King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,635
Inasikitisha Sana.
Baba Yao kafisadi Kisha wanae wanapanda daladalaKatika moja ya siku nilizowahi kupatwa na mshangao sana ni pale nilipomuona binti mmoja wa Fisadi Nyerere akipanda daladala ya Masaki- Posta katika kituo cha Palm Beach, Upanga.
Hapa ndio nilipodharau huu mchaichai."Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo:Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi"
Hatsri sana hii DuniaJe, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!? Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba aliyewahi kudai kwamba wakati anamfanyia postmortem alitoa risasi 18 kifuani..!? Nani alisema ukweli na nani alidanganya..!? Je, ukifa kwa ajali ya gari unatolewa risasi kifuani..!? Je, na aliyekufa kwa ajali ya gari kuna haja ya kuwaomba na hata kuwalazimisha watu waamini kwamba ni kweli kilikuwa kifo cha ajali ya gari..!? Je, kifo cha Edward Moringe Sokoine kitaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili hadi lini…!!!!!!!!!!????????
“Of course I found 18 bullets in his chest when I was doing postmortem” haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji; ikumbukwe Dr. Shaba ndye aliyeufanyia mwili wa Marehemu Edward Sokoine utafiti baada ya kuuwawa kule Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro.
“Mwalimu Nyerere alifanya safari ya ghafla kwenda Msumbiji kwa Rais Samora Machel kuomba ushauri juu ya kasi ya utendaji wa waziri wake mkuu; kasi ambayo ilitishia usalama wa nafasi yake”
haya ni maneno ya afisa mmoja mkubwa na msaidizi wa Mwalimu Nyerere aliyenukuliwa na baadhi ya wananchi.
“Ndugu zangu watanzania wenzangu kijana wetu, ndugu yetu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki dunia baada ya msafara wake kupata ajali huko Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro; ndugu zangu watanzania nawaombeni sana muamini kwamba waziri mkuu Edward Sokoine amefariki kwa ajali ya gari”
haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere aliyowatangazia watanzania kwenye taarifa ya habari ya saa 10.00 kupitia Redio Tanzania tarehe 12 April 1984. “It’s impossible to believe that Prime Minister Edward Sokoine was died after his Mercedes Benz car crushed..!!! Even if the Mercedes Benz could crush with Scania lorry loaded with 40 tons still couldn’t die..!!! We have to send a team of seven experts to Tanzania to investigate on this issue because it may pose threats to our market strategy”
haya ni maneno ya uongozi wa juu wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani ambayo inatengeneza magari ya Mercedes Benz malumu kwa ajili ya kubeba viongozi wa dunia nzima, na gari aliyokuwa amepanda waziri mkuu Sokoine wakati kifo chake kinahusishwa na ajali hiyo ilikuwa Benz. Ajali ya Waziri mkuu Marehemu Edward Sokoine ilitokea muda mfupi baada ya Mzee Rashidi Kawawa ambaye alikuwa waziri katika ofisi ya Rais kuuza meli ya wananchi kinyemela kwa Tsh. 60 millioni ya mwaka 1984 ambapo Tsh. 20 zilikuwa ni sawa na US $ 1; ina maana meli hiyo iliuzwa kwa US $ 3 million (Tsh. 6.6 Billion) kwa thamani ya leo. Meli hii aliuziwa tajiri mmoja wa Kihindi kwa jina maarufu Lord Rajpar.
Pamoja na kwamba Mwalimu Nyerere na Mzee Kawawa ambao ndiyo wahusika wakuu wa ufisadi huu wa kutisha walishatangulia mbele ya haki, lakini shahidi mkuu na mshitakiwa namba tatu Lord Rajpar bado yupo hai na yupo hapa nchini. Je, waziri katika ofisi ya Rais anaweza kufanya ufisadi mkubwa wa kutisha wa Tsh. 6.6 Billion na Rais asiwe na habari na hata akijuwa bado tu abaki kimya….!!!??? Je, Nyerere na Kawawa waligawanaje pesa ya ufisadi huo…!?
“Rashidi naenda Dodoma kulihutubia bunge nakupa siku saba uzirudishe pesa za wananchi Tsh. 60 millioni ulizouza meli ya wananchi; na kama ukishindwa nitakupeleka Redio Tanzania ukawaambie watanzania umezipeleka wapi pesa zao”
hayo ni maneno ya mwisho kwa watanzania yaliyotamkwa na Marehemu Sokoine kwa kupitia Redio Tanzania wakati anajiandaa kwenda kulihutubia bunge Dodoma na alipoondoka kwenda Dodoma Mzee Kawawa akakimbilia kijijini kwao huko Liwale na Mwalimu Nyerere akafanya safari ya dharura nchini Mozambique. Waziri mkuu Edward Sokoine alitakiwa arudi kwa ndege kutoka Dodoma, lakini ghafla alipangiwa kwamba arudi na gari kwa vile alipangiwa na Mwalimu Nyerere akague mashamba ya mahindi mkoani Morogoro na wakati anarudi Dar es Salaam msafara wake ukapata ajali ya gari baada ya gari lilikokuwa limembeba kugongana na gari la Toyota Landcruser la mtu mmoja anayetajwa kama Dumisan Dube ambaye wengine wanamtaja kama raia wa Afrika ya Kusini na wengine wanamtaja kama raia wa Mozambique ambaye aliingia nchini muda mfupi kabla ya kifo cha Sokoine kutokea.
Inasadikiwa kwamba kwenye mgawo wa ufisadi huo mkubwa wa kutisha enzi hizo Mwalimu Nyerere alichukuwa Tsh. 50 millioni na Mzee Kawawa Tsh. 10 millioni; na hii ndiyo sababu kubwa ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anampenda sana Mzee Kawawa kwa vile hata aliweza kutumwa na Nyerere kufanya jambo baya na la kutisha, lakini bomu likifumuka Nyerere ameshamkana na wala hakuwahi kumtaja Nyerere wala kulalamika, bali siku zote alibeba lawama zote za bosi wake ili aendelee kuwa karibu naye na kutumbua nchi.
