Je, soko la HISA ni utapeli?

Je, soko la HISA ni utapeli?

Hisa za crdb mbona ziko kwenye downtrend wiki ya pili hii kiongozi! Zilifika all time high hapo mwishoni mwishon wa august na sasa zinafanya correction.

Pili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa drived na law ya demand na supply. Wanaozitaka hisa za voda ni wachache kuliko waliotayari kuziuza (wengi wako tayari kucompromise) so bei haiwezi panda kwa minajiri hiyo. Ile inayoonekana pale ndo uhalisia hasa wa bei ya hisa ya voda, achana na ile ya IPO
Hii bongo yetu chochote kinawezekana hata wanasiasa kupiga mkwala wasimamizi wa soko la hisa wasitangaze hasara ni kitu kinachowezekana
 
Hatuwezi kuelewana. Maongezi haya hayawezi kuwa na tija kwa sababu kwanza hata hatuongelei benki moja.

Wewe unaongelea CCMRDB mimi naongelea CRDB.
CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hilo
 
CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hilo
Mimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?

Are you sane?
 
Mimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?

Are you sane?
Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yao
 
Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yao
Mimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.
 
Mimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.
Ndio nimeelewa mkuu hio hio CCMRDB ndio nimesema akaunti ya bank sio yako ni ya bank kwa hio siku nyingine usije ukafungua akaunti bank ukaanza kujisifu nina akaunti yangu bank sio akaunti yako ni akaunti ya bank
 
Charles Kimei katoka openly kasema anamuogopa sana rais Magufuli, that alone was a red flag for a sane investor, hawakuona hilo kama tatizo?
It was a red flag, ila ni wakati wa Magu pia Kimei alipewa ubunge na Magu.
 
Ndio nimeelewa mkuu hio hio CCMRDB ndio nimesema akaunti ya bank sio yako ni ya bank kwa hio siku nyingine usije ukafungua akaunti bank ukaanza kujisifu nina akaunti yangu bank sio akaunti yako ni akaunti ya bank

Naongelea CRDB si CCMRDB.

Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Niliacha kuifuatilia DSE na makampuni yaliyosajiriwa humo baada ya channels na page rasmi za DSE kuifanyia promo ile kampuni ya kilimo ya kitapeli JATU PLC iliyokuwa inauza hisa moja shilingi 5,000.

Kampuni hiyo ilikuwa inalipa wasanii mmojawapo kama sikosei alikuwa Mrisho Mpoto, walikuwa wanapanda kwenye Canter na wanenguaji wakitangaza kushawishi watu wanunue hisa. Nikajua hamna kitu pale, wewe tangu lini mwekezaji akashawishika kwa kutumia wanenguaji. Sasa DSE ndio ilikuwa inapigia promo JATU iliyokuwa sijui ndio inatoa I.P.O muda ule.

Tangu lini TFF regulator wa kandanda ikahamisha Watanzania washabikie Namungo kwenye ligi kuu.
Hivi DSE walishatoa tamko au maelezo kuhusu JATU?!
 
Soko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika.

Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?

Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?

Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).

Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?

Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?
Nawashangaa sana watu wanaowekeza hela sehem ambapo siasa ndio inaamua uchumi badala ya uchumi uamue siasa. Ukuaji wako utategemea kauli ya mwanasiasa. Bora ununue hisa hapo kenya angalau soko ndio linaamua uchumi sio wanasiasa.
 
Ni Uswahili wa hali ya juu walifanya hata nikaacha follow pages zao na app yao nikatoa kwa simu. Nikawa na wasiwasi nao kuna siku watapoteza watu, wewe msomi gani wa uchumi anaruhusu JATU kuwa listed kwenye stock exchange. Model yenyewe tu ilionekana ponzi. Haikuchukua hata 2 yrs, sasa hapo kuna regulator serious kweli au wala mishahara tu.
Hiyo ni crime kabisa.
Walitakiwa wafungwe watu hapo DSE.
 
Ni Uswahili wa hali ya juu walifanya hata nikaacha follow pages zao na app yao nikatoa kwa simu. Nikawa na wasiwasi nao kuna siku watapoteza watu, wewe msomi gani wa uchumi anaruhusu JATU kuwa listed kwenye stock exchange. Model yenyewe tu ilionekana ponzi. Haikuchukua hata 2 yrs, sasa hapo kuna regulator serious kweli au wala mishahara tu.
Ila kwa kweli hapo kwa JATU naunga mkono hoja,sasa sisi wenye vipato vidogo tukaweke wapi hela zetu🙆🏾‍♀️🙆🏾‍♀️huko UTT ndio sikuamini nafsi yangu imegoma japo napewa elimu sana.
 
Mifumo yao ya uendeshaji wa masoko ya Hisa ni tofauti. Huko Duniani unaweza kununua na kuuza hisa instantly over the counter, taarifa yoyote itakayotokea huwa inaathiri maamuzi ya wawekezaji na wana uwezo wa kuuza ama kununua hisa kulingana na uelekeo wa upepo hata kwa ndani ya dakika 5. Tofauti na huku kwetu, ukinunua tena kwa kusainishana ndiyo imetoka hiyo.
 
Back
Top Bottom