winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 284
- 333
Hapo price ilibadilika kutokana na kubadilika kwa kanuni za DSE ndio maana hisa nyingi zilipanda sana au kushuka .Zilikuwa issue tatu moja wapo ni jinsi ya calculation za beinya hisaSasa mkuu kama investor wenyewe ndio hao hawatikiswi na habari yoyote kufanya wauze kwa bei yoyote unategemea nini? Soko la hisa kwa bongo lipo tofauti sana. Yani watu wanafanya hisa kama UTT for saving zaidi.....
Kama uamini angalia trend ya market kuanzia january mpaka sasa. Utashangaa....
Angalia ukuaji wa hisa hapo halafu uliza wanaoperate kwa principle gani hapo...