Je, Serikali ina uwezo wa kuwalinda Wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA waliofukuzwa Uanachama?

Agresive

JF-Expert Member
Feb 18, 2018
889
1,226
Wakuu habari ya leo?

Ukichunguza kwa jicho la tatu unaona wazi kabisa suala la wabunge wa viti maalum CHADEMA, kuanzia Spika na Dr. Mahera wote wanawaunga mkono na kusema ni wabunge halali na kanuni zote zimefuatwa.

Nahisi lazima kuna kikao cha siri na chenye ajenda nzito baina ya hao watu na watu walioshika dola.

Saivi wamevuliwa uanachama na watakosa sifa za kuwa wabunge.

SWALI NINALOJIULIZA:

JE, SERIKALI IKIAMUA KUWALINDA ILE KINDAKI NDAKI JE WANAWEZA KUENDELEA KUWA WABUNGE?

Mfano waende mahakamani na kesi ipigwe danadana mpaka miaka 5 iishe na muda huo wako mjengoni Chadema watafanya nini?

Na wakipeleka majina TUME YA UCHAGUZI halafu TUME majina hayo ikafungua maandazi na kukaa kimya itakuwaje.

Wajuzi wa mambo naombeni majibu.
 
Mimi sio mtaalamu wa siasa ila baada ya kuyasoma maswali yako,kuna swali moja hapo umeuliza kwamba:
Kwa mfano chadema wakienda mahakamani na serikali ikaamua kuwalinda kindakindaki chadema watafanya nini?Hili swali ndio jibu la maswali yako yote lilipo na mada imeisha
Nahisi uko sahihi, maana hii dola ya sasa inafanya mambo ambayo hatukuyazowea kabisa, Hivyo Akina MDEE wanaweza kwenda mahakamani na mambo yakaisha na wakaendelea kula pension mjengoni kwa kigezo kuwa mahakama haitoa maamuzi, na mpaka miaka 5 ikaisha.
 
exactly
Nahisi uko sahihi, maana hii dola ya sasa inafanya mambo ambayo hatukuyazowea kabisa, Hivyo Akina MDEE wanaweza kwenda mahakamani na mambo yakaisha na wakaendelea kula pension mjengoni kwa kigezo kuwa mahakama haitoa maamuzi, na mpaka miaka 5 ikaisha.
 
100%
Mkuuuuu VIKAOOOO VYA WAHUNI AVINAGAA UWEZOO KAMWE KUONDOA WAH PALE DODOMA ESP ZAMA HIZI WALICHEZEA MAHAKAMA ENZI ZIKE ZILEE SIO SASA
 
Chadema kwa upande wao kazi imeisha hao covid 19 hatunao chamani, waende huko wanakotambuliwa na ruzuku iende CCM
Naamini lengo kuu la cdm kuwavua uanachama ni wao wapoteze pia ubunge, sasa ikitokea wakalindwa basi lengo la adhabu yao litakuwa halijatimia.
 
Ukiangaliwa kwa umakini ni wazi kuwa wabunge wale wana jambo lao na dola so kuwaondoa mjengoni inaweza kuwa hadithi tu.
10000001%
Mkuuuuu VIKAOOOO VYA WAHUNI AVINAGAA UWEZOO KAMWE KUONDOA WAH PALE DODOMA ESP ZAMA HIZI WALICHEZEA MAHAKAMA ENZI ZIKE ZILEE SISOSASA
 
Nina hofu ndugai na nec kwa swala hili wanaweza kujiharibia sifa. Ingewezekana kuwabeba kina halima kama wanachama wa chadema ila kwa kuwafukuza uanachama ndugai imebaki kuletewa taarifa rasmi tu ili awatimue kina halima bungeni. Vinginevyo itakua janga kuhusu utawala bora.
 
Siku Mnyika atakaposhituka kumbe anapigana vita vya peke yake muda hautokuwa upande wake hili ni swala la muda tu. Chadema haina uwezo wa kurisk kupoteza Ruzuku na wabunge 19 Mzee wa gia za anga amefanya Damage control tu soon mtasikia wamerudishiwa uanachama na wanaendelea kuwa wabunge na Mbowe anachukua ruzuku na zile milioni moja moja kwa wabunge wa viti maalumu na laki 5 kwa mbunge mmoja waliompata
 
Inasemekana mwenyekiti na wenzake walikuwa na orodha yao ya wabunge waliotaka wachukue zile nafasi, na kiuhalisia watu waliokuwa wamechaguliwa walikuwa ni wake zao, mademu zao, dada zao na ndugu ambao vigogo wa chama wangenufaika moja kwa moja na pesa zao za mishahara.


Sasa ile orodha ikavuja na akina Mdee wafia chama wapambanaji hawakuwemo katika list hiyo. Ndiyo chanzo cha movie hii.

Ngoja tusubir episode 3.
Chadema hawataki zile nafasi Sasa wacha wazitumikie tu watu ambao wako tayari

Wao kamati kuu wacha waendelee kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
Hapo ni sawa na trump kung'ang'ania ofisi kule mifumo inamtema automatically haimtambui, air force one watasema awamtambui, secretariete haitomtambua, ataondolewa walinzi,
 
Mkuu hii movie itakuwa imeanzia kwa JIWE anajuwa huu mchezo so Ndugai na NEC wako salama kabisa hata wasipowatimua.

Pia hii issue lazima MBOWE anaijuwa ila tu atakuwa kakausha kwanza ili presure ya watu itulie, Haiwezekani kuwa mwenyekiti hajuwi.
Nina hofu ndugai na nec kwa swala hili wanaweza kujiharibia sifa. Ingewezekana kuwabeba kina halima kama wanachama wa chadema ila kwa kuwafukuza uanachama ndugai imebaki kuletewa taarifa rasmi tu ili awatimue kina halima bungeni. Vinginevyo itakua janga kuhusu utawala bora.
 
Siku Mnyika atakaposhituka kumbe anapigana vita vya peke yake muda hautokuwa upande wake hili ni swala la muda tu. Chadema haina uwezo wa kurisk kupoteza Ruzuku na wabunge 19 Mzee wa gia za anga amefanya Damage control tu soon mtasikia wamerudishiwa uanachama na wanaendelea kuwa wabunge na Mbowe anachukua ruzuku na zile milioni moja moja kwa wabunge wa viti maalumu na laki 5 kwa mbunge mmoja waliompata
Uko sahihi issue hii lazima mwenyekiti anaijuwa si bure mwisho wa yote utashangaa mnyika ndiyo anajiudhuru na maisha yanaendelea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom