Je Suis Maxence...

Je Suis Maxence...

tapatalk_1481833392227.jpeg
 

Hayo ma dreamliner yanalenga kupakia wakina Faru John na Twiga....

Kwa hali hii ya uchumi kwa mtanzania, hiyo Dreamliner ataisikia kwenye Bomba tu.

Hapa tulipofikia Tanzania kwa sasa kwenye Utawala huu wa A5, inabidi Jumuia za Kimataifa ziingilie kati: UN, AU, HRW, ICC, n.k wanaona kinachoendelea ndani ya nchi hii lazima waingilie kati! Nchi zote duniani zimesaini mikataba ya HAKI ZA BINADAMU na Tanzania ikiwemo! Kinachofanyika kwa Godbless Lema ndicho kinachotaka kufanyika kwa Maxence Melo! DETENTION WITHOUT TRIAL!!!Haiwezekani Watanzania waanze kunyanyasika sasa ndani ya nchi yao kana kwamba tuko chini ya Utawala wa kikolone! Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere(rip) hakuwahi kufanya upuuzi kama huu! Haiwezekani!Something must be done.
 
Naamini ukweli na uhalisia hupatikana kwa watu wasio na viapo vya kazi. Mitandao ikiachwa wazi ni rahisi sana kujua uhalisia ulivyo na hivyo kujua jinsi ya kuongoza watu ili kuelekea kule Muumba wa vyote atakako.Duniani tunapita lakiniMungu alikusudia tupite na kutenda atakavyo.Tujiweke chini ya uongozi wake kama taifa bila kubaguana kwa maendeleo yetu,taifa na kubwa kutimiza makusudio ya aliyetuleta duniani.
 
Sasa hizo ndege za watalii zinaenda kubeba watalii wa namna gani
Usihofu, zitawabeba CCM kutoka airport hadi ukumbi wa Ikulu kwa ajili ile mikutano yao ya kila baada ya miezi minne na miezi sita.
 
Tuki cheka na kima tunavuna mabua sasahivi.hawajamaa hata aibu hawana aisse.kwani wanavyo komaa na melo wanadhani ndo anatembea na server za jf
 
Free our Melo and bring back Ben Saanane.
 
Mungu wangu katika jina la Yesu.Nasimama Kwa unyeyekevu nikiomba Kwa Imani haki itendeke Kwa Kijana Melo.Mungu wangu na bwana wangu,shusha mkono wako wenye nguvu na Watu Wote watambue Kuwa Wewe Ni Mungu wa haki.Asante Mungu Kwa sababu unaenda kusimama.Wewe tu ndo unayetustahilisha na Wewe tu ndiye ujuaye haki.Mengine yote ni batili.Amina.
 
Usimkosee Mungu adabu, ombi lako hilo halina tija
Tunajua kuna watu mmetumwa kufanya spinning,kwenye hili hamtafanikiwa kamwe.Hatutamuacha Max peke yake

[HASHTAG]#FreeMexenceMelo[/HASHTAG]
 
Bila JF kujirekebisha hakuna ushindi. Kama USA wanamtaka kumnyonga snowden (JF STLYE YAKE) na kama China hawaruhusu social media forums kama JF na bado wana maendeleo sembuse sisi ambao ndiyo tumepata mkombozi! Max na uongozi wa JF inabidi wakubali ya serikali, wajue hakuna wanachopigania, watz si viumbe waaminifu ndiyo maana Dj alijiwahi vibilion vyake kadhaa akamuachia zigo nyeupe sasa anahangaika nalo
tapatalk_1481834371461.jpeg
 
Bila JF kujirekebisha hakuna ushindi. Kama USA wanamtaka kumnyonga snowden (JF STLYE YAKE) na kama China hawaruhusu social media forums kama JF na bado wana maendeleo sembuse sisi ambao ndiyo tumepata mkombozi! Max na uongozi wa JF inabidi wakubali ya serikali, wajue hakuna wanachopigania, watz si viumbe waaminifu ndiyo maana Dj alijiwahi vibilion vyake kadhaa akamuachia zigo nyeupe sasa anahangaika nalo
Ebu toa upuuz wako hapa.....mambo ya China na USA yanaingiaje ss hapa
 
Whst is happening in our wonderful country?
Are we trying to draw attention from important issues?
Is the gov creating fear in people for a purpose?
POlepole anazungumzia itikadi gani hapa?
 
Back
Top Bottom