NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
The thread of the Day!!!! But does not worth our precious time. It is enough now!! Please mods, get rid of it.
Currently Active Users Viewing This Thread: 120 (46 members and 74 guests)
Maane, amagoma, Baba_Enock, Chada, Chakaza, chavala, Che Kalizozele, chrispine, cool girl, CottonEyeJoe, dmaujanja1, Domo Kaya, Faith, Field Marshall ES, Giroy, Hofstede, Ibrah, Ikena, Jaylee, Kang, Kidatu, Kijakazi, Killuminati, kisale, Kufakunoga, KYACHAKICHE, LazyDog, Magehema, Magobe T, Mbu, mchizi, mduduwashawasha, mmasaihalisi, mshiiri, Mtu B, Mutensa, mziwanda, Ngosha123, Nyani Ngabu, Sem, Sikonge, Son of Alaska, Tabu, TreasureFred, Tshala
Hii blog ya utamu haitusaidii lolote katika kujenga jamii yenye maadili mema na hata kama ndio uhuru wa habari uhuru wa aina hii hautufai sisi Watanzania.Utamu has overstepped the boundaries of respect to us all in this country, I call upon the powers that be to take stern measures against all the culprits.
Acha ujinga na utoto wewe! unataka nikufungulie thread alaaah
Itakuwa poa ile mbaya kwani umaarufu muhimu.
Naona kuna POST zimeshafika kalibia 300 na kitu je kuna action yoyote imechukuliwa juu ya hili swala au tunaongea point lakini vitendo 0????
Niliwahi kusema hapa before ya kwamba uhuru nao una mipaka yake....
Kwanza yule ni mtu mzima, pili ni mume wa mtu, tatu kuna raia wa Tanzania wanamwita baba, nne kuna watu na akili zao timamu tu wanamwita mjomba, baba mdogo, baba mkubwa n.k......na mwisho ni rais wa nchi yangu. Kuna vitu vingi sana napingana nae kama kiongozi wa nchi niipendayo nikiamua kuviorodhesha hapa Invisible atanipigia kelele najaza server lake, lakini kuna mstari ambao haupaswi kuvukwa, nao ni personal attacks.
Kama unaona una muda mwingi sana mikononi na umeshanunua au umedownload somewhere photoshop software yako halafu huna cha kufanya, go outside for a walk; beba vyuma, au fanya lolote kwa ajili ya maendeleo yako na walioko karibu yako, lakini sio kejeli, udhalilishaji na ujuha wa kiasi kile. Mimi naungana na jeshi la polisi katika kumsaka huyo aliyefanya kituko kile......Mimi Nikikung'amua tu...naku-turn in....😡😡
Nakubaliana na Mzee mwanakijiji; hatuwezi kuwa na double standards katika maadili ya jamii yetu. Matusi ni matusi akitukanwa mtu mdogo au mtu mkubwa yote ni matusi ;hayastahili kuvumiliwa katika jamii yeyote iliyostaarabika.
Uchunguzi wangu wa haraka haraka inanionesha huyu jamaa anayejiita zeutamu
anapatika USA, state ni texas na city ni Houston.
Host IP address ni: 174.132.156.66
IP postcode: 77002
IP address latitude: 29.7523
IP address longtude: -95.3670
Tafadahali ni vyema aache upuuzi na uchafu wake mara moja kwani tunaweza kuanika mpaka jina lake kamili, alisoma wapi na hata ikiwezekana picha zake pamoja na kwamba tulisoma computer migombani.