliko zinazotoka bungeni kwenda serikalini.

Bunge LA marekani linaweza kutunga sheria yeyote bila mswada kuletwa na serikali
Tuimarishe bunge tuijenge nchi

Leo bunge limekuwa kimbilio kwa kuwa n sehemu ya soga na upigaji kwani si kwa maslahi ya taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu ya 5 hatuna Bunge bali tuna kundi la watu wanaotumia ukumbi wa Bunge pale Makole Dodoma kutekeleza maagizo ya Serikali.

Kundi hili chini ya Job Ndugai ni dhaifu kuliko hata bunge la 1990-95 la Chama kimoja lililokuwa na akina NJELU KASAKA. Magufuli anaendesha Bunge kwa remote hliwezi kufanya chochote ambacho Magufuli hafurahishwi nacho. Kimsingi hatuna Bunge
 
Tukiwa kwenye mtanziko wa maradhi ya corona ndipo unagundua hili swali lina maana.

Hatuhitaji kumlaumu mh Rais isipokuwa watu wanaomzunguka my Rais. Hivi karibuni mh. Mmoja alikuwa anawakaribisha wanadiplomasia wapya lkn akawaomba wakufunzi na chuo kufundisha jiopolitiki za kiafrika n.k
Nikapata mawazo kuwa, watawala wetu wanataka vichwa vyetu vifikiri na kuamua kiafrika nawakati wao wanafikiri kimaguaribi.

Historia inatuonyesha kuwa hatuna misingi ya uongozi bora wala uchumi hivyo tumeiga.

Hili LA SGR tukiacha swali letu LA msingi na kujiuliza kuwa, SGR inaendana na uchumi wetu? Kuna majibu katika hili?

Nchi zilizo na SGR ukitoa za Afrika zinazoiga uchumi wao unafanana na wetu?
Nchi nyingi ni zile za uchumi WA juu na kati lkn sisi wa uchumi WA chini bado hatuvimudu. Nchi hizo SGR inatoa huduma na miji mikubwa tofauti na kwetu tunawaza mikoa.

SGR ni ufahari wa huduma ya usafiri kwa kuwa hutumiwa na watu wenye uchumi daraja la kwanza na lapili kwa mishahara ya nchi za kipato cha kati.

Sisi tunapaswa kuendelea na MgR ambayo inafiti class na mahitaji yetu kwani uchumi ukikua tutajenga. Mh Rais sasa ndiyo amegundua hatuna hospitali za kutosha lkn tazama zilivyojengwa. Zimejengwa kwa m.400 kituo cha afya na 1.5b hospitali ya wilaya, tunaweza kujisifu kwa kujenga vizuri lkn kwa nn tujenge kama wazungu walivyojenga miaka ya tisini na kwa nini itengwe fedha ya maboma tu? Kwa nini ramani isingekuwa ghorofa kumaanisha hata kwa jengo kinachojengwa ni kuokoa maisha ya watz hivyo inasaidia kuvutia watumishi na wapewa huduma lkn pia huduma ya serikali itakuwa nzuri kwa vituo na hospital hizo. Tungeona kijiji cha kilambo mpakani mwa Tz na msumbiji kuna ghorofa ya huduma ya afya kwa umma au pale makoko Musoma kwenye uwanja wa shule ulipobananishwa kituo cha afya tungeona ghorofa kwani watz hao walijenga maghorofa vizur ya NHC bila shida na yapo mpka Leo.
Hapo ndipo tungeona SGR inafaa kwa kuwa huduma ya afya ni ya kiwango cha kati lkn serikali haijali maisha ya watu kuliko uchumi.
Afya njema ni mtaji.

Serikali inajenga madarasa (1@20m) gharama hii inaweza Kusaidiakujenga maghorofa ktk shule kama za Kenya au middle schools za nyerere yaani kuondoa fedha za 800000@ kila tundu moja LA choo
Tunaweza sema maghorofa no ghari je, watoto na wajukuu wetu hawafai kusomea humo kuliko SGR.



Mawazo ni mengi lkn tungekopa T.5 kuboresha huduma ya afya, elimu na kilimo hakika tungelipa vizuri deni la Taifa. Basi fanyeni hivi kwa kuwa mnadai deni letu linavumilika ambapo tungeunganisha na ile ya IMF hakika elimu yetu kimazingira ingekuwa nzuri.

Tuvae barakoa tukishuka kwenye magari
 
Habari wakuu....,
Mawazo haya naamini ni ya mchana sio ya jioni.

