Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Kibudu ni mnyama anayekufa bila kuchinjwa, na hii inaelezeka zaidi kwenye imani ya kiislam kwakuwa kila mnyama achinjwaye ana dua yake maalum kabla ya kuchinjwa .
Lakini pia kwa mfano kwenye imani za kibudha na nyinginezo ikibidi kabisa kula kumuua mnyama kwa matumizi ya chakula hufanya hivyo huku ukiomba karma isije ikakurudia kwakuwa hufanyi kwa chuki wala kwa starehe bali kuushibisha mwili baada ya kukosa jinsi nyingine yoyote.
Samaki hachinjwi je samaki ni kibudu?
Sasa wewe ni kaffiri unajuaje habari ya kuchinja!?......unajua haram na halali!?
Nikuulize: Samaki anayo shingo !?