Je, kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini kwamba waziri mkuu akiwa kwenye msafara anaweza kufa kwa ajali ya gari tena siyo ya gari lake kupinduka, hapana, bali anakufa kwa kuwa gari lake limegongana na gari linguine ambalo halipo katika msafara huo…!!!??? Wote tunajua kwamba msafara wa viongozi wakuu wa kitaifa inakuwa na ulinzi mkali na hata hivyo si rahisi gari kuingilia msafara wa waziri mkuu kwa vile kuna pikipiki na magari mengi yanayotangulia mbele kabla ya gari lake na huku mengine mengi yakiwa nyuma yake pia. Sasa huyo Sokoine amekufaje kwa ajali ya gari..!!!???
Ningeambiwa amekufa kwa vile gari lake lilikuwa kwenye mwendo mkali likaserereka na kupata ajali ningelikubaliana na maneno hayo, lakini tuliambiwa na bado wanaendelea kuambia kwamba Sokoine alikufa kwa kuwa gari yake iligongana na Landcruser ya Dube..!!! “Sitaki uchunguzi wowote wa wataalamu saba wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani; nawataka wachunguzi hao waondoke nchini mwangu mara moja kwa vile nilishawaambia watanzania kwamba Sokoine amekufa kwa ajali ya gari na wameshaamini; sasa wakifanya uchunguzi na wakaja na taarifa tofauti zinazoonyesha kwamba Sokoine hakufa kwa ajali ya gari, bali ameuwawa nitawaambia nini watanzania” haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere.
Je, mtu aliyekufa kwa ajali ya gari una haja yoyote ya kuwaomba wananchi na ndugu zake waamini kwamba ni kweli amekufa kwa ajali ya gari..!? Kama kweli alikufa kwa ajali ya gari ni kwanini Mwalimu Nyerere alikataa timu ya Wajerumani wa Mercedes Benz wasifanye uchunguzi wao…!?
Kwanini kifo cha kutatanisha cha Marehemu Edward Sokoine kitokee mara tu baada ya waziri na swahiba wa karibu wa Mwalimu Nyerere Mzee Kawawa alipouza meli ya serikali kwa kiasi cha Tsh. 6.6 Billion na hata Sokoine alipomjulisha Mwalimu Nyerere kuhusu hilo hakupata ushirikiano wowote zaidi ya kujengewa chuki na ratiba ya msafara wake ikabadilishwa kwa kuambiwa kwamba asirudi kwa ndege, bali arudi kwa gari ili akague mahindi mkoani Morogoro na hapo hapo ndipo akauwawa na ajali ya gari…!!!!
Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo “Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi” maneno haya ya Marehemu Sokoine yalimtisha sana na kumuweka katika wakati mgumu Mwalimu Nyerere na alikuwa hana jinsi yoyote zaidi ya kwenda kuomba ushauri kwa rafiki yake Samora Machel wa Mozambique.
Kulingana na ukweli huu ndiyo maana nawachukia wale wote wanamtaja Mwalimu Nyerere kwa uadilifu. Ufisadi wa kuuza meli ya taifa uliofanywa na Mzee Kawawa ulipata Baraka zote za Mwalimu Nyerere na hata pesa iliyopatikana waligawana na ndiyo maana hata Marehemu Sokoine alipokuwa anamkemea na kumbana Mzee Kawawa Mwalimu Nyerere alikuwa anambeza na ni kipindi hiki ambacho Mwalimu Nyerere alimuona Sokoine kwamba ni mtu hatari katika serikali yake. Sitaki kuzungumzia ufisadi wa Mwalimu Nyerere wa mali nyingi alizojilimbikizia nchi za nje, ila kama Rais Magufuli anakusudia kwa dhati kupambana na ufisadi kwa dhati kwa ajili ya kulikomboa taifa hili, basi anatakiwa aunde tume huru ili imchunguze Mwalimu Nyerere na mfumo wake wote wa utawala; tume hiyo ikiundwa, basi tutataji hadharani wapi Mwalimu Nyerere amezificha mali zake zote ili watanzania wote waweze kufunguka.
Nihitimishe makala hii kwa kusema kwamba hakuna binadamu mwadilifu mpaka athibitishe kwa vitendo. Edward Sokoine alikuwa mwadilifu na msafi kama malaika wa mbinguni na ndiyo maana Mwalimu Nyerere na mafisadi wenzake hawakumpenda na waliona wamsingizie kifo cha ajali ya gari ili watanzania waendelee kuwa watumwa wa mfumo wake wa kidhalimu. Aliyekufa kwa ajali ya gari hubembelezwi uamini, bali unaona wewe mwenyewe. Aliyekufa kwa ajali ya gari wasioamini hawazuiwi kuchunguza kifo chake. Aliyekufa kwa ajali ya gari hawezi kutolewa risasi 18 kifuani mwake.
Ukiyatafakari yote haya unakuta kwamba kifo cha Edward Sokoine kinaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili licha ya kwamba Rais Magufuli anaimba nyimbo za mabadiliko ya kinafiki…!!!!!!!!!!!
©Dr. Noordin Jella
Hii ni Riwaya au?Je, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!? Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba aliyewahi kudai kwamba wakati anamfanyia postmortem alitoa risasi 18 kifuani..!? Nani alisema ukweli na nani alidanganya..!? Je, ukifa kwa ajali ya gari unatolewa risasi kifuani..!? Je, na aliyekufa kwa ajali ya gari kuna haja ya kuwaomba na hata kuwalazimisha watu waamini kwamba ni kweli kilikuwa kifo cha ajali ya gari..!? Je, kifo cha Edward Moringe Sokoine kitaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili hadi lini…!!!!!!!!!!????????
“Of course I found 18 bullets in his chest when I was doing postmortem” haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji; ikumbukwe Dr. Shaba ndye aliyeufanyia mwili wa Marehemu Edward Sokoine utafiti baada ya kuuwawa kule Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro.
“Mwalimu Nyerere alifanya safari ya ghafla kwenda Msumbiji kwa Rais Samora Machel kuomba ushauri juu ya kasi ya utendaji wa waziri wake mkuu; kasi ambayo ilitishia usalama wa nafasi yake”
haya ni maneno ya afisa mmoja mkubwa na msaidizi wa Mwalimu Nyerere aliyenukuliwa na baadhi ya wananchi.
