42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
S8+ yangu niliiweka Gcam. Picha zake hatari tupu.Mkuu hizi simu za sansung inakuaje ukitumia baada ya nda kama ubora wa camera unapungua na experience na A6+ n sasa A30s....
Na pia kunajamaa ana s8 naona camera haina ubora niliosoma gsm arena japokua tunefanya test zote za kuchek kama fake ipo ok