dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,376
- 15,934
Nimetumiwa file ,PDF za Kaz za TRA ambazo Wametangaza nafasi mbali mbali ktk ofisi hyo ila Cha ajabu tangazo Hilo halipo katika portal za ajira portal yaan utumishi
Ndio nauliza hapa utaratibu wa mwanzo ule wa kuomba kazi Moja kwa Moja kweny taasisi husika umeanza lini au utumishi wamewapa tra kibali Cha kufanya hivyo?
Ndio nauliza hapa utaratibu wa mwanzo ule wa kuomba kazi Moja kwa Moja kweny taasisi husika umeanza lini au utumishi wamewapa tra kibali Cha kufanya hivyo?