“Ndugu zangu watanzania wenzangu kijana wetu, ndugu yetu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki dunia baada ya msafara wake kupata ajali huko Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro; ndugu zangu watanzania nawaombeni sana muamini kwamba waziri mkuu Edward Sokoine amefariki kwa ajali ya gari”
haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere aliyowatangazia watanzania kwenye taarifa ya habari ya saa 10.00 kupitia Redio Tanzania tarehe 12 April 1984. “It’s impossible to believe that Prime Minister Edward Sokoine was died after his Mercedes Benz car crushed..!!! Even if the Mercedes Benz could crush with Scania lorry loaded with 40 tons still couldn’t die..!!! We have to send a team of seven experts to Tanzania to investigate on this issue because it may pose threats to our market strategy”
haya ni maneno ya uongozi wa juu wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani ambayo inatengeneza magari ya Mercedes Benz malumu kwa ajili ya kubeba viongozi wa dunia nzima, na gari aliyokuwa amepanda waziri mkuu Sokoine wakati kifo chake kinahusishwa na ajali hiyo ilikuwa Benz. Ajali ya Waziri mkuu Marehemu Edward Sokoine ilitokea muda mfupi baada ya Mzee Rashidi Kawawa ambaye alikuwa waziri katika ofisi ya Rais kuuza meli ya wananchi kinyemela kwa Tsh. 60 millioni ya mwaka 1984 ambapo Tsh. 20 zilikuwa ni sawa na US $ 1; ina maana meli hiyo iliuzwa kwa US $ 3 million (Tsh. 6.6 Billion) kwa thamani ya leo. Meli hii aliuziwa tajiri mmoja wa Kihindi kwa jina maarufu Lord Rajpar.
Pamoja na kwamba Mwalimu Nyerere na Mzee Kawawa ambao ndiyo wahusika wakuu wa ufisadi huu wa kutisha walishatangulia mbele ya haki, lakini shahidi mkuu na mshitakiwa namba tatu Lord Rajpar bado yupo hai na yupo hapa nchini. Je, waziri katika ofisi ya Rais anaweza kufanya ufisadi mkubwa wa kutisha wa Tsh. 6.6 Billion na Rais asiwe na habari na hata akijuwa bado tu abaki kimya….!!!??? Je, Nyerere na Kawawa waligawanaje pesa ya ufisadi huo…!?
“Rashidi naenda Dodoma kulihutubia bunge nakupa siku saba uzirudishe pesa za wananchi Tsh. 60 millioni ulizouza meli ya wananchi; na kama ukishindwa nitakupeleka Redio Tanzania ukawaambie watanzania umezipeleka wapi pesa zao”
hayo ni maneno ya mwisho kwa watanzania yaliyotamkwa na Marehemu Sokoine kwa kupitia Redio Tanzania wakati anajiandaa kwenda kulihutubia bunge Dodoma na alipoondoka kwenda Dodoma Mzee Kawawa akakimbilia kijijini kwao huko Liwale na Mwalimu Nyerere akafanya safari ya dharura nchini Mozambique. Waziri mkuu Edward Sokoine alitakiwa arudi kwa ndege kutoka Dodoma, lakini ghafla alipangiwa kwamba arudi na gari kwa vile alipangiwa na Mwalimu Nyerere akague mashamba ya mahindi mkoani Morogoro na wakati anarudi Dar es Salaam msafara wake ukapata ajali ya gari baada ya gari lilikokuwa limembeba kugongana na gari la Toyota Landcruser la mtu mmoja anayetajwa kama Dumisan Dube ambaye wengine wanamtaja kama raia wa Afrika ya Kusini na wengine wanamtaja kama raia wa Mozambique ambaye aliingia nchini muda mfupi kabla ya kifo cha Sokoine kutokea.
Inasadikiwa kwamba kwenye mgawo wa ufisadi huo mkubwa wa kutisha enzi hizo Mwalimu Nyerere alichukuwa Tsh. 50 millioni na Mzee Kawawa Tsh. 10 millioni; na hii ndiyo sababu kubwa ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anampenda sana Mzee Kawawa kwa vile hata aliweza kutumwa na Nyerere kufanya jambo baya na la kutisha, lakini bomu likifumuka Nyerere ameshamkana na wala hakuwahi kumtaja Nyerere wala kulalamika, bali siku zote alibeba lawama zote za bosi wake ili aendelee kuwa karibu naye na kutumbua nchi.
Je, kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini kwamba waziri mkuu akiwa kwenye msafara anaweza kufa kwa ajali ya gari tena siyo ya gari lake kupinduka, hapana, bali anakufa kwa kuwa gari lake limegongana na gari linguine ambalo halipo katika msafara huo…!!!??? Wote tunajua kwamba msafara wa viongozi wakuu wa kitaifa inakuwa na ulinzi mkali na hata hivyo si rahisi gari kuingilia msafara wa waziri mkuu kwa vile kuna pikipiki na magari mengi yanayotangulia mbele kabla ya gari lake na huku mengine mengi yakiwa nyuma yake pia. Sasa huyo Sokoine amekufaje kwa ajali ya gari..!!!???
Ningeambiwa amekufa kwa vile gari lake lilikuwa kwenye mwendo mkali likaserereka na kupata ajali ningelikubaliana na maneno hayo, lakini tuliambiwa na bado wanaendelea kuambia kwamba Sokoine alikufa kwa kuwa gari yake iligongana na Landcruser ya Dube..!!! “Sitaki uchunguzi wowote wa wataalamu saba wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani; nawataka wachunguzi hao waondoke nchini mwangu mara moja kwa vile nilishawaambia watanzania kwamba Sokoine amekufa kwa ajali ya gari na wameshaamini; sasa wakifanya uchunguzi na wakaja na taarifa tofauti zinazoonyesha kwamba Sokoine hakufa kwa ajali ya gari, bali ameuwawa nitawaambia nini watanzania” haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere.
Je, mtu aliyekufa kwa ajali ya gari una haja yoyote ya kuwaomba wananchi na ndugu zake waamini kwamba ni kweli amekufa kwa ajali ya gari..!? Kama kweli alikufa kwa ajali ya gari ni kwanini Mwalimu Nyerere alikataa timu ya Wajerumani wa Mercedes Benz wasifanye uchunguzi wao…!?
