Ambrose Koller
Senior Member
- Oct 13, 2024
- 102
- 84
KatombweSina muda wa kuelimisha ng'ombe
KatombweSina muda wa kuelimisha ng'ombe
Mimi basha mstaafuKatombwe
Haya njoo nikutombe sasaMimi basha mstaafu
Sikuizi nimeacha ubasha yahee ...niunganishie mama yako sawaHaya njoo nikutombe sasa
Ndo namtomba mama ako sahvSikuizi nimeacha ubasha yahee ...niunganishie mama yako sawa
Ukimaliza njoo nikupe pesa kijanaNdo namtomba mama ako sahv
Ukimaliza njoo nikupe pesa kijana
Mkuu hapo kwenye mabano inatakiwa iwe DRIVENPili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa (drived) na law ya demand na supply.
Umeongea vizuri sana. Bora Ujichange ukimbulie nje ukawekeze maana Wenzetu wana regulations nzuri sanaKabisa mtu na akili zake anaenda kuwekeza kwenye stock market ya bongo in a long run?
Bongo hii ambayo imejazaa uhuni na siasa kila kona mtu anaweka mamilioni yako eti unasubiri faida baada ya miaka kadhaa na wakati mkipata mwanasiasa mwehu tu hela zako zote zinayeyuka kama ilivyokuwa kwa precision air shares kipindi cha magufuli?
Ni heri nijichange change nikanunue zangu shares za apple huko kwenye masoko yanayoeleweka.
Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu kipindi kile Elon Musk anawavuruga sana wamarekani na wizara yake mpya ya DOGE.Umeongea vizuri sana. Bora Ujichange ukimbulie nje ukawekeze maana Wenzetu wana regulations nzuri sana
Hata Rostam alishasema Hakuna Mwekezaji atakayekuja Kuwekeza kwenye nchi ambayo Wanasiasa wana nguvu kuliko sheria za Kibiashara
Hisa Moja ya apple ni $200 ambayo ni karib laki sita Sasa utanunua hisa ngapi ili u make profitKabisa mtu na akili zake anaenda kuwekeza kwenye stock market ya bongo in a long run?
Bongo hii ambayo imejazaa uhuni na siasa kila kona mtu anaweka mamilioni yako eti unasubiri faida baada ya miaka kadhaa na wakati mkipata mwanasiasa mwehu tu hela zako zote zinayeyuka kama ilivyokuwa kwa precision air shares kipindi cha magufuli?
Ni heri nijichange change nikanunue zangu shares za apple huko kwenye masoko yanayoeleweka.
Umesoma financial statement zao au Umesikia fatilia data zao tz hakuna kwel mfumo mzur pia wa kufatiliaa real time price na dse regulation pia inahitaj itumbuliwe inaongozwa keinyeji.. every QT tunahitaji report za makampun kama mbele itaongeza Uaminifu kwa new investor. Hakuna transparency aiseh..Soko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika.
Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?
Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).
Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?
Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?
Watu wananua mpaka fraction ya hisa wewe unaongelea the whole share kama kikwazo, mazee kuna alinunua BTC kwa $30 kipindi kile price yake imedrop mpaka $87kHisa Moja ya apple ni $200 ambayo ni karib laki sita Sasa utanunua hisa ngapi ili u make profit
Aina ya wawekezaji nayo inaathiri bei za hisa. asilimia kubwa ya wawekezaji sio wale wa kuuza na kununua. wengi ni wale wa kuhold kwa ajili ya baadaye. Hii inafanya bei ya hisa kuwa stable hata kwa dhoruba zinazotokea. Kwa kifupi wanunuaji wengi wa hisa hatuna elimu kamili ya hisa.Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu kipindi kile Elon Musk anawavuruga sana wamarekani na wizara yake mpya ya DOGE.
Wamarekani wengi waliisusia kampuni yake ya TESLA wakaanza kurudisha magari kwenye dealership, mauzo yakapungua kwa zaidi ya 30% hali hiyo ilipekea hata bei ya hisa za TSL kushuka kutoka $320 mpaka $197 ndani ya miezi minne tu...
Haya njoo kwetu sasa hapa wiki mbili zilizopita kila mtu anajua mauza uza yaliyotokea kwenye benki ya CRDB hali ambayo imelekea watu kuhamisha pesa zao kwa fujo sana, na hata baadhi ya investors kukimbiza pesa zao.... ila sasa cha kustahajabisha bei ya hisa za CRDB ziko almost pale pale licha ya hili dhaama lililoikuta benki hiyo... kama sio uhuni wa ku inflate share price artificially ni nini hapo???
