Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,126
- 19,720
But a big problem kanzisha huyu mama kwa wanyongeHuu mchakato ulianzia kwake. He was a problem.
But a big problem kanzisha huyu mama kwa wanyongeHuu mchakato ulianzia kwake. He was a problem.
Mbona mengine kayafuta? Kwa nini na hili asingelifuta? Acheni kutetea ujingaHii yote alianzisha magu msimlaumu mama kafuata nyayo zake
Wapumbavu sana yani kuliko huu ujinga ni bora wangehalalisha kilimo cha ndumu tuuze nchi jirani na ku export ulayaYanashindwa hata kuhalalisha bangi tukauze nje tupate kodi.
Tuna mapori yenye rutuba wanashindwa kulima bangi ...
Nasemaje Kodi ifike hata milion 2 ili watanzania akili ziwakae sawa
Sasa Magufuli si aliweka sh.50 tu mzee? Was that an insane increment compared na mtu anaeongeza tozo by 100% ya iliopo!Umesahau yeye ndio alianzisha huu mchezo? Akatuwekea kodi ya gari kwenye mafuta, sasa hivi wamenogewa wameenda kwenye umeme na ela za kwenye simu
Tuna Rais wa hovyo haijapata kutokea Tanzania hovyo sana.Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000...
Bora Magufuli kuliko huyu hovyo san huyu.yani acha tu magu rudi baba
Kwenye kutuma ni zaidi ya nusu...!!! Ni mara mbili na nusu... Na nimeona VODA wameweka wazi kopi cha serikali na kipi chaoKutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000
Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.
BADO KUTUMA🤔
Kweli mkuuWapumbavu sana yani kuliko huu ujinga ni bora wangehalalisha kilimo cha ndumu tuuze nchi jirani na ku export ulaya
Kwani bando zilifutwaKuna kila dalili hizo tozo kufutwa na kurudishwa za zamani, kama ilivyokua kwenye bando.
Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Mzee wa watu sasa amepumzika kwa amani. Pambaneni na Hali zenu. Maana sasa mna Uhuru wa kuongea na furaha imerejea.Hivi unajua kuwa yote haya ni zao la kuendesha kwake uchumi kindezi huku akiwavungeni kuhusu uchumi wa kati?
Ame paralyzed uchumi kwa miradi mikubwa isiyo mpangilio huku akikuza deni la taifa kijinga kabisa hadi mzigo huo sasa unabebwa na kundi jingine la mandezi (kina Mwigulu) kwa maumivu makubwa sana kwetu
Kumbuka hapo ni kutoa tu pia kunamakato ya anae tumaKutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000
Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.
BADO KUTUMA
Kweli aisee,kwa hili bunge alilotuachia...Mtamkumbuka Magufuli mwamba wa Africa tuh fangasi nyie
Mama hataki kodi za dhulma!!!!Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000
Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.
BADO