Kwanini kifo cha kutatanisha cha Marehemu Edward Sokoine kitokee mara tu baada ya waziri na swahiba wa karibu wa Mwalimu Nyerere Mzee Kawawa alipouza meli ya serikali kwa kiasi cha Tsh. 6.6 Billion na hata Sokoine alipomjulisha Mwalimu Nyerere kuhusu hilo hakupata ushirikiano wowote zaidi ya kujengewa chuki na ratiba ya msafara wake ikabadilishwa kwa kuambiwa kwamba asirudi kwa ndege, bali arudi kwa gari ili akague mahindi mkoani Morogoro na hapo hapo ndipo akauwawa na ajali ya gari…!!!!
Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo “Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi” maneno haya ya Marehemu Sokoine yalimtisha sana na kumuweka katika wakati mgumu Mwalimu Nyerere na alikuwa hana jinsi yoyote zaidi ya kwenda kuomba ushauri kwa rafiki yake Samora Machel wa Mozambique.
Kulingana na ukweli huu ndiyo maana nawachukia wale wote wanamtaja Mwalimu Nyerere kwa uadilifu. Ufisadi wa kuuza meli ya taifa uliofanywa na Mzee Kawawa ulipata Baraka zote za Mwalimu Nyerere na hata pesa iliyopatikana waligawana na ndiyo maana hata Marehemu Sokoine alipokuwa anamkemea na kumbana Mzee Kawawa Mwalimu Nyerere alikuwa anambeza na ni kipindi hiki ambacho Mwalimu Nyerere alimuona Sokoine kwamba ni mtu hatari katika serikali yake. Sitaki kuzungumzia ufisadi wa Mwalimu Nyerere wa mali nyingi alizojilimbikizia nchi za nje, ila kama Rais Magufuli anakusudia kwa dhati kupambana na ufisadi kwa dhati kwa ajili ya kulikomboa taifa hili, basi anatakiwa aunde tume huru ili imchunguze Mwalimu Nyerere na mfumo wake wote wa utawala; tume hiyo ikiundwa, basi tutataji hadharani wapi Mwalimu Nyerere amezificha mali zake zote ili watanzania wote waweze kufunguka.
Nihitimishe makala hii kwa kusema kwamba hakuna binadamu mwadilifu mpaka athibitishe kwa vitendo. Edward Sokoine alikuwa mwadilifu na msafi kama malaika wa mbinguni na ndiyo maana Mwalimu Nyerere na mafisadi wenzake hawakumpenda na waliona wamsingizie kifo cha ajali ya gari ili watanzania waendelee kuwa watumwa wa mfumo wake wa kidhalimu. Aliyekufa kwa ajali ya gari hubembelezwi uamini, bali unaona wewe mwenyewe. Aliyekufa kwa ajali ya gari wasioamini hawazuiwi kuchunguza kifo chake. Aliyekufa kwa ajali ya gari hawezi kutolewa risasi 18 kifuani mwake.
Ukiyatafakari yote haya unakuta kwamba kifo cha Edward Sokoine kinaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili licha ya kwamba Rais Magufuli anaimba nyimbo za mabadiliko ya kinafiki…!!!!!!!!!!!
©Dr. Noordin Jella
Mkuu leta Uzi wa Mali za nyerereJe, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!? Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba aliyewahi kudai kwamba wakati anamfanyia postmortem alitoa risasi 18 kifuani..!? Nani alisema ukweli na nani alidanganya..!? Je, ukifa kwa ajali ya gari unatolewa risasi kifuani..!? Je, na aliyekufa kwa ajali ya gari kuna haja ya kuwaomba na hata kuwalazimisha watu waamini kwamba ni kweli kilikuwa kifo cha ajali ya gari..!? Je, kifo cha Edward Moringe Sokoine kitaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili hadi lini…!!!!!!!!!!????????
“Of course I found 18 bullets in his chest when I was doing postmortem” haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji; ikumbukwe Dr. Shaba ndye aliyeufanyia mwili wa Marehemu Edward Sokoine utafiti baada ya kuuwawa kule Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro.
“Mwalimu Nyerere alifanya safari ya ghafla kwenda Msumbiji kwa Rais Samora Machel kuomba ushauri juu ya kasi ya utendaji wa waziri wake mkuu; kasi ambayo ilitishia usalama wa nafasi yake”
haya ni maneno ya afisa mmoja mkubwa na msaidizi wa Mwalimu Nyerere aliyenukuliwa na baadhi ya wananchi.
“Ndugu zangu watanzania wenzangu kijana wetu, ndugu yetu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki dunia baada ya msafara wake kupata ajali huko Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro; ndugu zangu watanzania nawaombeni sana muamini kwamba waziri mkuu Edward Sokoine amefariki kwa ajali ya gari”
haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere aliyowatangazia watanzania kwenye taarifa ya habari ya saa 10.00 kupitia Redio Tanzania tarehe 12 April 1984. “It’s impossible to believe that Prime Minister Edward Sokoine was died after his Mercedes Benz car crushed..!!! Even if the Mercedes Benz could crush with Scania lorry loaded with 40 tons still couldn’t die..!!! We have to send a team of seven experts to Tanzania to investigate on this issue because it may pose threats to our market strategy”
haya ni maneno ya uongozi wa juu wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani ambayo inatengeneza magari ya Mercedes Benz malumu kwa ajili ya kubeba viongozi wa dunia nzima, na gari aliyokuwa amepanda waziri mkuu Sokoine wakati kifo chake kinahusishwa na ajali hiyo ilikuwa Benz. Ajali ya Waziri mkuu Marehemu Edward Sokoine ilitokea muda mfupi baada ya Mzee Rashidi Kawawa ambaye alikuwa waziri katika ofisi ya Rais kuuza meli ya wananchi kinyemela kwa Tsh. 60 millioni ya mwaka 1984 ambapo Tsh. 20 zilikuwa ni sawa na US $ 1; ina maana meli hiyo iliuzwa kwa US $ 3 million (Tsh. 6.6 Billion) kwa thamani ya leo. Meli hii aliuziwa tajiri mmoja wa Kihindi kwa jina maarufu Lord Rajpar.
