Jinsi gani ya kupata ajira TRA

Hudhaifa1

Member
Aug 6, 2023
28
43
Habari za wakati huu wana wa JamiiForums ?

Kwanza kabisa tumshukuru mungu kwa kutufikisha siku ya leo ya mwisho wa mwaka tukiwa wazima wa afya na wale wenye maradhi na matatizo mbalimbali basi tunaomba mungu aweze kuwafanyia wepesi na kuwaponya.

Mada yangu ya leo naomba naomba kujua kwa wanaofahamu au kwa maafisa walio shirika la TRA ni qualification gani zinazohitajika ili mtu aweze kupata kazi kwenye Shirika la TRA namaanisha
1. Course anayotakiwa kusoma
2. Wastani wa gpa
3. Jinsi ya kuomba nafasi ya kazi

Nashukuru nasubiri kuona majibu yaliyo sahihi
 
TRA kuna fani mbalimbali kwa hiyo mtu anaweza kuajiriwa kama HR, supplies officer, lawyer n.k. Kwa maafisa usimamizi wa kodi ni awe amesoma bachelor of taxation, account, economics au finance. Kwa sasa ili mradi mtu awe na cheti anasifa ya kuomba ajira haijalishi GPA yake.
 
TRA kuna fani mbalimbali kwa hiyo mtu anaweza kuajiriwa kama HR, supplies officer, lawyer n.k. Kwa maafisa usimamizi wa kodi ni awe amesoma bachelor of taxation, account, economics au finance. Kwa sasa ili mradi mtu awe na cheti anasifa ya kuomba ajira haijalishi GPA yake.
Bingwa, sasa mimi nina mdogo wangu ameshaomba kufuata utaratibu lakini wapi mpaka tumemchoka...
Sasa hebu fungua PM tuyajenge....
 
Hawata kwambia ukweli,Ila ukweli pambana Sana vyeti tu havitakusaidia
 
TRA kuna fani mbalimbali kwa hiyo mtu anaweza kuajiriwa kama HR, supplies officer, lawyer n.k. Kwa maafisa usimamizi wa kodi ni awe amesoma bachelor of taxation, account, economics au finance. Kwa sasa ili mradi mtu awe na cheti anasifa ya kuomba ajira haijalishi GPA yake.
Kwa hiyo hata waliosomea Education wanapata
 
TRA kuna fani mbalimbali kwa hiyo mtu anaweza kuajiriwa kama HR, supplies officer, lawyer n.k. Kwa maafisa usimamizi wa kodi ni awe amesoma bachelor of taxation, account, economics au finance. Kwa sasa ili mradi mtu awe na cheti anasifa ya kuomba ajira haijalishi GPA yake.
Na customer care inakuaje mnaajiri watu wa kada ipi?
 
TRA kuna fani mbalimbali kwa hiyo mtu anaweza kuajiriwa kama HR, supplies officer, lawyer n.k. Kwa maafisa usimamizi wa kodi ni awe amesoma bachelor of taxation, account, economics au finance. Kwa sasa ili mradi mtu awe na cheti anasifa ya kuomba ajira haijalishi GPA yake.
Taratibu za kuhamia zikoje
 
Back
Top Bottom