Hapa lengo langu ni kuangalia umuhimu WA treni ya umeme kama ni sahihi kwa mazingira yetu ya sasa.

Tangu ajali ya mwaka 2001 serikali ilipunguza Nguvu ya shirika LA TRC ni kwa zaidi ya miaka 15. Migogoro na ukata ndani ya shirika vililitesa sana, wananchi na wabunge walipiga kelele lkn sauti ilianza kusikika wakati mwakyembe akiwa wazari ya usafirishaji. Mabadiliko yalitokea bajeti ya shirika ikaanza kuongezwa.
Kiukweli shirika likaanza angalu maisha mapya ya kendelea.

Mh. Magufuli na Masanja wamekuja na dhamira ya kulifufua shirika zaidi lkn standard gage tumekosea kwa sasa.

Hatuwezi kutumia t.7 kujenga kitu ambacho mbadala wake upo na wananchi bado wako kwenye mkwamo WA kiuchumi .

Reli yetu hii ya mjerumani IPO kwa nn tusiifufue completely na tukawekeza treni na mabehewa mazuri na ya kisasa ili kuendelea kuhudumia watu.

Wengi tulipanda treni nyuma ya 2001 na ulikuwa usafiri WA shida hata 2005 ulikuwepo kwa shida bado tulisafirisha msiba WA mjomba wangu.

Leo kuna treni za kisasa za reli ya zamani kwa nini tusingebaki pale kwanza?

Tumeona mabehehewa ya mwakyembe yakipata sifa kubwa lkn bado si ya kisasa na luxury.

Tungewekeza hapo kwa kuongeza treni nyingi ambapo watu wengi wangesafiri kupitia huko kwa gharama nafuu na usafiri ukawa reliable.

Mpaka leo TRC hawajajiandaa hata kuendesha shirika kisasa bado wanataka tujazane station gerezani na kwingineko, bado hawataki kuamini hata wasafi festival na fiesta tunalipa kwa simu.

Hawataki kuamin kwa haraka tunaweza toka huko kwa haraka.

Sijui kama magu atakuwa ofisini kama ndivyo anaweza kuunda shirika jipya kuhudumia standard gage kwa kuwa TRC hawajiandaa.

Naeleza haya nikijua ni mchana.

T.3 za juzi tulizokopa tungeamua kuimarisha kilimo cha kisasa kama Israel isingenufaisha watu WA nchi hii?

T.3 zilizotumika zingekopeshwa wakulima walioko kwenye vyama vya ushirika kuimarisha ukulima wao kwa mbegu, viuatilifu, mbolea na wataalamu kwa kuwaajiri tusingelikomboa hill taifa?

Tungewakopesha wafanyabiasha WA kati kufungua viwanda vya vidogo vya m.15 - 50 je tusingekuwa China WA Africa?

Basis tungezikopesha timu za ligi kuu kujenga viwanja ili tupate mapato

Basi tungegharamia elimu na afya yetu kwa miaka 3 tuone Ustawi WA watu baada ya hapo je, tusingekuwa na elimu bora pia health facilities nzuri katika nchi za maziwa makuu, pia better public health care

Je, tungezitumia kuongeza ajira za umma kwa usawa WA client na service provider, mishahara mizuri tusingeimarisha uwezo wetu WA uchumi WA nchi, kipato cha MTU mmoja kisingeongezeka? Benki zisingekuwa imara.

Basi tungetumia kutengeneza tasnia ya madini na utalii, tungetengeza vinu vya kuchenjua makinikia, tungetangaza vivutio vyetu nje na matangazo kwa mwaka mzima watalii wasingeongezeka? Matangazo discovery channel, kwenye ndege, EPL, na NBA hata mashirika ya habari na magazeti tusingeongeza utalii Mara tano kama sasa kwa miaka zaidi ya 10 mfululizo?


Sijui treni ya umeme tunawahi wap?
Kazini, likizo, mikutano, biashara, au mizigo?

Ulaya ilitumia standard gage kwakuwa imeungana na wanamiliki mapato.
Uwezo wao wa uchumi n mkubwa kuliko sisi.

Ahaa Kenya, purchasing power in kubwa kuliko tz lkn pia haikutakiwa kwa sasa.