Pamoja na kwamba Mwalimu Nyerere na Mzee Kawawa ambao ndiyo wahusika wakuu wa ufisadi huu wa kutisha walishatangulia mbele ya haki, lakini shahidi mkuu na mshitakiwa namba tatu Lord Rajpar bado yupo hai na yupo hapa nchini. Je, waziri katika ofisi ya Rais anaweza kufanya ufisadi mkubwa wa kutisha wa Tsh. 6.6 Billion na Rais asiwe na habari na hata akijuwa bado tu abaki kimya….!!!??? Je, Nyerere na Kawawa waligawanaje pesa ya ufisadi huo…!?
“Rashidi naenda Dodoma kulihutubia bunge nakupa siku saba uzirudishe pesa za wananchi Tsh. 60 millioni ulizouza meli ya wananchi; na kama ukishindwa nitakupeleka Redio Tanzania ukawaambie watanzania umezipeleka wapi pesa zao”
hayo ni maneno ya mwisho kwa watanzania yaliyotamkwa na Marehemu Sokoine kwa kupitia Redio Tanzania wakati anajiandaa kwenda kulihutubia bunge Dodoma na alipoondoka kwenda Dodoma Mzee Kawawa akakimbilia kijijini kwao huko Liwale na Mwalimu Nyerere akafanya safari ya dharura nchini Mozambique. Waziri mkuu Edward Sokoine alitakiwa arudi kwa ndege kutoka Dodoma, lakini ghafla alipangiwa kwamba arudi na gari kwa vile alipangiwa na Mwalimu Nyerere akague mashamba ya mahindi mkoani Morogoro na wakati anarudi Dar es Salaam msafara wake ukapata ajali ya gari baada ya gari lilikokuwa limembeba kugongana na gari la Toyota Landcruser la mtu mmoja anayetajwa kama Dumisan Dube ambaye wengine wanamtaja kama raia wa Afrika ya Kusini na wengine wanamtaja kama raia wa Mozambique ambaye aliingia nchini muda mfupi kabla ya kifo cha Sokoine kutokea.
Inasadikiwa kwamba kwenye mgawo wa ufisadi huo mkubwa wa kutisha enzi hizo Mwalimu Nyerere alichukuwa Tsh. 50 millioni na Mzee Kawawa Tsh. 10 millioni; na hii ndiyo sababu kubwa ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anampenda sana Mzee Kawawa kwa vile hata aliweza kutumwa na Nyerere kufanya jambo baya na la kutisha, lakini bomu likifumuka Nyerere ameshamkana na wala hakuwahi kumtaja Nyerere wala kulalamika, bali siku zote alibeba lawama zote za bosi wake ili aendelee kuwa karibu naye na kutumbua nchi.
Je, kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini kwamba waziri mkuu akiwa kwenye msafara anaweza kufa kwa ajali ya gari tena siyo ya gari lake kupinduka, hapana, bali anakufa kwa kuwa gari lake limegongana na gari linguine ambalo halipo katika msafara huo…!!!??? Wote tunajua kwamba msafara wa viongozi wakuu wa kitaifa inakuwa na ulinzi mkali na hata hivyo si rahisi gari kuingilia msafara wa waziri mkuu kwa vile kuna pikipiki na magari mengi yanayotangulia mbele kabla ya gari lake na huku mengine mengi yakiwa nyuma yake pia. Sasa huyo Sokoine amekufaje kwa ajali ya gari..!!!???
Ningeambiwa amekufa kwa vile gari lake lilikuwa kwenye mwendo mkali likaserereka na kupata ajali ningelikubaliana na maneno hayo, lakini tuliambiwa na bado wanaendelea kuambia kwamba Sokoine alikufa kwa kuwa gari yake iligongana na Landcruser ya Dube..!!! “Sitaki uchunguzi wowote wa wataalamu saba wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani; nawataka wachunguzi hao waondoke nchini mwangu mara moja kwa vile nilishawaambia watanzania kwamba Sokoine amekufa kwa ajali ya gari na wameshaamini; sasa wakifanya uchunguzi na wakaja na taarifa tofauti zinazoonyesha kwamba Sokoine hakufa kwa ajali ya gari, bali ameuwawa nitawaambia nini watanzania” haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere.
Je, mtu aliyekufa kwa ajali ya gari una haja yoyote ya kuwaomba wananchi na ndugu zake waamini kwamba ni kweli amekufa kwa ajali ya gari..!? Kama kweli alikufa kwa ajali ya gari ni kwanini Mwalimu Nyerere alikataa timu ya Wajerumani wa Mercedes Benz wasifanye uchunguzi wao…!?
Kwanini kifo cha kutatanisha cha Marehemu Edward Sokoine kitokee mara tu baada ya waziri na swahiba wa karibu wa Mwalimu Nyerere Mzee Kawawa alipouza meli ya serikali kwa kiasi cha Tsh. 6.6 Billion na hata Sokoine alipomjulisha Mwalimu Nyerere kuhusu hilo hakupata ushirikiano wowote zaidi ya kujengewa chuki na ratiba ya msafara wake ikabadilishwa kwa kuambiwa kwamba asirudi kwa ndege, bali arudi kwa gari ili akague mahindi mkoani Morogoro na hapo hapo ndipo akauwawa na ajali ya gari…!!!!
Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo “Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi” maneno haya ya Marehemu Sokoine yalimtisha sana na kumuweka katika wakati mgumu Mwalimu Nyerere na alikuwa hana jinsi yoyote zaidi ya kwenda kuomba ushauri kwa rafiki yake Samora Machel wa Mozambique.
