Je Suis Maxence...

Je Suis Maxence...

ABC news na Fox news za Marekani wamereport habari hii katika namna ambayo inatujengea taswira mbaya!
Watalii tutawasikia kwenye bomba,mtalii gani atakayesikia habari hiyo halafu aje?Si ataona nchi ni ya kidikteta
Tumepata wa kutuangamiza, bwana yule...mwachieni Max
 
Ni aibu kwa Serikali inayo jinasibu kutawaka kisheria kufanya mambo ya hovyo kama haya kunyamazisha wataka haki.

Hivi mheshimiwa Rais kila Mara hutaja Mungu amsaidie ni Mungu yupi anaye mtaja ?
 
[HASHTAG]#freemaxence[/HASHTAG]
Wala tusitie shaka na huzuni mioyoni mwetu, kadri giza linavyozidi ndio asubuhi iko karibu sana tofauti na tunavyofikiria..
tushikana pamoja tupige kelele japo wametuwekea maji midomoni mwetu, hata kwa kukoroma tutapiga kelele
[HASHTAG]#freemaxence[/HASHTAG]
 
Walingoe bunge meno liwe kibogoyo, waingilie mahakama, Watumie dola kufanikisha matakwa yao ila watuachie JF yetu!
Tunaomba hilo tu jamani, and i believe it is not too much to ask! please
 
15590450_10154091379576156_5785973462323880295_n.jpg



15578940_10154091380561156_6888759135638062675_n.jpg


Kama nilivyoahidi; waasisi na wadau wa JF tuna maamuzi ambayo tutayafanya ili kulinda uwepo na uthabiti wa JF. Wakaopoteza ni wale wanaofikiri wamepata.

Hivi ule uhuru watu walishereheka hivi majuzi ulikuwa wa kushangilia kuchukua kiti cha mkoloni mzungu kuwaziba midomo wananchi wasimkosoe Na kusema ukweli Na kudai haki zao ?
 
Leo nimevaa tisheti yangu ya thamani sana ya Jamii Forums, imechakaa lakini naipenda sana
 
Underground movement on the move, tumeanza kupata international support.
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG].
bwana yule anajidhalilisha kwa mambo ya hovyo hovyo, mwachieni Melo haraka
 
Kuna kamchezo hapa kakutusaulisha juu ya vile viloba saba Bagamoyo
 
Back
Top Bottom