Shida ya nchi zinazoendelea nikuhitaji yaliyo dunia ya kwanza bila kujali tunatumia pesa nyingi kwenye miundombinu isiyonatija kwa watu wengi kwenye uchumi wa taifa husika.
Tunatatizo na wanaofikir kwa niaba ya taifa

Tuna shida na system ya nchi
Tuna shida na bunge ambao wanapaswa kufikir juu ya ustawi wa watu


MTU aniambie kati ya standard gage na hayo yapi yanatija kwa watu robo tatu ya watanzania?
Wewe ikomoe hii treni ya umeme. Ikianza kufanya kazi usiipande ili kudhihirisha kuwa haina umuhimu.
 
Wewe ikomoe hii treni ya umeme. Ikianza kufanya kazi usiipande ili kudhihirisha kuwa haina umuhimu.
Heineken ya 3000 na 10000 zinatofauti?
Tofauti ni mazingira tu ya uliponunulia si ladha.
 
Habari wakuu....,
Mawazo haya naamini ni ya mchana sio ya jioni.

Hapa lengo langu ni kuangalia umuhimu WA treni ya umeme kama ni sahihi kwa mazingira yetu ya sasa.

Tangu ajali ya mwaka 2001 serikali ilipunguza Nguvu ya shirika LA TRC ni kwa zaidi ya miaka 15. Migogoro na ukata ndani ya shirika vililitesa sana, wananchi na wabunge walipiga kelele lkn sauti ilianza kusikika wakati mwakyembe akiwa wazari ya usafirishaji. Mabadiliko yalitokea bajeti ya shirika ikaanza kuongezwa.
Kiukweli shirika likaanza angalu maisha mapya ya kendelea.

Mh. Magufuli na Masanja wamekuja na dhamira ya kulifufua shirika zaidi lkn standard gage tumekosea kwa sasa.

Hatuwezi kutumia t.7 kujenga kitu ambacho mbadala wake upo na wananchi bado wako kwenye mkwamo WA kiuchumi .

Reli yetu hii ya mjerumani IPO kwa nn tusiifufue completely na tukawekeza treni na mabehewa mazuri na ya kisasa ili kuendelea kuhudumia watu.

Wengi tulipanda treni nyuma ya 2001 na ulikuwa usafiri WA shida hata 2005 ulikuwepo kwa shida bado tulisafirisha msiba WA mjomba wangu.

Leo kuna treni za kisasa za reli ya zamani kwa nini tusingebaki pale kwanza?

Tumeona mabehehewa ya mwakyembe yakipata sifa kubwa lkn bado si ya kisasa na luxury.

Tungewekeza hapo kwa kuongeza treni nyingi ambapo watu wengi wangesafiri kupitia huko kwa gharama nafuu na usafiri ukawa reliable.

Mpaka leo TRC hawajajiandaa hata kuendesha shirika kisasa bado wanataka tujazane station gerezani na kwingineko, bado hawataki kuamini hata wasafi festival na fiesta tunalipa kwa simu.

Hawataki kuamin kwa haraka tunaweza toka huko kwa haraka.

Sijui kama magu atakuwa ofisini kama ndivyo anaweza kuunda shirika jipya kuhudumia standard gage kwa kuwa TRC hawajiandaa.

Naeleza haya nikijua ni mchana.

T.3 za juzi tulizokopa tungeamua kuimarisha kilimo cha kisasa kama Israel isingenufaisha watu WA nchi hii?

T.3 zilizotumika zingekopeshwa wakulima walioko kwenye vyama vya ushirika kuimarisha ukulima wao kwa mbegu, viuatilifu, mbolea na wataalamu kwa kuwaajiri tusingelikomboa hill taifa?

Tungewakopesha wafanyabiasha WA kati kufungua viwanda vya vidogo vya m.15 - 50 je tusingekuwa China WA Africa?

Basis tungezikopesha timu za ligi kuu kujenga viwanja ili tupate mapato

Basi tungegharamia elimu na afya yetu kwa miaka 3 tuone Ustawi WA watu baada ya hapo je, tusingekuwa na elimu bora pia health facilities nzuri katika nchi za maziwa makuu, pia better public health care

Je, tungezitumia kuongeza ajira za umma kwa usawa WA client na service provider, mishahara mizuri tusingeimarisha uwezo wetu WA uchumi WA nchi, kipato cha MTU mmoja kisingeongezeka? Benki zisingekuwa imara.