Kulingana na ukweli huu ndiyo maana nawachukia wale wote wanamtaja Mwalimu Nyerere kwa uadilifu. Ufisadi wa kuuza meli ya taifa uliofanywa na Mzee Kawawa ulipata Baraka zote za Mwalimu Nyerere na hata pesa iliyopatikana waligawana na ndiyo maana hata Marehemu Sokoine alipokuwa anamkemea na kumbana Mzee Kawawa Mwalimu Nyerere alikuwa anambeza na ni kipindi hiki ambacho Mwalimu Nyerere alimuona Sokoine kwamba ni mtu hatari katika serikali yake. Sitaki kuzungumzia ufisadi wa Mwalimu Nyerere wa mali nyingi alizojilimbikizia nchi za nje, ila kama Rais Magufuli anakusudia kwa dhati kupambana na ufisadi kwa dhati kwa ajili ya kulikomboa taifa hili, basi anatakiwa aunde tume huru ili imchunguze Mwalimu Nyerere na mfumo wake wote wa utawala; tume hiyo ikiundwa, basi tutataji hadharani wapi Mwalimu Nyerere amezificha mali zake zote ili watanzania wote waweze kufunguka.
Nihitimishe makala hii kwa kusema kwamba hakuna binadamu mwadilifu mpaka athibitishe kwa vitendo. Edward Sokoine alikuwa mwadilifu na msafi kama malaika wa mbinguni na ndiyo maana Mwalimu Nyerere na mafisadi wenzake hawakumpenda na waliona wamsingizie kifo cha ajali ya gari ili watanzania waendelee kuwa watumwa wa mfumo wake wa kidhalimu. Aliyekufa kwa ajali ya gari hubembelezwi uamini, bali unaona wewe mwenyewe. Aliyekufa kwa ajali ya gari wasioamini hawazuiwi kuchunguza kifo chake. Aliyekufa kwa ajali ya gari hawezi kutolewa risasi 18 kifuani mwake.
Ukiyatafakari yote haya unakuta kwamba kifo cha Edward Sokoine kinaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili licha ya kwamba Rais Magufuli anaimba nyimbo za mabadiliko ya kinafiki…!!!!!!!!!!!
Dr. Noordin Jella
INGAWA HAWAVUMI KTK SIASA WAPO NA WANA MAWE YA KUTOSHA TU,TENA SIO KITOTO,KUNA DOGO NILISOMA NAE 13YRS AGO NI MJUKUU WA KAWAWA ALIKUWA ANAISHI UPANGA MIAKA HIYO,KIPINDI HICHO DADA YAKE ALIKUWA MEJA TENA OFISI YA MHASIBU JESHINI PALE KAMBI YA MGULANI JKT,KWASASA DOGO YUPO FINLAND ANAKULA MAISHA,DADA YAKE SIJUI AMEFIKA CHEO GANI.Ivi ukoo wa kawawa upo wapi
Ushetani ulianza tangu zamani, kupitia katiba ya hovyo ya CCMJe, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!? Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba aliyewahi kudai kwamba wakati anamfanyia postmortem alitoa risasi 18 kifuani..!? Nani alisema ukweli na nani alidanganya..!? Je, ukifa kwa ajali ya gari unatolewa risasi kifuani..!? Je, na aliyekufa kwa ajali ya gari kuna haja ya kuwaomba na hata kuwalazimisha watu waamini kwamba ni kweli kilikuwa kifo cha ajali ya gari..!? Je, kifo cha Edward Moringe Sokoine kitaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili hadi lini…!!!!!!!!!!????????
“Of course I found 18 bullets in his chest when I was doing postmortem” haya ni maneno yalitamkwa kwenye Bar moja jijini Dar es Salaam na Dr. Shaba (surgeon) daktari bingwa wa maswala ya upasuaji; ikumbukwe Dr. Shaba ndye aliyeufanyia mwili wa Marehemu Edward Sokoine utafiti baada ya kuuwawa kule Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro.
“Mwalimu Nyerere alifanya safari ya ghafla kwenda Msumbiji kwa Rais Samora Machel kuomba ushauri juu ya kasi ya utendaji wa waziri wake mkuu; kasi ambayo ilitishia usalama wa nafasi yake”
haya ni maneno ya afisa mmoja mkubwa na msaidizi wa Mwalimu Nyerere aliyenukuliwa na baadhi ya wananchi.
“Ndugu zangu watanzania wenzangu kijana wetu, ndugu yetu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki dunia baada ya msafara wake kupata ajali huko Dakawa nje kidogo ya mji wa Morogoro; ndugu zangu watanzania nawaombeni sana muamini kwamba waziri mkuu Edward Sokoine amefariki kwa ajali ya gari”
haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere aliyowatangazia watanzania kwenye taarifa ya habari ya saa 10.00 kupitia Redio Tanzania tarehe 12 April 1984. “It’s impossible to believe that Prime Minister Edward Sokoine was died after his Mercedes Benz car crushed..!!! Even if the Mercedes Benz could crush with Scania lorry loaded with 40 tons still couldn’t die..!!! We have to send a team of seven experts to Tanzania to investigate on this issue because it may pose threats to our market strategy”
haya ni maneno ya uongozi wa juu wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani ambayo inatengeneza magari ya Mercedes Benz malumu kwa ajili ya kubeba viongozi wa dunia nzima, na gari aliyokuwa amepanda waziri mkuu Sokoine wakati kifo chake kinahusishwa na ajali hiyo ilikuwa Benz. Ajali ya Waziri mkuu Marehemu Edward Sokoine ilitokea muda mfupi baada ya Mzee Rashidi Kawawa ambaye alikuwa waziri katika ofisi ya Rais kuuza meli ya wananchi kinyemela kwa Tsh. 60 millioni ya mwaka 1984 ambapo Tsh. 20 zilikuwa ni sawa na US $ 1; ina maana meli hiyo iliuzwa kwa US $ 3 million (Tsh. 6.6 Billion) kwa thamani ya leo. Meli hii aliuziwa tajiri mmoja wa Kihindi kwa jina maarufu Lord Rajpar.
Pamoja na kwamba Mwalimu Nyerere na Mzee Kawawa ambao ndiyo wahusika wakuu wa ufisadi huu wa kutisha walishatangulia mbele ya haki, lakini shahidi mkuu na mshitakiwa namba tatu Lord Rajpar bado yupo hai na yupo hapa nchini. Je, waziri katika ofisi ya Rais anaweza kufanya ufisadi mkubwa wa kutisha wa Tsh. 6.6 Billion na Rais asiwe na habari na hata akijuwa bado tu abaki kimya….!!!??? Je, Nyerere na Kawawa waligawanaje pesa ya ufisadi huo…!?
