Je, soko la HISA ni utapeli?

Je, soko la HISA ni utapeli?

Kilio ni kingi sana na huenda CRDB ilidukuliwa ndo chanzo cha kuzima system kwa siku 3 kufanya mitigation. Vilio vitaongezeka sana
 
Ona huyu, eti hizi issues ndogo hazina impact!!!
Hakuna utapeli , sema aina ya wateja waliopo ndio wanasababisha wengi wateja wadogo wananunua for long term investment kwahiyo hizi issues ndogo hazina impact , sababu kwa report ya half year iliyotoka june , CRDB inaweza kuongezeka by half or double profit ya mwaka jana ifikapo mwisho wa mwaka, sasa system kuleta issues kwa hizi wiki tena taarifa ilitolewa haitakuwa na impact kubwa sababu wameupgrade waweze kufungua matawi nchi nyingine, kitu chenye faida zaidi
 
CRDB ina matatizo mengi sana, this is just the tip of the iceberg.

Watu wanapoteza tens and hundreds of millions of shillings unaita jambo dogo?

Kuna familia imepoteza zaidi ya shilingi milioni 250 huu sasa ni zaidi ya mwaka wa tatu.

Wewe unasema jambo dogo hili?
Hizo 250 Million zimeepotelea wapi kwenye akaunti?
 
Hisa za crdb mbona ziko kwenye downtrend wiki ya pili hii kiongozi! Zilifika all time high hapo mwishoni mwishon wa august na sasa zinafanya correction.

Pili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa drived na law ya demand na supply. Wanaozitaka hisa za voda ni wachache kuliko waliotayari kuziuza (wengi wako tayari kucompromise) so bei haiwezi panda kwa minajiri hiyo. Ile inayoonekana pale ndo uhalisia hasa wa bei ya hisa ya voda, achana na ile ya IPO
Hii bongo yetu chochote kinawezekana hata wanasiasa kupiga mkwala wasimamizi wa soko la hisa wasitangaze hasara ni kitu kinachowezekana
 
Hatuwezi kuelewana. Maongezi haya hayawezi kuwa na tija kwa sababu kwanza hata hatuongelei benki moja.

Wewe unaongelea CCMRDB mimi naongelea CRDB.
CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hilo
 
CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hilo
Mimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?

Are you sane?
 
Mimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?

Are you sane?
Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yao
 
Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yao
Mimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.
 
Mimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.
Ndio nimeelewa mkuu hio hio CCMRDB ndio nimesema akaunti ya bank sio yako ni ya bank kwa hio siku nyingine usije ukafungua akaunti bank ukaanza kujisifu nina akaunti yangu bank sio akaunti yako ni akaunti ya bank
 
Charles Kimei katoka openly kasema anamuogopa sana rais Magufuli, that alone was a red flag for a sane investor, hawakuona hilo kama tatizo?
It was a red flag, ila ni wakati wa Magu pia Kimei alipewa ubunge na Magu.
 
Back
Top Bottom