Je Suis Maxence...

Je Suis Maxence...

Are we going to be like China? Is that what we want?
What change do we want from jf. The gov should spell it out.
Social media policies are like those of banks. Users need to be credible. And the banks or social media will protect its users.
But when there is true violation of law they will reveal the name.
I should think it is the same with Jf.
But locking up people is not a solution.
Respect begins at home!
If the gov loves and cares for its people and is not there just for themselves and their families, the people will love it and respect it.
Let it go to basics!!
During Mwalimu Nyerere's time we had no sugar' no soap' no toothpaste. He was not perfect.
But he genuinely loved his people and identified with them in every way!!
But hey, what about leaders today. All talk but but opposite actions!
Let ccm not take advantage of the 75% lay people. I cannot call them ignorant because they are not.
They just lack education.
 
Tulikubaliana tuweke sig. Za kuhimiza kuachiwa kwa Max lakini mwitikio ni mdogo

Hapa jf kuna mashushu wanaompelekea Mungufuli data, tuweke avatar ya Max kama alama ya kumkanya Mungufuli asijeingilia uhuru wetu wa kuongea.

Hatuwezi kustarehe na familia zetu wakati mpiganaji analala nyuma ya nondo huku familia yake ikimkosa Baba.

Magufuli asituletee ubeberu kwenye nchi yetu,
Yeye ni mtumishi wa umma na baada ya miaka tisa ata-step down...... Asijitwike umungu.

mkuu kabakiza miaka minne sio tisa! 2020 naskia Jecha atakua kapata uhamisho kuja NEC!
 
Mungu wangu katika jina la Yesu.Nasimama Kwa unyeyekevu nikiomba Kwa Imani haki itendeke Kwa Kijana Mero.Mungu wangu na bwana wangu,shusha mkono wako wenye nguvu na Watu Wote watambue Kuwa Wewe Ni Mungu wa haki.Asante Mungu Kwa sababu unaenda kusimama.Wewe tu ndo unayetustahilisha na Wewe tu ndiye ujuaye haki.Mengine yote ni batili.Amina.

hivi mungu ni member humu?
 
15590450_10154091379576156_5785973462323880295_n.jpg



15578940_10154091380561156_6888759135638062675_n.jpg


Kama nilivyoahidi; waasisi na wadau wa JF tuna maamuzi ambayo tutayafanya ili kulinda uwepo na uthabiti wa JF. Wakaopoteza ni wale wanaofikiri wamepata.
Link Tunapocheka Wanapolia, Tusisahau Tutaacha Kucheka na Kuanza Kulia!
Link Swali kwa Wanaopinga Mwendo wa Magufuli na Serikali Yake
Link Go Magufuli Go - Mabadiliko yana Gharama na Maumivu!

Mzee wa kijiji vipi tena? Ndio uvumilie, tuvumilie maumivu au umetanabahi kwamba maumivu haya hayavumiliki?
Hili ni bonge la "movie".
Link Utetezi wa Mabadiliko Ya Kweli - 1 "Kosa la Ndugu Zetu"
Link Dakika 5 - Part 2 - Ujio wa Magufuli na Udikteta wa Sheria
Link Mbona Rais hajapiga marufuku siasa? Au kuna jingine?
Jingine ni hili la kutaka wadanganyika wafunge midomo yao na mikono yao igomee kukamata kalamu.

Link Wenye Kuhofia Uenyekiti wa Magufuli CCM Wana Hoja za Msingi? Ndiyo!!
Hofu haipo, ni woga tu, tunaogopa DOMO-krasi.
Link Swali la Uchokozi: Wasiofurahishwa na Magufuli Wafanye Nini Kuelekea 2020?
Bado unafurahishwa na mabadiliko tuyatakayo ya Mtukufu Rais Mpendwa wa Tanzania ya viwanda na uchumi unaokua kwa mwendokasi? Utafanya nini 2020 kama utabahatika kuiona siku hiyo? Si unaelewa taharuki ya kuopolewa na wenye mikono mirefu na yale mambo ya sandarusi?

We (do not) dare talk openly!!

My mind is playing tricks on me..may be,why do i have this gut feeling when it comes to Mwanakijiji???!..may be again my mind is playing tricks on me.
Link Nilivyomdhania Magufuli kumbe sivyo...
Link Mfumo Unapoingiza Nyoka: Swali katika Neno Lisemwalo
Link Ni Kipi Ambacho Magufuli Anafanya Tofauti na Alivyo?

Link MwanaKJJ IJumaa: Kwanini Ni Vigumu Kuamini "Udikteta" Wakisema CHADEMA?

.. Wakaopoteza ni wale wanaofikiri wamepata.
Wamepata nini?
 
Mwanakijiji,

HAKI na UKWELI havipingani ... !

Hebu jichunguze tena ulikosea wapi .., maana tuna mwaka mmoja tuu sasa wa utawala wa "mungu" wako uliyempenda na kumtetea humu humu jukwaani ..
 
My mind is playing tricks on me..may be,why do i have this gut feeling when it comes to Mwanakijiji???!..may be again my mind is playing tricks on me.
that makes the two of us...

hard for me to trust this guy any longer!

but let's put that one on the waiting list and deal perpendicularly with the Max situation. our togetherness is crucial now than ever!
 
ABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
Hivi kwa akili yako unaamini kabisa mtalii aache kuja Tanzania kisa Maxence yuko ndani? Unachekesha sana kijana.
 
Back
Top Bottom