“Rashidi naenda Dodoma kulihutubia bunge nakupa siku saba uzirudishe pesa za wananchi Tsh. 60 millioni ulizouza meli ya wananchi; na kama ukishindwa nitakupeleka Redio Tanzania ukawaambie watanzania umezipeleka wapi pesa zao”
hayo ni maneno ya mwisho kwa watanzania yaliyotamkwa na Marehemu Sokoine kwa kupitia Redio Tanzania wakati anajiandaa kwenda kulihutubia bunge Dodoma na alipoondoka kwenda Dodoma Mzee Kawawa akakimbilia kijijini kwao huko Liwale na Mwalimu Nyerere akafanya safari ya dharura nchini Mozambique. Waziri mkuu Edward Sokoine alitakiwa arudi kwa ndege kutoka Dodoma, lakini ghafla alipangiwa kwamba arudi na gari kwa vile alipangiwa na Mwalimu Nyerere akague mashamba ya mahindi mkoani Morogoro na wakati anarudi Dar es Salaam msafara wake ukapata ajali ya gari baada ya gari lilikokuwa limembeba kugongana na gari la Toyota Landcruser la mtu mmoja anayetajwa kama Dumisan Dube ambaye wengine wanamtaja kama raia wa Afrika ya Kusini na wengine wanamtaja kama raia wa Mozambique ambaye aliingia nchini muda mfupi kabla ya kifo cha Sokoine kutokea.
Inasadikiwa kwamba kwenye mgawo wa ufisadi huo mkubwa wa kutisha enzi hizo Mwalimu Nyerere alichukuwa Tsh. 50 millioni na Mzee Kawawa Tsh. 10 millioni; na hii ndiyo sababu kubwa ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anampenda sana Mzee Kawawa kwa vile hata aliweza kutumwa na Nyerere kufanya jambo baya na la kutisha, lakini bomu likifumuka Nyerere ameshamkana na wala hakuwahi kumtaja Nyerere wala kulalamika, bali siku zote alibeba lawama zote za bosi wake ili aendelee kuwa karibu naye na kutumbua nchi.
Je, kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini kwamba waziri mkuu akiwa kwenye msafara anaweza kufa kwa ajali ya gari tena siyo ya gari lake kupinduka, hapana, bali anakufa kwa kuwa gari lake limegongana na gari linguine ambalo halipo katika msafara huo…!!!??? Wote tunajua kwamba msafara wa viongozi wakuu wa kitaifa inakuwa na ulinzi mkali na hata hivyo si rahisi gari kuingilia msafara wa waziri mkuu kwa vile kuna pikipiki na magari mengi yanayotangulia mbele kabla ya gari lake na huku mengine mengi yakiwa nyuma yake pia. Sasa huyo Sokoine amekufaje kwa ajali ya gari..!!!???
Ningeambiwa amekufa kwa vile gari lake lilikuwa kwenye mwendo mkali likaserereka na kupata ajali ningelikubaliana na maneno hayo, lakini tuliambiwa na bado wanaendelea kuambia kwamba Sokoine alikufa kwa kuwa gari yake iligongana na Landcruser ya Dube..!!! “Sitaki uchunguzi wowote wa wataalamu saba wa kampuni ya Mercedes Benz ya Ujerumani; nawataka wachunguzi hao waondoke nchini mwangu mara moja kwa vile nilishawaambia watanzania kwamba Sokoine amekufa kwa ajali ya gari na wameshaamini; sasa wakifanya uchunguzi na wakaja na taarifa tofauti zinazoonyesha kwamba Sokoine hakufa kwa ajali ya gari, bali ameuwawa nitawaambia nini watanzania” haya ni maneno ya Mwalimu Nyerere.
Je, mtu aliyekufa kwa ajali ya gari una haja yoyote ya kuwaomba wananchi na ndugu zake waamini kwamba ni kweli amekufa kwa ajali ya gari..!? Kama kweli alikufa kwa ajali ya gari ni kwanini Mwalimu Nyerere alikataa timu ya Wajerumani wa Mercedes Benz wasifanye uchunguzi wao…!?
Kwanini kifo cha kutatanisha cha Marehemu Edward Sokoine kitokee mara tu baada ya waziri na swahiba wa karibu wa Mwalimu Nyerere Mzee Kawawa alipouza meli ya serikali kwa kiasi cha Tsh. 6.6 Billion na hata Sokoine alipomjulisha Mwalimu Nyerere kuhusu hilo hakupata ushirikiano wowote zaidi ya kujengewa chuki na ratiba ya msafara wake ikabadilishwa kwa kuambiwa kwamba asirudi kwa ndege, bali arudi kwa gari ili akague mahindi mkoani Morogoro na hapo hapo ndipo akauwawa na ajali ya gari…!!!!
Ikumbukwe kwamba wakati anaondoka kwenda Dodoma Marehemu Sokoine alisema maneo ya mwisho yafuatayo “Nikimaliza kuwatumbua majipu mawaziri wangu, basi napanda juu nikamtumbue majipu Mwalimu Nyerere kwa vile anaonekana siyo msafi” maneno haya ya Marehemu Sokoine yalimtisha sana na kumuweka katika wakati mgumu Mwalimu Nyerere na alikuwa hana jinsi yoyote zaidi ya kwenda kuomba ushauri kwa rafiki yake Samora Machel wa Mozambique.
Kulingana na ukweli huu ndiyo maana nawachukia wale wote wanamtaja Mwalimu Nyerere kwa uadilifu. Ufisadi wa kuuza meli ya taifa uliofanywa na Mzee Kawawa ulipata Baraka zote za Mwalimu Nyerere na hata pesa iliyopatikana waligawana na ndiyo maana hata Marehemu Sokoine alipokuwa anamkemea na kumbana Mzee Kawawa Mwalimu Nyerere alikuwa anambeza na ni kipindi hiki ambacho Mwalimu Nyerere alimuona Sokoine kwamba ni mtu hatari katika serikali yake. Sitaki kuzungumzia ufisadi wa Mwalimu Nyerere wa mali nyingi alizojilimbikizia nchi za nje, ila kama Rais Magufuli anakusudia kwa dhati kupambana na ufisadi kwa dhati kwa ajili ya kulikomboa taifa hili, basi anatakiwa aunde tume huru ili imchunguze Mwalimu Nyerere na mfumo wake wote wa utawala; tume hiyo ikiundwa, basi tutataji hadharani wapi Mwalimu Nyerere amezificha mali zake zote ili watanzania wote waweze kufunguka.
