Je, TCRA wana mamlaka yoyote ya kutunga sheria?

Solomonia

Member
Oct 8, 2023
44
111
Naomba kufahamu kwa wajuvi wa sheria hapa JF.

TCRA ni taasisi inayosimamia mawasiliano hapa TZ.

Je hawa watu wanahusika na kutunga sheria?

Mfano ni kuhusu hili suala la VPN
FB_IMG_1697276010048.jpg
 
Back
Top Bottom