HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Soko la hisa huendeshwa na mwenendo wa kampuni husika.
Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?
Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).
Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?
Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?
Iweje hisa za CRDB zisiyumbe baada ya CRDB kukosekana hewani na kuleta shida kwa watumiaji wa huduma zake?
Iweje Vodacom imepata faida ya 90bil ila hisa zake imebaki 580 ile ile?
Tumezoea kuona masoko ya nje kama nasdaq, nyse, lse, hangseng zote hizo ikitokea kampuni imefanya vibaya au vizuri basi athari zinaonekana moja kwa moja (hasi na chanya).
Je DSE wanacheza kwa kuongeza thamani na kushusha wajisikiavyo?
Juzi ORACLE imeongezeka thamani kwa 41% baada ya faida kubwa kuliko matarajio, iweje voda thamani yake ibaki vile vile?