Nihitimishe makala hii kwa kusema kwamba hakuna binadamu mwadilifu mpaka athibitishe kwa vitendo. Edward Sokoine alikuwa mwadilifu na msafi kama malaika wa mbinguni na ndiyo maana Mwalimu Nyerere na mafisadi wenzake hawakumpenda na waliona wamsingizie kifo cha ajali ya gari ili watanzania waendelee kuwa watumwa wa mfumo wake wa kidhalimu. Aliyekufa kwa ajali ya gari hubembelezwi uamini, bali unaona wewe mwenyewe. Aliyekufa kwa ajali ya gari wasioamini hawazuiwi kuchunguza kifo chake. Aliyekufa kwa ajali ya gari hawezi kutolewa risasi 18 kifuani mwake.
Ukiyatafakari yote haya unakuta kwamba kifo cha Edward Sokoine kinaendelea kuwa siri nyeti na tata ya taifa hili licha ya kwamba Rais Magufuli anaimba nyimbo za mabadiliko ya kinafiki…!!!!!!!!!!!
©Dr. Noordin Jella
Hard to believeInasadikiwa kwamba kwenye mgawo wa ufisadi huo mkubwa wa kutisha enzi hizo Mwalimu Nyerere alichukuwa Tsh. 50 millioni na Mzee Kawawa Tsh. 10 millioni; na hii ndiyo sababu kubwa ambayo Mwalimu Nyerere alikuwa anampenda sana Mzee Kawawa kwa vile hata aliweza kutumwa na Nyerere kufanya jambo baya na la kutisha, lakini bomu likifumuka Nyerere ameshamkana na wala hakuwahi kumtaja Nyerere wala kulalamika, bali siku zote alibeba lawama zote za bosi wake ili aendelee kuwa karibu naye na kutumbua nchi.
Naungana nawe 👍Mada hii imejaa upotoshaji wa hali duni kabisa wenye kufanana na zile simulizi pendwa zilizo zoeleka za bwana Deo tu
Huyo alikuwa Czar Nicholas Alexander Mfalme wa mwisho wa Urusi aliyeuawa yeye na familia yake na utawala wa Lenin mwaka 1917.Kama alipigwa risasi na kabuli lipo ni kufufua kufanya vipimo.
Hii ilishatokea kipindi cha sovient urusi sijui mtawala gani, kifo chake na familia nzima waliuliwa ila mabaki yalikosekana na miaka mbele ilipokuja kugundulika mabaki ya familia moja yalifanyiwa uchunguzi na kuzikwa kwa heshima zote za kijeshi maana alikufa kifo kibaya na familia yake niliangalia mda Mada hii unaweza kunikumbusha.
Unasaidiaje watu wengine ilhali watu wako mwenyewe wanakufa njaa?Sikio likitaka kuzidi kichwa, Nyerere alifanya sawa, hata kama aliuza meli kijana wake aliona ni sawa kumvua nguo? Alioashwa kumwambia na wakamaliza kimya kimya badala ya kuketa mtafaruku.Ili kulinda heshima ya nchi alipashwa kuwa ELIMINATED, hiyo ndiyo kamini.Pesa kama hiyo unakuwa ilienda kuwasaidia wapiganaji wa ukombozi kidini mwa Africa kwa siri baada ya kugundua jamaa ni mlopokaji.Hapo wazee hawakula chichote, nia ni kusaidia watu tu.
Uzi wa zamani sikupata kuusoma kabla huu!Nyerere aliyeweza kupiga simu benki kuu na kuagiza apewe fedha anazotaka kwa sababu za "usalama wa taifa" alihitaji kuuza meli ili aibe hela za umma?
Ushawahi kufika kwa Nyerere ukaona alivyoishi?
Mkuu una umri gani?This is Assumption
Mkuu,Uzi wa zamani sikupata kuusoma kabla huu!
Katika members ninaoamini kuwa na mantiki za juu katika forum hii ni pamoja na Kiranga.
Hii comment imenifanya nianze kumtafakari Kiranga!
Hivi kiranga anaweza ku over expect jambo lolote bila ya kulifanyia utafiti na tafakari ya kutosha kweli!
Hivi Kiranga amezaliwa miaka ya '90nini!
Hivi Kiranga ni kada msisiem?
Hoja hii ya utetezi wa Nyerere imenifikirisha sana kuhusu Kiranga!
Labda nikuulize Kiranga, mateso yote yahusuyo muungano mbovu, ubovu wa Katiba ya leo, ufisadi wa Sisiem na dhuluma nyinginezo zilizodumu kuanzia Uhuru hadi leo, siasa za Chama kimoja, ghushi za matokeo katika chaguzi zote kuanzia awamu ya kwanza, muasisi wake ni nani haswa?
Huyu mtoa mada, alitoa hoja jadidifu ili ma great thinkers muweze kuja na majibu sahihi ya kiuchambuzi!
Usimuamini binadamu 100% na usiwe na overexpectations juu ya uaminifu wa uongozi kwa kiongozi yetote wa Afrika, utapotea ama utapotosha!
Mimi nimeishi na kufanya kazi kuanzia utawala huo wa Awamu ya kwanza ya Nyerere na ninakijua alichokiongea mtoa hoja, kina mashiko.
Kifo cha Sokoine kilifumbwa kama alivyoeleza mtoa hoja.
Si vibaya kikachunguzwa na kuanika ukweli wote wa kifo hicho cha utata bila hata malengo zaidi ya kuupata tu ukweli.
Mkuu,
..."Mimi najua matatizo ya Nyerere na ukitaka tuyajadili tunaweza kuyajadili"...
Mkuu utaniwia radhi, sikulijua hilo. Kumbe mi na wewe tu abiria tunaosafiri katika chombo kimoja ahsante.