Basi tungetumia kutengeneza tasnia ya madini na utalii, tungetengeza vinu vya kuchenjua makinikia, tungetangaza vivutio vyetu nje na matangazo kwa mwaka mzima watalii wasingeongezeka? Matangazo discovery channel, kwenye ndege, EPL, na NBA hata mashirika ya habari na magazeti tusingeongeza utalii Mara tano kama sasa kwa miaka zaidi ya 10 mfululizo?


Sijui treni ya umeme tunawahi wap?
Kazini, likizo, mikutano, biashara, au mizigo?

Ulaya ilitumia standard gage kwakuwa imeungana na wanamiliki mapato.
Uwezo wao wa uchumi n mkubwa kuliko sisi.

Ahaa Kenya, purchasing power in kubwa kuliko tz lkn pia haikutakiwa kwa sasa.

Shida ya nchi zinazoendelea nikuhitaji yaliyo dunia ya kwanza bila kujali tunatumia pesa nyingi kwenye miundombinu isiyonatija kwa watu wengi kwenye uchumi wa taifa husika.
Tunatatizo na wanaofikir kwa niaba ya taifa

Tuna shida na system ya nchi
Tuna shida na bunge ambao wanapaswa kufikir juu ya ustawi wa watu


MTU aniambie kati ya standard gage na hayo yapi yanatija kwa watu robo tatu ya watanzania?
Hoja yako haina mashiko. Wafanyabiashara wananafasi kubwa tu ya kukopa kwenye mabenki na wengi tu wanafanya hivyo na wamefanikiwa.
Pia wakulima wanayo Benki ya maendeleo ya kilimo na watu wanakopa na wanafanikiwa, wakulima wengi tu wamekopeshwa na wanamiliki matrekta na wanafanya kilimo cha kisasa,nenda kibaigwa ukajionee.
Ujenzi wa SGR ukikamilika una manufaa makubwa sana kwa taifa letu na mataifa ya jirani kama Rwanda, Burundi,Drc na Uganda. Pia hata wakazi wa mikoa ya nyanda za kati na kanda ya ziwa.
Bei ya usafiri na bidhaa zitashuka hii ni kwa sababu usafirishaji wa bidhaa kwa treni ni nafuu kuliko malori. Leo hii kanda ya ziwa Cement mfuko mmojan unafika sh 20000, hii ni sababu ya gharama za usafiri. Lakini kama Sgr ikikamilika gharama itapungua sana. Maana gharama za usafiridhaji zitapungua.
Kwa hiyo kuna umuhimu mkubwa sana juu ya huu mradi na utalinufaisha taifa letu kwa mambo mengi sana.
 
Naunga mkono hoja, tukubali tukatae sisi Tanzania tuna tatizo katika kupanga vipaumbele vyetu kwasababu ya ama kutaka kushindana ama ubishoo kama wa ndege!.
P

Paskali kama unaona kuwa na ndege ubishoo sina msaada zaidi? Tembea ndugu upate exposure japo kidogo, karne hii nchi kuwa na ndege unaita ubishoo? Hatari kubwa sana hii, kama umefikia hapo.
 
Umenena vema sana,
LABDA MIMI TU NDO SINA TAARIFA ILA KAMA DATA ZIPO NAOMBA ZIWEKWE WAZI
Je, ni tani ngapi za mizigo hiyo reli inaweza kusafirisha na kwa muda gani na leo tuna tani ngapi(watu ama mizigo) zinazalishwa ambazo zitafanya reli hii iwe busy??
Hakuna mwanachi yeyeto labda maisha yake yameathirika sababu hakuna SGR hakuna mzigo wowote uliokwama dar ukisubiria SGR ili usafirishwe.Hitaji la kwanza la wananchi ni elimu,afya na shibe.

Gharama za kujenga SGR zinatosha kujenga vyuo vya ufundi na vya maendeleo tena vya kisasa kila kata nchini na vijana wote nchi nzima zaidi ya milioni 15 wakapata elimu bure yaani kila mmoja akasoma kozi aitakayo ili awe na tija aweze kuzalisha na kuchochea ukuaji wa uchumi na kuondoa tatizo la ajira nchini.

Tofauti na sasa vijana wametelekezwa kama kuku wasio na baba wanajiendea tu hakuna program iwafahayo,wamegeukia kwenye udalali wa viwanda vya wachina ( kuendesha bodaboda na kuwa machinga) hakuna future hapa.

Vijana ni masikini kwa sababu hawana maarifa ya kutosha kuzitumia raslimali zilizopo.

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Back
Top Bottom