Mkuu sababu ni kuangalia jirani amefanya nini? Lakini tungekuwa tunavipaumbele vyetu kama Taifa tungefanya yetu tu. Sasa tungalizia kwa majirani hii ni tatizo.Naunga mkono hoja, tukubali tukatae sisi Tanzania tuna tatizo katika kupanga vipaumbele vyetu kwasababu ya ama kutaka kushindana ama ubishoo kama wa ndege!.
P
Mbona hamkuanza kuajiri madaktari na manesi kabla ya kujenga hospitality, vituo vya afya na zahanati.JokaKuu nina uhakika unajua kabisa umuhimu wa usafiri katika nchi yoyote na faida zake unazijua. Usafiri ni nyenzo muhimu sana nchi yoyote na faida yake haipimiki. Na usafiri uliyo rahisi na wa uhakika ni reli. Unataka kunimbia hujui faida ya watu kusafiri, kusafirisha mazao na bidhaa nyingine? Ukitaka kufanya mapinduzi ya kilimo unaanza na usafiri wa rahisi na uhakika.
Mbona hamkuanza kuajiri madaktari na manesi kabla ya kujenga hospitali, vituo vya afya na zahanati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi kilichokwama kusafirishwa kikisubiria sgrHapa umeandikiwa, ukweli ni kwamba Train ya kisasa Ina msaada mkubwa kiuchumi kwa Tanzania hasa ukanda wa pembe za magharabi. Mazao mengi ya kilimo yatafika kwenye linking hubs.
Sent using Jamii Forums mobile app
You have too little head to head you!Kipi kilichokwama kusafirishwa kikisubiria sgr
Mimi sidhani kama kwenye treni tumewekeza kama kitega uchumi. Hii imejengwa kama huduma kwa wananchi, SIYO UWEKEZAJI, ni kama kujenga Hospitali ya wilaya ya Mkuranga...nataka kujua kama SGR itaendeshwa kibiashara, itatuletea faida, na itarudisha fedha tulizowekeza.
Mimi sidhani kama kwenye treni tumewekeza kama kitega uchumi. Hii imejengwa kama huduma kwa wananchi, SIYO UWEKEZAJI, ni kama kujenga Hospitali ya wilaya ya Mkuranga.
Uwekezaji huwa unalenga kupata faida, lakini lengo la serikali halikuwa hilo, ilikuwa ni kupata treni itakayokimbia faster ili kuwezesha uwekezaji mwingine huko peripheral(mikoani) wafanyabiashara wawe wanawahi kuchukua mizigo na kuikimbiza huko bara kwa haraka.
Hoja yako ni nzuri hasa kwa sababu inaonyesha kuwa tatizo ulilonalo ni ujinga ambao unahitaji tu kuelimishwa!
Kumbuka ujinga sio tusi kwa sababu mjinga akielimishwa huelimika lakini mpumbavu hawezi kuelimishwa!
Umeandika, ''Hapa lengo langu ni kuangalia umuhimu WA treni ya umeme kama ni sahihi kwa mazingira yetu ya sasa''!
Hutujengi reli ya treni ya umeme kwa mazingira ya sasa pekee bali pia mazingira ya miaka mingi ijayo. Unaweza kuona haina manufaa kwa sasa kwa sababu faida yake kama reli haiwezi kupatikana kwa sasa lakini uwepo wake unajenga mazingira ya uwekezaji kwa ujumla katika nyanja zingine uwe wa kuvutia.
Kumbuka reli ya kati ambayo unaisifia ilijengwa mwaka 1905 na ninaamini watu kama wewe wa wakati huo walisema hivi hivi kama unavyosema wewe eti ''haifai kwa mazingira ya sasa''
Mwaka 1905 hata Dar hii unayoiona kwa sasa sehemu kubwa ilikuwa pori achilia mbali maeneo mengine katika mikoa ambayo reli ya kati inapita!
James Freeman Clarke aliwahi kusema, ''The difference between a politician and a statesman is that a politician thinks about the next election while the statesman think about the next generation''
Hapana, hatupati hasara kwa kupata uduma. HASARA gani? Zimejengwa kwa ajili yetu kupata uduma. Faida yetu ni sisi wananchi kutumia...kwa hiyo SGR tumelenga kupata HASARA
..na DREAMLINER vilevile lengo letu ni kupata HASARA.
cc misasa
Hapana, hatupati hasara kwa kupata uduma. HASARA gani? Zimejengwa kwa ajili yetu kupata uduma. Faida yetu ni sisi wananchi kutumia.
..usiseme uduma, sema huduma.
..reli inatakiwa ijiendesha kibiashara, kwa maana irudishe fedha zilizotumika ktk uwekezaji.
Reli binafsi naiunga mkono maana itasafirisha mamizigo na watu kwa gharama nafuu actually itakomboa wakulima,wafanyabiashara na wafanyakazi kusafiri chapu na bei nzuri. Pia ni uhakika itadumu miaka mingi na itasaidia barabara kuelemewa malori ya mizigo.
Nisahihi kujengwa sasa maana inakomboa makundi mengi tena yachini hakuna uwekezaji sustainable uliofanywa awamu hii kama SGR achana na ndege zisizobeba mizigo bali mabishoo wachache,achana na JNHPP inayosemekana haitodumu nk. SGR ni mkombozi na stimulant wa uchumi.
kwa mawazo ya maslahi ya Mtu anayemilikiwa na Jamhuri uko sahihi, Ila kwa Jamhuri inayokumiliki ni Kwamba Reli ikusaidie wewe Mali yake Jamhuri ufanye Mambo yako ya kiuchumu chap chap (accelerate)bila mkwamo ili ustawi wewe, Jamhuri ikusanye Kodi kubwa kwenye kipato chako kilichowezeshwa kuwa kikubwa, faida zitokanazo na nauli sio mchango pekee wa Rail.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu vya share ni matatizo. Hakuna usafiri bora wa mizigo duniani kama treni pasipo na meli that's it!!..Tazara ime-stimulate uchumi kiasi gani?
Vitu vya share ni matatizo. Hakuna usafiri bora wa mizigo duniani kama na treni pasipo na meli that's it!!