Tanzania ya viwanda sio ya kuibeza.
It was and it is a right move to increase value of raw materials available in Tanzania ili kupata finished product kwa sokola ndani na nje ya Tanzania.
The best way, ilitakiwa tuwe na various business models on how do we get there.
BOT ilitakiwa na inatakiwa kui-facilitate TIB Bank ili Watanzania kupitia makampuni yao wakopesheke kuanzisha viwanda. Kuna policies za kujificha nyuma ya pazia kuwa sio lazima kuwa na mtaji kuanzisha kiwanda, huu ni uongo mweupe.
Wakati mmoja namba 1 wakati anazindua Mlinganzila Hosp, alitoa maelekezo Watanzania wanaotaka kuanzisha viwanda vya vifaa tiba wapewe mikopo na NHIF ambao nao walikuwa wanakopesha kwenye majenzi ya nyumba. Kwa namna ilivyo sijui mpaka sasa kuna utaratibu gani wa wazi ili to make the investment projects happen.
Namjua doctor mmoja Mwanza, mpaka sasa hajapata access ya funds. Kama angepata, angewekeza kwenye plant ya vifaa tiba ambayo ingetoa ajira za moja kwa moja kwa watu 45. Products zake zingeuzwa East Africa na SADC. Uzuri wa proposal yake, plant kama hiyo ipo Misri na South Africa pekee. Na sie Tanzania kupitia MSD tuna-import India na China....
Kuna wakati Prof. Kyaharara wa NSSF alikuwa na plan ya kukopesha equipment kwa ajili ya agro-processing. Hii nayo sijui ilishia wapi.
To make a summary, viwanda vingetoa ajira za moja kwa moja. likewise, supporting services sectors kama logistics, legal, banks, insurance, training, consultancy, pension funds zingekuwa. Serikali bado ina dhamana ya ku-facilitate. Ikiacha mambo yatokee by default, investor toka nje hawawezi kuja kuwekeza katika projects ambazo zitakinzana ni nini kinazalishwa katika nchi zao, achilia mbali athari ya capital flight kutokea as a result of generating income in our motherland.
Tujifunze kwa mining industry, hela zao wakiuza, wanaweka kulee ughaibuni. Hii ndiyo hatari ya wakuja. Angewekeza kafulila, Masanja au Chacha potentially, mpunga wao ungebaki kwenye bank zetu. Wangeweza kupanua biashara zao likewise ku-diversify na kutoa ajira zaidi