Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

Yanashindwa hata kuhalalisha bangi tukauze nje tupate kodi.

Tuna mapori yenye rutuba wanashindwa kulima bangi ...


Nasemaje Kodi ifike hata milion 2 ili watanzania akili ziwakae sawa
Wapumbavu sana yani kuliko huu ujinga ni bora wangehalalisha kilimo cha ndumu tuuze nchi jirani na ku export ulaya
 
Umesahau yeye ndio alianzisha huu mchezo? Akatuwekea kodi ya gari kwenye mafuta, sasa hivi wamenogewa wameenda kwenye umeme na ela za kwenye simu
Sasa Magufuli si aliweka sh.50 tu mzee? Was that an insane increment compared na mtu anaeongeza tozo by 100% ya iliopo!
 
Kuna kila dalili hizo tozo kufutwa na kurudishwa za zamani, kama ilivyokua kwenye bando.
 
Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000


Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.

BADO KUTUMA🤔
Kwenye kutuma ni zaidi ya nusu...!!! Ni mara mbili na nusu... Na nimeona VODA wameweka wazi kopi cha serikali na kipi chao
20210715_140846.jpg
 
Serikali haramu inapoamua kuwaibia wananchi wake haina uhalali wa kuitwa serikali ya watu yafaa itumbuliwe
 
Hivi unajua kuwa yote haya ni zao la kuendesha kwake uchumi kindezi huku akiwavungeni kuhusu uchumi wa kati?
Ame paralyzed uchumi kwa miradi mikubwa isiyo mpangilio huku akikuza deni la taifa kijinga kabisa hadi mzigo huo sasa unabebwa na kundi jingine la mandezi (kina Mwigulu) kwa maumivu makubwa sana kwetu
Mzee wa watu sasa amepumzika kwa amani. Pambaneni na Hali zenu. Maana sasa mna Uhuru wa kuongea na furaha imerejea.
 
Serikali ya hovyo kuwahi kutokea kwa kweli, huwezi ukamkamua mwananchi mlala hoi kiasi hichi it 's to much!! nimeumia sana.
 
Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000


Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.

BADO KUTUMA
Kumbuka hapo ni kutoa tu pia kunamakato ya anae tuma
 
Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100
Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240
Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000
Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100
Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700
Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900
Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,100
Kutoa 800,000 ilikua 8000 sasa hivi 15,520
Kutoa 900,000 ilikua 8000 sasa hivi 16,900
Kutoa 1,000,000 ilikua 8000 sasa hivi 17,400
Kutoa 3,000,000 ilikua 10000 sasa hivi 20,000


Hiyo list ni ya MAKATO YA ZAMANI NA YA SASA .NA APO NI KUTOA KWA WAKALA.

BADO
Mama hataki kodi za dhulma!!!!
 
Back
Top Bottom