Yaan tukienda na marketing principles za financial market ilipaswa sasa hivi share za CRDB bei yake iwe kwenye 200/= hapo na sio eti 1000+/= huko.
Kwa serious investor ameshaona kuna walikini mkubwa sana kwenye hiyo kampuni ya CRDB.
Alichokisema Rostam ni kweli nchi za dunia ya tatu hizi mfanyabiashara mkubwa hawezi kuja kutupa hela zake, maana wanasiasa wana nguvu kuliko hata market forces.
Umenena vyema kabisa, ila bado haya maelezo yako hapa yana mkanganyiko kidogo kiasi cha kuacha maswali..Aina ya wawekezaji nayo inaathiri bei za hisa. asilimia kubwa ya wawekezaji sio wale wa kuuza na kununua. wengi ni wale wa kuhold kwa ajili ya baadaye. Hii inafanya bei ya hisa kuwa stable hata kwa dhoruba zinazotokea. Kwa kifupi wanunuaji wengi wa hisa hatuna elimu kamili ya hisa.
Masoko ya nje yapo busy. Ila ukiangalia masoko yetu karibu kila siku demand ni kubwa kuliko supply hii ina maana watu hawataki kuuza hisa zao. Kuna kipindi hisa za CRDB zilifika 1600 ila watu wakagoma kuuza na sasa ni 1160 unashangaa are we insane? Umenunu hisa kwa 500 inafika 1600 bado umehold? why not selling it and repurchase when the price drop again even for 50 Tshs....
Sasa mkuu kama investor wenyewe ndio hao hawatikiswi na habari yoyote kufanya wauze kwa bei yoyote unategemea nini? Soko la hisa kwa bongo lipo tofauti sana. Yani watu wanafanya hisa kama UTT for saving zaidi.....Umenena vyema kabisa, ila bado haya maelezo yako hapa yana mkanganyiko kidogo kiasi cha kuacha maswali..
Ndio ni kweli kwa mujibu wa financial markets principles wauzaji wakiwa wachache kuliko wanunuzi price inapanda, lakini pia kumbuka soko la hisa ali operate kwa kufuata demand and supply zinasema nini....
...how the whole market operate involves a lot of factors at interplay like business perfomance,economic state at macro levels,company image au outlook etc..!!
...Hivyo mpaka tunaona share price kwenye chart ni balance ya combinations ya hizo factors.
Sasa kampuni haiwezi kuwa na perfomance mbaya kwa zaidi ya miezi miwili kiasi cha kufanya mpaka baadhi ya investors kukimbia halafu share value isishuke, eti kisa tu watu wengi hawako tayari kuuza hisa zao.
Walichopitia bank ya CRDB miezi miwili iliyopita kilitengeneza negative outlook to the company na kusababisha negative market sentiment to the public..
..na kawaida kampuni ikiwa na negative market sentiment huwa inapelekea watu wasite kujuhisisha nayo kwa namna yoyote ile, hivyo nyie investors ambao mnamiliki hisa zenu hapo mnaweza mkawa hamtaki kuuza lakin pia vile vile watu walioko huku nje hawataki kuzinunua, maana wana wasi wasi.
Na ndio maana mimi narudi pale pale kuna mchezo wa kihuni ulifanyika hili kulinda hizo share za crdb....
...Kwanza nilivyoona tu governor wa BOT eti anampongeza GD wa crdb sijui kwa kazi nzuri aliyoifanya, nikajua tu hakuna kitu hapa, hawa wapuuzi wanapongezana baada zoezi lao la kihuni kufanikiwa.
Hela yako kanywee BiaSoko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika.
Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?
Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).
Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?
Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?
Investment kwenye hisa sio kazi ya hisia tu , sasa mtu ametoka kukupa dividend ya Tsh 65 kwa hisa moja , alafu wewe unadai bei ya hisa moja ingekuwa TSh 20, yani ununue hisa bei hiyo ulipwe gawio mara tatu yake , sababu financial statement zimeknyesha kuimprove kila sehemu ukilinganisha na mwaka janaIngekuwa huko mbelez shares za crdb zingekuwa TZS 20 per share hadi leo...ila bongo sasa!!
View attachment 3470320View attachment 3470321