Je, soko la HISA ni utapeli?

Je, soko la HISA ni utapeli?

It doesn’t work here, sorry
CRDB ina matatizo mengi sana, this is just the tip of the iceberg.

Watu wanapoteza tens and hundreds of millions of shillings unaita jambo dogo?

Kuna familia imepoteza zaidi ya shilingi milioni 250 huu sasa ni zaidi ya mwaka wa tatu.

Wewe unasema jambo dogo hil
 
Kabisa mtu na akili zake anaenda kuwekeza kwenye stock market ya bongo in a long run?

Bongo hii ambayo imejazaa uhuni na siasa kila kona mtu anaweka mamilioni yako eti unasubiri faida baada ya miaka kadhaa na wakati mkipata mwanasiasa mwehu tu hela zako zote zinayeyuka kama ilivyokuwa kwa precision air shares kipindi cha magufuli?

Ni heri nijichange change nikanunue zangu shares za apple huko kwenye masoko yanayoeleweka.
 
Umeongea kitu kikubwa sana.
Ni Uswahili wa hali ya juu walifanya hata nikaacha follow pages zao na app yao nikatoa kwa simu. Nikawa na wasiwasi nao kuna siku watapoteza watu, wewe msomi gani wa uchumi anaruhusu JATU kuwa listed kwenye stock exchange. Model yenyewe tu ilionekana ponzi. Haikuchukua hata 2 yrs, sasa hapo kuna regulator serious kweli au wala mishahara tu.
 
Kilio ni kingi sana na huenda CRDB ilidukuliwa ndo chanzo cha kuzima system kwa siku 3 kufanya mitigation. Vilio vitaongezeka sana
 
Ona huyu, eti hizi issues ndogo hazina impact!!!
Hakuna utapeli , sema aina ya wateja waliopo ndio wanasababisha wengi wateja wadogo wananunua for long term investment kwahiyo hizi issues ndogo hazina impact , sababu kwa report ya half year iliyotoka june , CRDB inaweza kuongezeka by half or double profit ya mwaka jana ifikapo mwisho wa mwaka, sasa system kuleta issues kwa hizi wiki tena taarifa ilitolewa haitakuwa na impact kubwa sababu wameupgrade waweze kufungua matawi nchi nyingine, kitu chenye faida zaidi
 
CRDB ina matatizo mengi sana, this is just the tip of the iceberg.

Watu wanapoteza tens and hundreds of millions of shillings unaita jambo dogo?

Kuna familia imepoteza zaidi ya shilingi milioni 250 huu sasa ni zaidi ya mwaka wa tatu.

Wewe unasema jambo dogo hili?
Hizo 250 Million zimeepotelea wapi kwenye akaunti?
 
Back
Top Bottom