Hakuna utapeli , sema aina ya wateja waliopo ndio wanasababisha wengi wateja wadogo wananunua for long term investment kwahiyo hizi issues ndogo hazina impact , sababu kwa report ya half year iliyotoka june , CRDB inaweza kuongezeka by half or double profit ya mwaka jana ifikapo mwisho wa mwaka, sasa system kuleta issues kwa hizi wiki tena taarifa ilitolewa haitakuwa na impact kubwa sababu wameupgrade waweze kufungua matawi nchi nyingine, kitu chenye faida zaidi
Uliza kwanza mmiliki mkuu wa hizo hisa ni nani?Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Hizo 250 Million zimeepotelea wapi kwenye akaunti?CRDB ina matatizo mengi sana, this is just the tip of the iceberg.
Watu wanapoteza tens and hundreds of millions of shillings unaita jambo dogo?
Kuna familia imepoteza zaidi ya shilingi milioni 250 huu sasa ni zaidi ya mwaka wa tatu.
Wewe unasema jambo dogo hili?
Zilikuwa kwenye akaunti, hazionekani sasa. Watu wa CRDB wanaulizwa wanambwelambwela for years sasa.Hizo 250 Million zimeepotelea wapi kwenye akaunti?
Na yeye ilikuaje akawawekea 250 Million kwenye akaunti yao au ilikua akaunti yake?Zilikuwa kwenye akaunti, hazionekani sasa. Watu wa CRDB wanaulizwa wanambwelambwela for years sasa.
Akaunti ya mtu pesa zake zimepotea haieleweki ziko wapi. CRDB wanashindwa kuelezea pesa ziko wapi.Na yeye ilikuaje akawawekea 250 Million kwenye akaunti yao au ilikua akaunti yake?
Akaunti yake au akaunti ya CCMRDB?Akaunti ya mtu pesa zake zimepotea haieleweki ziko wapi. CRDB wanashindwa kuelezea pesa ziko wapi.
Mkuu kwa hiyo bora mtu akaweka fixed account tu?HISA TANZANIA NI UTAPELI KWA ASILIMIA 99%
Sasa hio akaunti sio yake ni akaunti ya bank ya CCMRDB bado wanafanya kampeni asubirie kwanza kampeni zikiisha atazikuta hela zakeAkaunti yake kwenye benki ya CRDB.
Ni balaa sanaAkaunti ya mtu pesa zake zimepotea haieleweki ziko wapi. CRDB wanashindwa kuelezea pesa ziko wapi.
Hatuwezi kuelewana. Maongezi haya hayawezi kuwa na tija kwa sababu kwanza hata hatuongelei benki moja.Sasa hio akaunti sio yake ni akaunti ya bank ya CCMRDB bado wanafanya kampeni asubirie kwanza kampeni zikiisha atazikuta hela zake
Hii bongo yetu chochote kinawezekana hata wanasiasa kupiga mkwala wasimamizi wa soko la hisa wasitangaze hasara ni kitu kinachowezekanaHisa za crdb mbona ziko kwenye downtrend wiki ya pili hii kiongozi! Zilifika all time high hapo mwishoni mwishon wa august na sasa zinafanya correction.
Pili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa drived na law ya demand na supply. Wanaozitaka hisa za voda ni wachache kuliko waliotayari kuziuza (wengi wako tayari kucompromise) so bei haiwezi panda kwa minajiri hiyo. Ile inayoonekana pale ndo uhalisia hasa wa bei ya hisa ya voda, achana na ile ya IPO
CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hiloHatuwezi kuelewana. Maongezi haya hayawezi kuwa na tija kwa sababu kwanza hata hatuongelei benki moja.
Wewe unaongelea CCMRDB mimi naongelea CRDB.
Mimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?CCMRDB umefungua akaunti huko kisha wakazuia 250 Million zilizopo kwenye akaunti ya baank yao (akaunti yao sio yako) usisahau hilo
Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yaoMimi sina akaunti Tanzania wala kwenye hiyo benki, sasa unasemaje akaunti yangu?
Are you sane?
Mimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.Akaunti ya bank ya CCMRDB sio akaunti yako ni akaunti ya bank wanakuhifadhia tu ila sio mali yako kwa hio wanaweza kuzuia hela zilizopo kwenye akaunti yao wakipewa maelekezo hayo kwa hio ndio maana unaona inasoma 0.00 sababu sio akaunti yako ni akaunti yao
Ndio nimeelewa mkuu hio hio CCMRDB ndio nimesema akaunti ya bank sio yako ni ya bank kwa hio siku nyingine usije ukafungua akaunti bank ukaanza kujisifu nina akaunti yangu bank sio akaunti yako ni akaunti ya bankMimi siongelei CCMRDB naongelea CRDB.
It was a red flag, ila ni wakati wa Magu pia Kimei alipewa ubunge na Magu.Charles Kimei katoka openly kasema anamuogopa sana rais Magufuli, that alone was a red flag for a sane investor, hawakuona hilo kama tatizo?